Hannibal Barca: Jenerali bora wa wakati wote kutoka Africa

Hannibal Barca: Jenerali bora wa wakati wote kutoka Africa

images-32-jpg.805635

angalia kielelezo cha ramani aliyoitoa mkuu zitto junior
dola hiyo inaambaa hadi Sehemu ya Hispania.
Wakati wanajitanua hadi huko, warumi hawakujua kwa nini lakin Ulikuwa ni mkakati wa Muda mrefu ili washambulie italy na roman republic kutokea huko.
Huyo alikuwa mtoto sio mke wake kwa mujibu wa chanzo cha taarifa. na aliongoza majeshi ya Carthage kutokea sehemu ya spain (part of carthage empire). ni miongoni mwa watoto watatu wa kiume wa Barca Sr.

nadhani hakuna mkanganyiko.

ngoja wajuvi na wataalam waje waweke sawa na kuongeza madini zaidi.
Ok sawa mitale na midimu nilikuwa nachanganya majina hapa kati ya mtoto wa Hamalcar Barca alieitwa Hasdrubal na Mkwe (son in law) wa Hamilcar alieitwa HASDRUBAL THE FAIR ambae alikuwa ni military leader,politician na pia alikuwa gavana wa Iberia.

Alikufa miaka saba baada ya kifo cha Hamilcar Barca na aliuwawa na mtumwa wake aliekuwa anatokea kwenye jamii za The Celtic king of Tago kama kisasi kwa kuuwa baba yake na ndugu wa huyo mtumwa......

Ok sawa but mimi napitia kitabu hiki cha MANUSCRIPTS OF THE GREEK BIBLE na nilikuwa sijaona utofauti wa majina yao sasa tuko sawa

zitto junior
 
Jibu la ki Biblia sababu iliyosababisha Hannibal barca kushindwa kuishambulia Roma 20 na habari za zile pembe kumi zilizokuwa kichwani mwake, na ile pembe nyingine iliyozuka, ambayo mbele yake zilianguka pembe tatu; yaani, pembe ile yenye macho, na kanwa lililonena makuu, ambayo kuonekana kwake kulikuwa hodari kuliko wenzake.
Danieli 7 :20

21 Nikatazama, na pembe iyo hiyo ilifanya vita na watakatifu, ikawashinda;
Danieli 7 :21

23 Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande.
Danieli 7 :23

25 Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.
Danieli 7 :25

26 Lakini hukumu itawekwa, nao watamwondolea mamlaka yake, kuipoteza na kuiangamiza, hata milele.
Danieli 7 :26
 
Mkuu asante kwa hoja nzuri na yenye kuchangamsha akili. Lakini kama kawaida yangu mimi nitakupa majibu kwa kutumia kitabu pendwa nikipendacho kuliko vyote, yaani "BIBLIA"; kitabu hichi kina majibu yote ya swali ulilouliza ingawa watu wengi wanakidharau.

Iko hivi utawala wa Rumi ni moja kati ya tawala tano kubwa zilizotabariwa au kuruhusiwa na MUNGU kuwepo hapa duniani, rejea kitabu cha DANIEL 2:36-44 ambapo utaona Danieli anamfafanulia Mfalme Nebukadreza ile ndoto yake ya sanamu kubwa. Katika ile ndoto, sehemu moja ya ile sanamu ilikuwa ni Ufalme wa Rumi, yaani ile miguu ya chuma.

View attachment 805760
Sanamu hii ndiyo ndoto aliyoota Mfalme Nebukadreza na tafsiri yake.
Sasa basi kwa kuwa Ufalme wa Rumi ulikuwa umeshatabiliwa na MUNGU kuwa utatawala dunia yote kwa wakati ulioamuriwa, isengekuwa rahisi kwa General Hannibal pamoja na jeshi lake kuivamia Roma na kuuangusha Ufalme wa Rumi. Fahamu kwamba nyuma ya hizi falme kubwa huwa kuna nguvu ya ajabu inayoziongoza, nguvu hiyo inaweza ikawa imetoka kwa MUNGU au inaweza ikawa imetoka kwa yule Mwovu Lusifer Ibilisi.

Kwa Ufalme wa Rumi, hata kama ulitabiriwa na MUNGU, lakini nguvu yake ilikuwa inatokana na Lusifer Ibilisi; rejea kitabu cha UFUNUO 13:1-2 .........yule joka(Lusifer) akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi(Ufalme) na uwezo mwingi(Nguvu za kijeshi). Hivyo basi kutokana na nguvu alizopewa Rumi, isingekuwa rahisi kwa General Hanniba kuivamia Rumi na kuindoa kwenye utawala wa dunia.

