Anaenda kulea watoto wa mdogo wake mda si mrefu.Dogo ni utingo, kaka ni dereva. Dereva akichelewa utingo anaokoa muda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaenda kulea watoto wa mdogo wake mda si mrefu.Dogo ni utingo, kaka ni dereva. Dereva akichelewa utingo anaokoa muda.
Ni ukoo mmoja damu ni ile ile.Anaenda kulea watoto wa mdogo wake mda si mrefu.
Kuepusha kusaidiwa majukumu hayo itabidi tuishi kama wazungu marufuku kutembeleana bila taarifa especialy ndoa changa .Ni ukoo mmoja damu ni ile ile.
Nimeelewa ni kwanini wazungu wanaishi baba, mama na watoto tu.Kuepusha kusaidiwa majukumu hayo itabidi tuishi kama wazungu marufuku kutembeleana bila taarifa especialy ndoa changa .
Ukute umeoa mke mzuri mwenye mapepe asee inaitajika roho mbaya tu.Nimeelewa ni kwanini wazungu wanaishi baba, mama na watoto tu.
Yah mke akiwa matured inaepusha mengi, sasa kama mke hajui kuwa kumpa chakula mume wake ni chachandu ya mapenzi hapo kuna shughuli.Ukute umeoa mke mzuri mwenye mapepe asee inaitajika roho mbaya tu.
Kila mtu aishi kwake misaada tutapeana huko huko kama ni kijijini atumiwe pesa alime au afuge .Nadhan hii itasaidia kuepushiana ugomvi.Yah mke akiwa matured inaepusha mengi, sasa kama mke hajui kuwa kumpa chakula mume wake ni chachandu ya mapenzi hapo kuna shughuli.
Kuchapiwa ni Siri ya ndaniMKE WANGU kaanza tabia nkitoka kazini ananiambia nkajipakulie jikoni. Muda huo anamjali Sana mdogo wangu wa kiume kiasi hata wakati mwingine anasema chakula kimeisha nkienda kumpa hi mdogo wangu nakuta msosi wa kutosha
Mpeleke kwanza akapate chanjo atanyooka tuMKE WANGU kaanza tabia nkitoka kazini ananiambia nkajipakulie jikoni. Muda huo anamjali Sana mdogo wangu wa kiume kiasi hata wakati mwingine anasema chakula kimeisha nkienda kumpa hi mdogo wangu nakuta msosi wa kutosha
Kama mkeo ana mdogo wa kike,nawe mnunulie chupi huyo shemeji yako,wife akili zitakaa Sawa tu,MKE WANGU kaanza tabia nkitoka kazini ananiambia nkajipakulie jikoni. Muda huo anamjali Sana mdogo wangu wa kiume kiasi hata wakati mwingine anasema chakula kimeisha nkienda kumpa hi mdogo wangu nakuta msosi wa kutosha
Mbona mi sjaona mahali jamaa kaandka anahudumiwa na mkewe yeye hana kazi? Jf kwa ujuaji khaa kwan mke kumpanda mume kichwan ni kisa hana kaz kwaiyo wote wanaoleta malalamiko humu khs wake zao bs hawana kaziMkuu tafuta kazi ufanye wacha kubweteka nyumbani,,usikubali mwanamke awe ndy mwenye kuhudumia family..
Utatumwa Hata kuosha vyombo na kumfulia chupi zake,,
usipokuwa makini.
Mimi hua napika na kufua chupi.Mkuu tafuta kazi ufanye wacha kubweteka nyumbani,,usikubali mwanamke awe ndy mwenye kuhudumia family..
Utatumwa Hata kuosha vyombo na kumfulia chupi zake,,
usipokuwa makini.
Huyo mke inabidi uchukue hatua. Iweje akwambie chukula kimeisha wakati wewe ni baba wa familia. Chukua hatuaMKE WANGU kaanza tabia nkitoka kazini ananiambia nkajipakulie jikoni. Muda huo anamjali Sana mdogo wangu wa kiume kiasi hata wakati mwingine anasema chakula kimeisha nkienda kumpa hi mdogo wangu nakuta msosi wa kutosha
Jaribu kujichunguza mapungufu yakoMKE WANGU kaanza tabia nkitoka kazini ananiambia nkajipakulie jikoni. Muda huo anamjali Sana mdogo wangu wa kiume kiasi hata wakati mwingine anasema chakula kimeisha nkienda kumpa hi mdogo wangu nakuta msosi wa kutosha
Kula na ushibe kabla ya kurudi nyumbani.Shida siku hizi mwanaume anazani mkewe ni mama yake.Ng'ata vitu kitaa ukirudi unaongezea tu. Usishindane na mwanamke utakufa mapema.Hebu tuma Lile buku bro.MKE WANGU kaanza tabia nkitoka kazini ananiambia nkajipakulie jikoni. Muda huo anamjali Sana mdogo wangu wa kiume kiasi hata wakati mwingine anasema chakula kimeisha nkienda kumpa hi mdogo wangu nakuta msosi wa kutosha