Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Huyu Hans Poppe si ndio yule Mhaini ambaye alitaka kumuua Nyerere na kuipindua serikali akahukumiwa kifungo cha maisha kasha akaja kuachiwa na Rais Mwinyi???
 
Ningekuwa Rais wa Tz ningemfanya mh.Magufuli kamishna wa wizara ya ujenzi tena asimamie barabara Tu. Na si waziri,
 
Naona Magufuli Anacheza Poly Tricks!! Anajua wazi barabara zilizojengwa na Chinese Contractor's ni Sub-standard!! Na huwa zinabomoka always pindi zinapotumika sasa anatafutia pa kuficha uso wake!! Poor My Country TANZANIA
 
Mimi nasema hivi Magufuli akaze kamba kabiasaa haka ka ugomvi huenda kakatutoa watanzania. Mizigo yote siku zote inatakiwa isafiri kwa reli tu kupita barabarani iwe last resort huku kwetu ni kinyume reli imekua last resort matokeo yake gharama ya maisha inapanda na mbaya zaidi barabara zetu hazidumu kwa sababu ya kuelemewa. Kingine ajali zinakua nyingi ukizingati ni vijibarabara na wote tuna banana humo. Ni wakati mwafaka kwa Mwakyembe naye kuamka na kuimarisha reli zote ili zibebe mizigi hiyo. Kwa hili Magufuli namuunga mkono kwa sana!

Watawala ndiyo wenye biashara za malori. Hapo sasa!
 
acha hamtaje maana alimuokoa sana Dk Pombe alikuwa atoswe wani hakuwa mwanamtandao, mtandao ulikuwa wa Mashiringi, Sumaye, Makweta wao waliangukia pua, utendajoi wake ndio ulimwokoa
​Magufuli anachoweza
sana ni kujikomba kwa JK kwa kumtaja kila baada ya dakika moja katika
hotuba zake!
 
Suluhisho la kudumu siyo kuongeza faini bali ni kuboresha huduma za usafiri wa reli kwani ndio njia mujarabu wa usafirishaji wa mizigo mizito na kwa gharama nafuu kwa nchi kavu.
Pia mfahamu kile kinachoitwa "kuzidisha uzito" siyo kwamba ni lazma uwe umezidisha mzigo ila yaweza kusababishwa na upangaji mbaya wa mizigo maana kinachopimwa na pressure where by pressure=force/area and force=force*accel
hivyo basi si sahihi kudhani kuzidisha uzito kunasababishwa tu na mizigo mingi bali pia upangaji wa hiyo mizigo usiolandana na mgawanyo sahihi kwa tairi
 
Hans Poppe analake jambo,Simba imemshinda,anataka kutuaminisha kuwa Magufuli si mtu makini.
Hebu tuangalie hoja kwanza, mambo ya Simba yatatutoa nje ya mada. Afterall, Simba imemshinda vipi wakati usajili ameusimamia na timu inaongoza ligi?
 
Wakati Magufuli anaagiza magari yaliyozidi uzito yazuiwe, Mwakyembe aliendesha gari hadi kwenye mizani kwenda kuyakwamua mabasi mawili mapya mali ya raia wa Zambia, yaliyokuwa yamezuiwa (na Magufuli) eti hadi faini ya uzito ikalipwe Dar es Salaam, tena hadi Jumatatu kwani siku hiyo ilikuwa week-end! Nadhani hata Mwakyembe huwa anamshangaa sana Magufuli!
 
In a nutshell magufuli anaonekana na watanzania kama mtu hodari na mchapakazi , kiuhalisia mimi naona kinyume chake.

Binafsi si msafiishaji wala sina uhusiano wowote na sekta hiyo , lakini ninasafiri sana kwa barabara nchi karibu zote za Sadc ,Suala la mizani na sheria zake zinazidi Kuwa tight hapa kwetu pengine kuliko nchi nyingine za sadc, na pengine ndo tunaongoza kwa rate ya uharibifu wa barabara kuliko wenzetu kwa sababu ya ubabe wa mtu mmoja tu, MAGUFULI !!!
Uharibifu wa barabara. Kwa kiasi kikubwa unatokana na sheria mbovu zilizowekwa na kusimamiwa na viongozi husika,kulalamkikia wasafirishaji ni sawa na kuficha ukweli wa tatizo, si kweli kuwa tunabeba mizigo mizito sana. Bali tuna utaratibu mbaya wa kubeba mizigo ndo maana barabara zetu hazidumu.

