'Hangover' ya propaganda za utawala wa Magufuli zitadumu kwa baadhi ya watu milele

Mama ndani ya mwaka mmoja amekopa ngapi?
 
Kwan bunge la Sasa lina afhadhal gan
Bunge hili linatokana na uchaguzi uliivurugwa na Magufuli Oktoba 2020. Magufuli aliweka wabunge wake ambao wangekuja kubadili Katiba atawale milele. Ila Mungu akafanya yake Machi 2021
 
Wahi Chato kachimbe Kaburi uzikwe karibu yake
 
Kwahiyo wanaohangaika na kifo cha yesu tuwaitaje? Na wale wa mauaji ya kimbari je??
 
Fuatilia ilikuaje umeme ukatosha? Ulitosha hadi viwandani?.

Anyways, Sina tatizo na JPM kwa sababu kuna mambo alifanya kwa vitendo yenye manufaa halafu yupo kwenye nyumba yake ya milele, asifiwe au apondwe hana direct impact kwenye TZ ya sasa. Maamuzi ya hii nchi ni juu ya walio hai.
 
Viwanda vilivyojengwa 2015 to 2025 muwekee hapa kabisa avione.😀
 
Kwahiyo ulitaka tuwakumbuke mafisadi na wahuni wakina msoga na chifu mafiii
 
Huyo ni jamaa wa ROSTAM AZIZI KWA WALE MSIOMJUA ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…