Utaona kwamba hata baada ya kifo cha General Hannibal bado utawala wa Rumi uliendelea kuwepo kwa miaka zaidi ya elfu moja. Isitoshe Hannibal Barca yeye na utawala wake hawakutabiriwa kuitawala dunia hata kama walikuwa na nguvu kiasi gani.

Mkuu zitto junior kitabu hichi BIBLIA kina majibu yote, hata kama utaamini au hautaamini, lakini UKWELI ndiyo huo.
Unaleta ujinga tena
 
Sababu za kimazingira za huyu jemedari , simba wa vita Hannibal kushindwa kuvamia Roma ni kuwa tayari Roma ilituma wajumbe wa amani kuweka maazimio ya amani na walikubali kuwa hawana uwezo wa kivita kumushinda kumbe ni mbinu za kishushu ndiyo maana unaona hata jeshi la kirumi Tayari lilipata nguvu ya msukumo kujiunga nae ili kufanya ushushu wa jinsi ya kummaliza kuangusha utawala wake
 
Mbona unatukana au usingizi unakusumbua
Huo ndo ukweli huwezi leta majibu ya biblia katika jambo la kihistoria Sasa hapo unatabiri nini wakati fact zipo ni suala la kuzitafuta na mimi ni mkristu Safi ila sipendi mtu anaandika ujinga halafu tunamchekea
 
Malcom Lumumba sidhani kama mimi na wewe tunamzungumzia Caesar ama Kaisar mmoja

Nimejaribu kukuandikia kirefu ili walau unisaidie kujua kama wanaufanano ama ni mtu mmoja

“Roma ya Afrika”
zitto junior

Mkuu Kubo,
Tukumbuke kwamba Roma ya Karthago liharibiwa kabisa baada ya vita ya tatu ya kifoneshia (The Third Punic War) tokea mwaka 149-146 BCE. Sasa Roma walikuwa wanategemea sana biashara kwenye bahari ya Mediterania na walivyoharibu Karthago kwa kuuchoma moto kwa siku kumi na nne mfululizo walikosa bandari nzuri ya kufanyia biashara. Hivyo baada ya Julius Caesar kuwa dikteta huko Roma, mwaka 49- 44 BCE ndiyo akaamua kujenga upya mji wa Karthago.

Alifanya hivyo kwasababu,
Mosi, Karthago kulikuwa na Bandari nzuri ambazo Roma wangetumia kibiashara kwenye bahari ya Mediterania.
Pili, Kulinda biashara ya Roma kwenye Bahari ya Mediterania ambayo ilikuwa inatishiwa na maharamia Maharamia (Pirates) na waporaji (Bandits) wa majini wenye asili ya Kisisili (Sicilians). Mwaka 75 BCE wakati Julius Caesar ana miaka 25 aliwahi kutekwa na maharamia na wakachukua fedha nyingi kutoka kwake. Tatizo la Uharamia lilikuwa kubwa sana kwasababu mataifa adui wa Roma walikuwa wanawalinda maharamia waliokuwa wanaiba mali za Roma. Ukisoma vizuri utaona hadi ambavyo Pompeya lipigana na hawa Maharamia.

NB: Julius Caesar ndiyo aliamua kuujenge Karthago kama mji mpya wa Roma, na yeye aliuwawa mwaka 44 BCE baada ya kusalitiwa na wakina Brutus. Hivyo Ukristo umekuja baadae sana na kukuta mji ushajengwa kabisa na bwana Julius Caesar.
 
Mkuu Kubo,
Tukumbuke kwamba Roma ya Karthago liharibiwa kabisa baada ya vita ya tatu ya kifoneshia (The Third Punic War) tokea mwaka 149-146 BCE. Sasa Roma walikuwa wanategemea sana biashara kwenye bahari ya Mediterania na walivyoharibu Karthago kwa kuuchoma moto kwa siku kumi na nne mfululizo walikosa bandari nzuri ya kufanyia biashara. Hivyo baada ya Julius Caesar kuwa dikteta huko Roma, mwaka 49- 44 BCE ndiyo akaamua kujenga upya mji wa Karthago.

Alifanya hivyo kwasababu,
Mosi, Karthago kulikuwa na Bandari nzuri ambazo Roma wangetumia kibiashara kwenye bahari ya Mediterania.
Pili, Kulinda biashara ya Roma kwenye Bahari ya Mediterania ambayo ilikuwa inatishiwa na maharamia Maharamia (Pirates) na waporaji (Bandits) wa majini wenye asili ya Kisisili (Sicilians). Mwaka 75 BCE wakati Julius Caesar ana miaka 25 aliwahi kutekwa na maharamia na wakachukua fedha nyingi kutoka kwake. Tatizo la Uharamia lilikuwa kubwa sana kwasababu mataifa adui wa Roma walikuwa wanawalinda maharamia waliokuwa wanaiba mali za Roma. Ukisoma vizuri utaona hadi ambavyo Pompeya lipigana na hawa Maharamia.