Kuna mawili huwa nafikiri dhidi ya wizara hii na watendaji wake, either wananufaika na rushwa kutoka kwa wasafirishaji hivyo wanaopt njia ambazo hazitatui tatizo bali kuiongezea.mzigo serikali na mtu wa kawaida au hawajui na hawako serious kuboresha pengne kuondoa kabisa sheria kandamizi zinazopelekea watu kutocomply.

Mfano Botswana idadi ya juu ya axle ni 9 urefu mwanzo hadi mwisho ni mita 22, hapa kwetu ni axle 7 na urefu hautakiwi kuzidi mita 17!!! put it simple unapokuwa na axle nyingi ndio unavyozidi kutetea barabara na the opposite is also true,
Ningekuwa mimi ndo magufuli nijuuliza swali moja kwa nini south africa wanabeba mizigo mizito yet road network zao zina lifespan kubwa kuliko zetu na pia hawana idadi kubwa ya mizani kama sisi . Na bado wakifika Tunduma wanaona ni afadhali kuoffload mizigo na kupakia kwenye malori yetu??

Hivi kuna hasara gani Tanroad ikiruhusu axle 9 na urefu ukawa 22 metre! !! Kwa nini Trailers za Inter link ambazo zinatuika karibu africa nzima hapa kwetu ni marufuku? remember Austalia wanabeba mpaka tani 80 kwa kuongeza idadi ya axle na kuto limit urefu! Na bado barabara zao zinadumu.

kwa barabara zetu mchina hapo ni ishu kubeba uzito mkubwa sanaaaaaa
 
Hans yu sahihi, mr Pombe anakurupuka sana.anashangaa mizani iringa kuwa na faini ndogo.ni ---- sana. Kuna mizani ngapi mpaka unafika iringa bado utegemee gari liwe overloaded!shame on him alitakiwa kuwapongeza
 
Hans Poppe analake jambo,Simba imemshinda,anataka kutuaminisha kuwa Magufuli si mtu makini.

Hivi huyu Hans Poppe ndiye yule alietakaga kumpindua JK Nyerere? Kama ndiye atakuwa na elementi za zaidi ya Mafisadi! Yeye kila mtu safi ni adui kwake.

Siku Reli ikifufuliwa mizigo yote mizito kama cement, mabati, nondo, mbao, steel scrapers nk itakuwa ni marufuku kuopita barabarani! Tuone kama atazira!
 
In a nutshell magufuli anaonekana na watanzania kama mtu hodari na mchapakazi , kiuhalisia mimi naona kinyume chake.

Binafsi si msafiishaji wala sina uhusiano wowote na sekta hiyo , lakini ninasafiri sana kwa barabara nchi karibu zote za Sadc ,Suala la mizani na sheria zake zinazidi Kuwa tight hapa kwetu pengine kuliko nchi nyingine za sadc, na pengine ndo tunaongoza kwa rate ya uharibifu wa barabara kuliko wenzetu kwa sababu ya ubabe wa mtu mmoja tu, MAGUFULI !!!
Uharibifu wa barabara. Kwa kiasi kikubwa unatokana na sheria mbovu zilizowekwa na kusimamiwa na viongozi husika,kulalamkikia wasafirishaji ni sawa na kuficha ukweli wa tatizo, si kweli kuwa tunabeba mizigo mizito sana. Bali tuna utaratibu mbaya wa kubeba mizigo ndo maana barabara zetu hazidumu.

Kuna mawili huwa nafikiri dhidi ya wizara hii na watendaji wake, either wananufaika na rushwa kutoka kwa wasafirishaji hivyo wanaopt njia ambazo hazitatui tatizo bali kuiongezea.mzigo serikali na mtu wa kawaida au hawajui na hawako serious kuboresha pengne kuondoa kabisa sheria kandamizi zinazopelekea watu kutocomply.

Mfano Botswana idadi ya juu ya axle ni 9 urefu mwanzo hadi mwisho ni mita 22, hapa kwetu ni axle 7 na urefu hautakiwi kuzidi mita 17!!! put it simple unapokuwa na axle nyingi ndio unavyozidi kutetea barabara na the opposite is also true,
Ningekuwa mimi ndo magufuli nijuuliza swali moja kwa nini south africa wanabeba mizigo mizito yet road network zao zina lifespan kubwa kuliko zetu na pia hawana idadi kubwa ya mizani kama sisi . Na bado wakifika Tunduma wanaona ni afadhali kuoffload mizigo na kupakia kwenye malori yetu??

Hivi kuna hasara gani Tanroad ikiruhusu axle 9 na urefu ukawa 22 metre! !! Kwa nini Trailers za Inter link ambazo zinatuika karibu africa nzima hapa kwetu ni marufuku? remember Austalia wanabeba mpaka tani 80 kwa kuongeza idadi ya axle na kuto limit urefu! Na bado barabara zao zinadumu.

