Haniulizi kwa lolote

Umenikumbusha kuna kipindi fulani tulitofautiana na mtu.
Daima sipendi kulazimishwa...sasa yeye akawa ananilazimisha na mimi nikabaki na msomamo wangu.
Akanuna kama wiki 2...mimi kimyaaaa!
Mbona alinitafuta?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Love is feelings, kama huna hisia nae ya nini kuwa nae, acheni unafiki.
 
mkuu huyu mwanamke yuko vizuri muoe kabisa....wanawake wa kichaga wana hulka ya maendeleo..hawana muda kubemblezana kimapenzi (usiniulize nimejuaje kabila lake kwani tabia za wachaga hazifichiki). wachaga ndivyo walivyo mkuu....na huyo ndiye mwanamke maridhawa ambaye kila mwanaume angetamani kuwa nae...usithubutu kupoteza bahati hiyo.
 
huyo wa hivyo. no bashasha aisee simuwezi tafuta mwingine huyo kuna kitu amekitarget utaisoma namba
 
Mkuu wewe ndio tatizo your very cynical... Umekariri mwanamke.. Na kwa ushaur tu huyo ni bonge la mwanamke mzur.. Na Kama ni ishu za maendeleo they are very good na ni aina ya Wanawake ambao hata ukiwa mbali na akabaki na familia the family wil be safe.. Ni very understanding na wanaamuzi.
 
Daaah,,,aisee huyo dada kitaalamu tunamwita 'mashine' maana kawazidi ukauzu hata baadhi ya wanaume wanaopenda kulialia,,,,LAKINI mkuu, kama sekta zingine yuko vzuri na kupakua wapakua, wewe shida yako ni nini hasa????
 
Duuuh huyu Kaka ana umri wa mama yang mzazi ana 43 na ana watoto watatu na mim mkubwa nimemaliza chuo Lakin huyo Kaka bado anahangaika hatak kuoa ,, nakuonea huruma na umri unavyozidi kwenda
 
unafkiOTE="wigo, post: 18162409, member: 156965"]Love is feelings, kama huna hisia nae ya nini kuwa nae, acheni unafiki.[/QUOTE]
ni kujinunisha ili ubebembelezwe.
 
Alifaa kuwa na Mimi huyo hapendi kuudhi moyo wake kwa sababu ndog ndogo kama hizo.mapenzi humuumiza aside yajua.Hugo ni mkomavu kwenye game na usimbadili maana ukimbadili utateseka sana .
 
Mianaume mingine km viazi mbatata. Viwekwe jikoni viive viliwe tu basi. We Mungu amekupa dhahabu unaanza ih sijui shaba sijui bati iko km dhahabudhahabu vile! Mpewe nn mridhike nyie manunda wa aina hii? Akuoneewivu? Wivu wa nn sasa? Akiona wivu utasikia kazidi wivu huyu hana wivu ishakuwa kosa lol SHAMEUPON U BRO. JITATHMINI UPYA NA UHESHIMU EGO YA MWENZIO!!!
 
Jaman kumbe mmezoea kubembelezwa, naona mi naendana na huyo dada kidogo.. swala la kubembeleza mtu mzima linahitaji kipaji aisee....ila mzoee tu ndivyo alivyo, inawezekana anakuonea wivu sema hataki kabisa kukuonyesha usije ukatake advantage. Maana mtu akijua anapendwa always inakuwa shida
 
Mkuu ! Huyo demu anavuta bangi ! Kweli tena... ! Wavuta bangi ndivyo walivyo katika mahusiano.. ! Huwa wanakosa bashasha kabisaaa ! Hawanaga interests wala nini ! Mtu akuwa amelizika kwa kila kitu..!
Kuna ukweli hapa. Vp hatumii kilevi cha aina yoyote
 
Huyo dada nahisi ni FBI, yaani ana data zako zote hovyo anakusoma namba tu. Arobaini zako zikifika ataachansa na huo ushamba wako wa kukaa unamu-try kama gari!! Please, usi mu-drive atakuacha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…