swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
Tupatie kiundani mkuu Kipindi anapanga Hayo mapinduzi alikuwa na wadhifa gani Jeshini mwaka gani?? na Akina nani walikuwa pa1 nae na alifungwa gerezan mwaka gani na Alisamehewa na kutoka Gerezani mwaka gani?? Na Je! Kesi ya uhaini INA msamaha???Ok, lakini kumbuka reliability aliyonayo sasa baada ya msamaha wa Rais ambaye kikatiba ni holder of prerogative MERCY