Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
MhmhmhMkuu asante kwa hoja nzuri na yenye kuchangamsha akili. Lakini kama kawaida yangu mimi nitakupa majibu kwa kutumia kitabu pendwa nikipendacho kuliko vyote, yaani "BIBLIA"; kitabu hichi kina majibu yote ya swali ulilouliza ingawa watu wengi wanakidharau.
ukiichukuwa biblia, na Quran, ukaziweka kando, Utaiona Africa mpya ya ajabuMungu Ni Mwema Wakati Wote
Safari Ya Kuyajua Yaliyofichwa Na Ukweli Wake
Hakuna Shaka Bado Ni Ndefu Sana
Yaani Kuna Watu Wengi Sana Weusi Toka Africa
Habari Zao Zimekuwa Kwenye Kificho Sana
Mkuu Zito Junior Bila Shaka
Hii Thread Ni Madini Mengine Zaidi Ya Tanzanite
Basi Yale Magazine Ya Udaku Tafadhali
Mkija Mje Kwa Staha
Inaumiza sanaUmechelewa kugundua rafiki, kuna agenda ya makusudi kufuta historia ya Afrika duniani.
Asee binti fatma we ni akili kubwa sana na hazina humu JF tukipata wanawake 10 kama wwe hili bara lazima likombolewe kutoka fikra za kikoloni na kitumwa.... Popote ulipo hongera sana kamanda nazidi kujifunza mengi kupitia michango yako humu JFMengi wanayaficha...
Tungetoa kila kitu ili tuone uso wa mtu mashuhuri na adhimu Afrika na hasa Huyo Hannibal.
kwenye ile sarafu ya Cartharge ni mtu mweusi bila ya shaka mbele ya tembo . Tunajuaje kwamba huyu ni Chenu Bechola Barca aitwaye Hannibaal? 1- Uchunguzi wa Carthage (sasa Tunisia) umeonyesha tu mifupa myeusi kama hapa. Kuanzia hili, inasisitizwa kwa hakika kwamba Hannibaal alikuwa mweusi kama watu wake. 2- Sarafu za Carthagini ziliwakilisha miungu tu au watu wenye nyadhifa sana katika uongozi wa Serikali. 3- Fedha hii inawezekana kuwa ya mwaka wa 217 BC na ilipatikana karibu na Ziwa Trasimeno nchini Italia, mwaka na mahali pa ushindi mkubwa wa Hannibaal dhidi ya Dola ya Kirumi. 4- Tembo nyuma ni tembo kutoka India, anayetambulika kwa masikio yake madogo. Surus, tembo mpendwa wa Hannibaal, ambaye alimchukua wakati wa ushindi wake- Mtu aliye mbele anavaa taji ya utukufu, ishara ya ushindi, sifa ya wafalme na kurithi kutoka kwa uungu wa Kigiriki Apollo. Hannibaal alikuwa ameshinda tu na alikuwa na upendo kwa tabia ya Apollo. Kuna sarafu nyingine za Carthagini zinaonyesha mtu mweusi na tembo. Lakini sarafu hii ina sifa maalum na imepatikana mahali pa ajabu. Hivyo ni sarafu ya kushinda ya ushindi katika Ziwa Trasimeno. Tunaweza kusema kwamba sarafu hii inaonyesha Chenu Bechola Barca (Hannibaal). Na kama tunavyoona, alikuwa Mwafirika wa ajabu. Ni vigumu kuchuja pua kama walivyofanya kwa masanamu ya mafarao wa Misri ya kale
huwezi kuficha pua bapa na midomo minene ya mtu mweusi.mweusi
Ankh Udja Seneb
uishimilele
mzimu wa Muhenga wetu mpendwa Hannibal
Wanubi bado wapo kule kusini mwa misri na kaskazini mwa sudan. Pale misri wamepoteza makazi yao kutokana na kujengwa bwawa la aswan. Sasa hivi ni jamii ndogo sana ni kama iliotengwa na waarabu wa Misri.kuna mmoja nilimuona Arusha aliposema yeye ni mmisri kila mtu alimbishia maana ye ni mweusi kama msomali.Hawa wanubi wana historia kubwa na dunia hii..kuna mahali tulikengeuka na kuwaachia wazungu watuandikie ya kwetu
Hao ndio wenyeji asilia...waanzilishi wa ustaarabu, ni huzuni sana, mwarabu ni mgeni kule...walipojenga bwawa la Aswan, ushahidi mwingi mno, wa ustaarabu wa kale uliteketezwa....hivi wajua Sudan ni kongwe kuliko misri na Ethiopia? Hali ya mtu mweusi inasikitisha sanaWanubi bado wapo kule kusini mwa misri na kaskazini mwa sudan. Pale misri wamepoteza makazi yao kutokana na kujengwa bwawa la aswan. Sasa hivi ni jamii ndogo sana ni kama iliotengwa na waarabu wa Misri.kuna mmoja nilimuona Arusha aliposema yeye ni mmisri kila mtu alimbishia maana ye ni mweusi kama msomali.
