Hans Pope, jeuri na kisiki

Sio kweli hadithi tuuu.kwani mizani
Siinasoma vema.pia sikunakukagua mizigo mnapokabiziana au unatufanya wote watoto
 
Kamanda mstaafu huyo Anajuwa silu nyingi Za Nchi hii kama shekhe ponda
 
Ila baba yake kwenye vita ya Uganda alisifika sana kwenye medani na aliitwa 'Black Mamba' ingawa yeye ni mweupe- nadhani alijipaka tope au masizi. Kwa hiyo ujeuri wake ni wa urithi. Kutoka hela mpaka kuwa tajiri siyo mchezo.
Sio kweli unalisha watu matango pori kama hauna hakika na jambo ama taarifa u better ask
 
Humjui Captain zakaria Hanspope wewe nyamaza tu
baba yake aliyekuwa Kamanda wa police (RPC) mkoa wa kagera aliuawa na majeshi ya nduli idd amini kule mtukula na akadhaniwa ni mchina kwa kuwa ni chotara na nduli akatangaza tz inasaidiwa na majeshi ya China kumbe jamaa ni mnyalu mwenye asili ya kizungu
 
Hanspope mbona sijamuona siku ya kukabidhiwa kombe na raisi
 
Huyu Hans Pope nakumbuka aliwahi kujibizana na waziri mmoja kwenye serikali iliyopita kama sikosei, sijui ni waziri gani kuhusu mizani na magari yake kuzidi alimjibu vibaya sana aisee yaani mpaka niliona aibu mimi mwenyewe!!!
mkuu unamkumbuka huyo waziri?
 
anabakia kuwa mwanaume wa shoka.
 
Duh Bas ndo maana jamaa ana kisasi naye
 
hata kama ukiwa sio ccm ila ukiwa yanga tu akili zako lazma ziwe hazina akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…