Haniulizi kwa lolote

Hahahaha eti kununiana hahahaha hyu itakua aliruka stage @43 unawaza kununiana wkt we dd that @18-20
Kugombana kupo na kupotezeana ila sasa mwenzangu analazimisha anuniwe hahahhaha kweli dunia ina mambo
 





duuuuuuuuu huyo kwa mimi ndo anafaa coz napenda tu mtu ajue nafasi yake na sio kuchimbana
 
Pole mkuu Huyo alishawah kupenda kupitiliza na alikuwa na wivu usiopimika na alifanyiw kitu mbaya katk mahusiano so alishaona hivyo vitu kwa sasa havina ulazima katk maisha yak kwa kifup kaathirik kisaikilojia kwa kias kikubwa ongea naye polepolw
 
yupo poa sana mademu kama hao ndo wazuri hawana unafki.. binafsi nimempenda sana
 
Huyo manzi kama hajalelewa na wazungu basi anatokea kanda ya ziwa mkoa fulani hivi yaani wenyewe hawana swaga sijui kukuita majina ambayo si yako, sijui kubembeleza wenyewe nyeupe ni nyeupe ila wana mapenzi ya kweli aisee.
 
Kuna watu wanamsifia huyo dada but ukweli ni kwamba jiongeze. Kwake ukiwepo usipokuwepo hupungukiwi chochote.

Na hiyo ni hatari.
Mdada hana feelings nae, ndio maana akiwepo na asipokuwepo hapungukiwi kitu.
 
Huyo ndo mzuri kama hutaki subiri wakukunyenyekea! Na kama unahitaji unyenyekevu nenda kanisani kiongozi au msikitini ila namba utaisoma! Binafsi nashukuru nimeshaoa vinginevyo ningemtafuta kwani napenda mwanamke aliye straight forward na si vinginevyo!
 
Miss chagga, mbona story ya mkubwa haina tatizo...! Mwache mamii, aseme ya moyoni,
 
Umesema huyo dada anamtoto mmoja yawezekana alishawah umia kwa kuendekeza kupenda Sana, sasa saikologia yake kashaijenga kujidefence peke yake na pamoja na kukupenda ila anamamuz yake binafsi nikusih umwoe huyo mdada ila kwa kua umedhamsoma tabia zake, hayo ndio mazaifu yake na uyabebe kama yalivyo
 

yaani umenisaidia kumpa kitu live....... huyu ni bwege bwegezo.....huyo dem ndie anaongoza maisha yako..... mwanaume gani hujielewi wewe???? mpaka siku akuguse senta back ndo utajitambua......kweli una 43yrs wewe??? ndo nyie mnafika 45 mnaanza kuvaa kata "K".....pambafu sana wewe......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…