Bibilia ndio kitabu pekee kinachomtambua mwafrika na hasa mtanzania kuwa mtu bora.Black people ignore that their ancestors, who adjusted to the material conditions of the Nile valley, are the oldest guides of humankind on the way to civilization." Cheikh Anta Diop
Moses, exodus never happenedBibilia ndio kitabu pekee kinachomtambua mwafrika na hasa mtanzania kuwa mtu bora.
Mungu hana upendeleo.
Maoni mazuri. Ila Bibilia yote inamtambua mtu mweusi kama mtu bora sana. Ni watu weusi wachache wasioelewa wakiona kama kitabu cha kumdhoofisha mtu mweusi.Moses, exodus never happened
Ni uongo, Rumi, iko hadi leo, Vatican pale, tena much more powerful than you think, Lucifer ni myahudi, si nyoka wa kawaida(wadjet), bali nyoka aliyelaaniwaMkuu asante kwa hoja nzuri na yenye kuchangamsha akili. Lakini kama kawaida yangu mimi nitakupa majibu kwa kutumia kitabu pendwa nikipendacho kuliko vyote, yaani "BIBLIA"; kitabu hichi kina majibu yote ya swali ulilouliza ingawa watu wengi wanakidharau.
Iko hivi utawala wa Rumi ni moja kati ya tawala tano kubwa zilizotabariwa au kuruhusiwa na MUNGU kuwepo hapa duniani, rejea kitabu cha DANIEL 2:36-44 ambapo utaona Danieli anamfafanulia Mfalme Nebukadreza ile ndoto yake ya sanamu kubwa. Katika ile ndoto, sehemu moja ya ile sanamu ilikuwa ni Ufalme wa Rumi, yaani ile miguu ya chuma.
Sasa basi kwa kuwa Ufalme wa Rumi ulikuwa umeshatabiliwa na MUNGU kuwa utatawala dunia yote kwa wakati ulioamuriwa, isengekuwa rahisi kwa General Hannibal pamoja na jeshi lake kuivamia Roma na kuuangusha Ufalme wa Rumi. Fahamu kwamba nyuma ya hizi falme kubwa huwa kuna nguvu ya ajabu inayoziongoza, nguvu hiyo inaweza ikawa imetoka kwa MUNGU au inaweza ikawa imetoka kwa yule Mwovu Lusifer Ibilisi.
Kwa Ufalme wa Rumi, hata kama ulitabiriwa na MUNGU, lakini nguvu yake ilikuwa inatokana na Lusifer Ibilisi; rejea kitabu cha UFUNUO 13:1-2 .........yule joka(Lusifer) akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi(Ufalme) na uwezo mwingi(Nguvu za kijeshi). Hivyo basi kutokana na nguvu alizopewa Rumi, isingekuwa rahisi kwa General Hanniba kuivamia Rumi na kuindoa kwenye utawala wa dunia.
Utaona kwamba hata baada ya kifo cha General Hannibal bado utawala wa Rumi uliendelea kuwepo kwa miaka zaidi ya elfu moja. Isitoshe Hannibal Barca yeye na utawala wake hawakutabiriwa kuitawala dunia hata kama walikuwa na nguvu kiasi gani.
Mkuu zitto junior kitabu hichi BIBLIA kina majibu yote, hata kama utaamini au hautaamini, lakini UKWELI ndiyo huo.
Du nomaKarthago walikuwa wanampango wa kuvamia na kufika Roma tangu kwenye vita ya kwanza (The First Punic War) na walipiga sana Sicily lakini katikati ya vita (The Siege of Syracuse) walikumbwa na ugonjwa wa ndui (Smallpox) na wakafaraiki sana. Ndiyo safari ya Karthago kwenda Roma iliishia hapo, lakini bila hivyo leo tungekuwa na historia nyingine kabisa.
Phoenician sio weupe ni weusiPia askari wake mashuhuri walikuwa weusi tiii walioitwa Numidians.
Take note of this zitto, this carries the wait of all the thread.....Warumi walikuwa wajanja sana na Vita yao Barca ilianzia kwa Barca(baba wa Hannibal)
Ushushushu haukuanza leo na udhaifu mkubwa waligundua upo kwa familia yake hivyo bada ya kuwazidi kete kule Alps wao wakatawanya majeshi kurudi kwao na Hannibal...............
Ila mke pia alimponza maana kibaraka wake mmoja alikuwa ni pandikizi la Rome...
Bila shaka ujasusi wa warumi uliwasaidia zaidi kuliko historia ya utabiri wa nguvu zao
dola la rome liko hadi leo, biblia haikuyaona haya??????Jibu la ki Biblia sababu iliyosababisha Hannibal barca kushindwa kuishambulia Roma 20 na habari za zile pembe kumi zilizokuwa kichwani mwake, na ile pembe nyingine iliyozuka, ambayo mbele yake zilianguka pembe tatu; yaani, pembe ile yenye macho, na kanwa lililonena makuu, ambayo kuonekana kwake kulikuwa hodari kuliko wenzake.
Danieli 7 :20
21 Nikatazama, na pembe iyo hiyo ilifanya vita na watakatifu, ikawashinda;
Danieli 7 :21
23 Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande.
Danieli 7 :23
25 Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.
Danieli 7 :25
26 Lakini hukumu itawekwa, nao watamwondolea mamlaka yake, kuipoteza na kuiangamiza, hata milele.
Danieli 7 :26