NB: Julius Caesar ndiyo aliamua kuujenge Karthago kama mji mpya wa Roma, na yeye aliuwawa mwaka 44 BCE baada ya kusalitiwa na wakina Brutus. Hivyo Ukristo umekuja baadae sana na kukuta mji ushajengwa kabisa na bwana Julius Caesar.
Nakubaliana na wewe Malcom Lumumba ya kuwa Caesar alikuwako miaka 100BCE lakini katika mlolongo wa maisha yake na dini yake alioiamini ya kumuabudu Mungu jua hadi kujiita The high priest of Jupiter lakini wakati flani mwishoni mwa maisha yake ya ndoa na mke wake wa pili alieitwa Pompeia(aliumuoa baada ya kifo cha mkewe wa kwanza alieitwa Cornelia)
Julius Caesar alimpa talaka Pompeia kwa skendo ya kutoka na jamaa mwingine wakati yeye akiwa yupo katika harakati za vita.

Kumbuka kwamba Julius Caesar alikuwa ni Orator(modern Day tunasema Lawyer)hivyo mke wake wa tatu alieitwa Julia wakati anamimba alipenda kupekuwa makabrasha ya Julius na wakati flani akakutana na maandiko ya Kikoptik yaliokuwa yanaelezea dini ya Imani na maandiko hayo yalikuwa yanasomwa na kuhifadhiwa na mkewe wa pili Pompeia aliempa taraka in 62BCE.

Wakati Caesar anaanza safari ya kuzuru Egypt akataka kuyapitia makabrasha yake ya mikataba ya sheria na hapo akakutana tena na maandiko yale ambayo mkewe Julia(marehemu wakati huo)alikuwa anayasoma,licha ya kutambua yalikuwa ni maandiko yalioachwa na Pompeia ila kamwe hakuwahi kujua aliyatoa wapi na yalikuwa yanaeleza kuhusu dini ya imani ambayo wakati huo iliitwa dini ya Siri(kumbuka kama ulikuwa huabudu jua basi ulifaa kuuawawa)

Hivyo wakati anatoka misri na kwenda Tunis(karthago)alikuwa ametafuta wanazuoni kadhaa ili wamsaidie kujua huyo mungu alieongelewa ni yupi na ni nani alieandika maandiko yale,lakini hakuna aliempa jibu na hapo akaibuka mtu mmoja hakutanabaishwa jina lake na hakuna kitabu kilichomwongelea katika ubini wake huyo mtu ambae alisema "huyu ndie mungu wa kweli mwenye nguvu zaidi ya Baali(baali alikuwa ni mungu wa karthago).hivyo hadi anafika Carthage tayari tetesi za mungu mwenye nguvu zaidi ya Baali zilianza kusambaa na hapo ndipo Caiser alimtafuta tena yule mwana zuoni kwa lengo la kumuadhibu lakini mwanazuoni yule alikuwa ameshakimbia na kurudi Misri ya juu katika mji unaitwa NagHammad ambako alifukia chini maandiko yale kisha akaanza kuyaandika tena kwa vile alivyokumbuka na kisha kusambaza habar za mungu wa imani ya kweli si mungu jua alieabudiwa na Caesar

Hivyo basi wale kina Cyprian walikuja tu kuendeleza harakati za maandiko ya kikoptik ndani ya Carthage na tayari wakati huo Caesar alikuwa ameshauwawa na ukiristo ukawa umetambuliwa na kuenezwa duniani na hata Roma yenyewe
 
Unaleta ujinga tena
Tunaheshimu mawazo yako ila kama wew ni mkristu kama ulivyojitanabaisha basi kwa kukusaidia tu soma kitabu cha Ezekiel chote kabisa bila kuacha hata nukta kisha urudi hapa tena kutuambia umeona nini katika kitabu hicho

Kumbuka usisome kama gazeti kwa kupitia bali soma kama unasoma biblia

Ahsante
 
masikini watu weusi tunakosa maarifa "" kwakutofundishwa "" kuhusu " uwezo wakiutawala na nguvu walizokuwa Nazo mababu zetu "" laiti kama tungekuwa tunafunuliwa haya "" hakika tungejivunia utaifa wetu "" kuliko ambavyo vijana wetu wanavyojivunia " historian za wazungu" na waarabu "" inasikitisha sana .....asante kwa hili bandiko chief ""...

Hivi huyo mwanaume" sio ndiye yule ambaye aliwahi kuivamia Makkah akiwa na jeshi la tembo ""....!?
 