Katika maelezo yako hakuna tuhuma dhidi ya Magufuli, umezungumzia sheria mbaya na watendaji wabovu, hapo Pombe anahusika vipi? Hayo tuaache, hivi kwa mtu mwenye akili anaweza kulinganisha barabara za Botwana, Afrika Kusini na Australia na za hapa Tanzania? Hivi kweli mtu huyu yuko serious au ana chuki binafsi na Magufuli!

Kwa kifupi ni kwamba, huwezi kulinganisha nchi za wenye akili na ya kwetu kwenye nyanja yotote ile, iwe ni kwenye elimu, michezo, sayansi, miundombinu, uwajibikaji wa serikali, usafirishaji, fedha na uchumi. Sisi ni uzembe, rushwa ufisadi na ukandamizaji wa haki za raia ndo mwendo wetu. Magufuli anajitahidi sana kumbuka wizara hiyo walishapewa akina Chenge na Kawambwa lakini waliondoka hata barabara moja haikukamilika bali gharama za ujenzi wa Km moja ya Lami ili shoot...why?
 
Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye anachuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.

Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza jwa nini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.

Amesema Magufuli ndio waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo. Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.

Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.

Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho. Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!

Nakushukuru mleta uzi ila kwa kweli wamiliki wa malori n ikati ya makundi ya wahuni sijawahi ona hapa tz, wanachojali wao ni mshiko tuu, miondo mbinu ya barabara kwao ni just tuu ilimradi mzigo ya wateja wao ifike na washike hela zao, wakati ni barabara hizo hizo zinasafirisha na abiria, vyakula, madawa na hata wagonjwa na maiti pia.
Simshangai Hans Popp kwa kuwa naye ni muhuni na yuko kwenye genge la wahuni na wahujumu barabara na hivyo sio kosa lake kumlaumu Magufuli ila ailaumu roho yake kwa kuwaka moto kwa kuwa magufuli anaangalia maslahi ya wengi bila kujali ka kikundi chao wahuni wasio na roho za utu BIG UP MAGUFULI
 
Ana umakini gani? zaidi ya kujikomba kwa JK, anapokuwa na Jk ndio hujifanya kutoa vitisho kwa wakandarasi
 
Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye anachuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.

Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza jwa nini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.

Amesema Magufuli ndio waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo. Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.

Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.

Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho. Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!
Hans Poppe ndio nani nchi hii hadi watu tujali anachosema. Wenye malori ndio wateja wakubwa wa rushwa ya mizani. Tangu lini wenye malori wanaweza kua compliant na axle load. Wanatajirika kwa kuzidisha mzigo na kuharibu barabara zinazojengwa na umma. Uwezo wa malori ya kisasa kubeba mzigo ni mkubwa sana kuliko uwezo wa barabara tunazoweza kujenga. Matajiri wa malori wenye tamaa hutaka kujaza mzigo sawa na uwezo wa malori yao jambo ambalo huishia kufupisha maisha ya barabara kwani hazijajengwa kuhimili uzito kama huo. Wanaompakazia magufuli sio watu wenye nia njema.
 
Lets see what happens wakigoma. Bandari itasimama na meli hazitashusha mzigo. So kutakuwa na msongamano wa meli bandari ya Dar na kuifanya isikubalike zaidi. Wateja watahamia Mombasa kwa wingi. This will cost Tanzania big time.
Tusikubali hii blackmail ya matajiri wa malori. Wameua reli kwa kuinyang'anya hata mizigo isiyostahili kusafirishwa na malori ila reli tu. Leo hii mizigo mizito (bulky) kama cement, nondo, mabati na mafuta ya petroli inaponda barabara za lami na kuziharibu vibaya kwa kutoa rushwa kwenye mizani. Halafu wanatutisha eti waharibu tu barabara za umma ili wazidi kutajirika kwa gharama ya umma.
 
Hivi yule Lukumay aliyedaiwa kufa kwa ajali, siye huyu? Wengine walituaminisha kuwa ndiye huyu.
 
Na yale ya Rizi nayo yatagoma!! Tusubiri tuone...
 
Tunapata shida shida barabarani, hii itaifanya serikali ishituke kidogo
 
nafikiri ni muhimu kwa serikali yetu kufikiria jinsi wanavyoweza kuimarisha reli ili kuondoa kabisa kutegemea hawa watu wa malori. usafirishaji kwa njia ya reli ni bora kuliko malori yanayoharibu tu barabara. kama wakigoma najua athari zitatokea lakini hata zikitokea, wataiamsha serikali kuimarisha reli ili kupunguza utegemezi kwa maloli.
 
Back
Top Bottom