Sababu za kimazingira za huyu jemedari , simba wa vita Hannibal kushindwa kuvamia Roma ni kuwa tayari Roma ilituma wajumbe wa amani kuweka maazimio ya amani na walikubali kuwa hawana uwezo wa kivita kumushinda kumbe ni mbinu za kishushu ndiyo maana unaona hata jeshi la kirumi Tayari lilipata nguvu ya msukumo kujiunga nae ili kufanya ushushu wa jinsi ya kummaliza kuangusha utawala wake
wewe sasa ndio umeongea jambo lenye mantiki ""..
 
Nakubaliana na wewe Malcom Lumumba ya kuwa Caesar alikuwako miaka 100BCE lakini katika mlolongo wa maisha yake na dini yake alioiamini ya kumuabudu Mungu jua hadi kujiita The high priest of Jupiter lakini wakati flani mwishoni mwa maisha yake ya ndoa na mke wake wa pili alieitwa Pompeia(aliumuoa baada ya kifo cha mkewe wa kwanza alieitwa Cornelia)
Julius Caesar alimpa talaka Pompeia kwa skendo ya kutoka na jamaa mwingine wakati yeye akiwa yupo katika harakati za vita.

Kumbuka kwamba Julius Caesar alikuwa ni Orator(modern Day tunasema Lawyer)hivyo mke wake wa tatu alieitwa Julia wakati anamimba alipenda kupekuwa makabrasha ya Julius na wakati flani akakutana na maandiko ya Kikoptik yaliokuwa yanaelezea dini ya Imani na maandiko hayo yalikuwa yanasomwa na kuhifadhiwa na mkewe wa pili Pompeia aliempa taraka in 62BCE.

Wakati Caesar anaanza safari ya kuzuru Egypt akataka kuyapitia makabrasha yake ya mikataba ya sheria na hapo akakutana tena na maandiko yale ambayo mkewe Julia(marehemu wakati huo)alikuwa anayasoma,licha ya kutambua yalikuwa ni maandiko yalioachwa na Pompeia ila kamwe hakuwahi kujua aliyatoa wapi na yalikuwa yanaeleza kuhusu dini ya imani ambayo wakati huo iliitwa dini ya Siri(kumbuka kama ulikuwa huabudu jua basi ulifaa kuuawawa)

Hivyo wakati anatoka misri na kwenda Tunis(karthago)alikuwa ametafuta wanazuoni kadhaa ili wamsaidie kujua huyo mungu alieongelewa ni yupi na ni nani alieandika maandiko yale,lakini hakuna aliempa jibu na hapo akaibuka mtu mmoja hakutanabaishwa jina lake na hakuna kitabu kilichomwongelea katika ubini wake huyo mtu ambae alisema "huyu ndie mungu wa kweli mwenye nguvu zaidi ya Baali(baali alikuwa ni mungu wa karthago).hivyo hadi anafika Carthage tayari tetesi za mungu mwenye nguvu zaidi ya Baali zilianza kusambaa na hapo ndipo Caiser alimtafuta tena yule mwana zuoni kwa lengo la kumuadhibu lakini mwanazuoni yule alikuwa ameshakimbia na kurudi Misri ya juu katika mji unaitwa NagHammad ambako alifukia chini maandiko yale kisha akaanza kuyaandika tena kwa vile alivyokumbuka na kisha kusambaza habar za mungu wa imani ya kweli si mungu jua alieabudiwa na Caesar

Hivyo basi wale kina Cyprian walikuja tu kuendeleza harakati za maandiko ya kikoptik ndani ya Carthage na tayari wakati huo Caesar alikuwa ameshauwawa na ukiristo ukawa umetambuliwa na kuenezwa duniani na hata Roma yenyewe
nawafuatilia vyema sana ..wakuu "" daaahh mko extra miles ...mmetisha sana "" .... Malcom Lumumba .. Kudo .. mitale na midimu
 
nawafuatilia vyema sana ..wakuu "" daaahh mko extra miles ...mmetisha sana "" .... Malcom Lumumba .. Kudo .. mitale na midimu
mkuu tuko pamoja. humu mgeni ila tunafikirishwa na kuhamasishwa kutafuta maarifa ya pembeni na wadau waanzisha mada.

"The only new thing in this world is the history you don't know''.
hekima na maarifa ni mali za Mungu huku sisi wapiga story humu tunapapasa tu.
 
mkuu tuko pamoja. humu mgeni ila tunafikirishwa na kuhamasishwa kutafuta maarifa ya pembeni na wadau waanzisha mada.

"The only new thing in this world is the history you don't know''.
hekima na maarifa ni mali za Mungu huku sisi wapiga story humu tunapapasa tu.
nashukuru sana "" sijutii kufuatilia mabandiko yenu mbali mbali Humu "".. kwakweli mmekuwa kilevi stahiki cha akili yangu "" mbarikiwe ...@kudo Malcom Lumumba mitale na midimu
 
Back
Top Bottom