Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Hizo barabara zimejengwa ili zikae urembo? wanaozidisha wanalipa faini na wasiozidisha wanapeta.

Kumbuka, barabara hata kama hukuitumia inaharibika.
Je barabara isipotumika itaharibika kwa kiwango kile kile pale inapotumika kubeba mizigo iliyozidi uzito?


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mh. Magufuli amapata pesa nyingi kwa njia ya rushwa kutoka kwa wa china. Sasa anchofanya ni kuzima siri hii mpaka 2015. Si atakuwa hayupo na katiba yetu asiyekupo na lake halipo ina maana hamna kushtakiwa anaenda zake ulaya kuishi maskin mtanzania anasota. hii ndio tanzania. Kidumu chama cha mapinduzi. Endeleeni kulipa kodi kwa manufaa ya mapapa.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Magufuri mtu makini sana wanabeba mizigo mizito sana wanatuharibia barabara.
Well said mkuu, jamaa hawa hawamtaki Magufuli kutokana msimamo wake na anaelewa ubaya wa magari ya mizigo kuzidisha uzito - barabara zinagharimu fedha nyingi sana kuzijenga na kuzikarabati, unlike permanet way ya reli ambayo haigharimu sana kui-maintain unless kukitokea derailment kubwa ya kuharibu mataruma, nayo ni nadra sana. Mambo ya kudai eti Magufulini sio injinia hayana mshiko wowote - Magufulini ni mwana sayansi yuko well versed na nyanja zote za Sayansi including Engineering sio mbumbumbu kama wafanya biashara wanavyo mfikiria, wala siwezi kushangaa kama baadhi ya Wafanya kazi wizarani mwake nao wanachangia kutaka kumkatisha tamaa Mzalendo Magufuli wakishirikiana na Wafanya biashara wakubwa wa malori ili aondolewe wizarani, kuna kamkakati ka aina fulani hapa si bure. Hakuna Serikali ambayo inaweza kuruhusu watu wenye nguvu za fedha kufanya wapendalo bila ya kufuata sheria, tukilaza damu tukakosa kuwa wangalifu katika utunzaji wa barabara zetu kwa kuogopa lawama za uongo na kweli, basi effort zote za utawala wa JK katika nyaja za miundo mbinu za babaraba zitakwenda na maji - tukumbuke matajiri wa malori wanacho jali ni kusafirisha mizingo bila kujali uzidishaji wa uzito wa mizigo inapo bidi. Mimi nashindwa kuelewa kwa nini Serikali yetu inaonekana kusua sua katika suala la kukarabati/kujenga upya reli yetu ya kati, kwa nini hachangamkii suala hili? - 'am sorry kusema sioni kama kuna dalili zozote za kipa umbele katika suala hili!! Jana ndio niliona gazetini tenda ya kujenda/karabati reli ya kuzunguka Dar na siyo ya kwenda Bara. Swali ni, lini Serikali itahanza kutandika reli mpya yenye standard gauge kwenda Bara, kwa nini project hii amuwapi Wachina ambao wengechukua muda mfupi kuikamirisha badala yake tunakimbilia kwa Wajapan ambao hatuna uhakika kama watatujenga reli kweli au la, wenzetu wa Kenya na Uganda watatuzidi kete baada ya kuomba msaada kutoka kwa Wachina ili wa modernise reli yao 2 standard gauge, narudia kuhoji tena hapa kwetu kuna nini lakini? Au cartel ya wasafirishaji wa barabara ndio wanaweka spana katika utandikaji wa reli mpya kwenda bara - I might be wrong, lakini lolote linawezekana katika Taifa letu - ucheleweshaji wa utandikaji wa reli mpya kwenda bara siwa kawaida hata kidogo! Hata kama wenzetu usema "there's no hurry in Africa" binafsi katika hilo naona Tanzania tumezidi kuwa dead slow kuanzisha Project ya ku-modernise reli ya KATI ambayo ni lifeline ya TAIFA letu kusema ukweli.
 
Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye anachuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.

Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza jwa nini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.

Amesema Magufuli ndio waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo. Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.

Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.

Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho. Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!

Mjinga huyo, tena wanatakiwa watozwr zaidi. Malori yanaharibu barabara
 
Je barabara isipotumika itaharibika kwa kiwango kile kile pale inapotumika kubeba mizigo iliyozidi uzito?


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Tena kama haitumiwi inaharibika kwa kiwango kikubwa na haraka zaidi.
 
Naona Magufuli Anacheza Poly Tricks!! Anajua wazi barabara zilizojengwa na Chinese Contractor's ni Sub-standard!! Na huwa zinabomoka always pindi zinapotumika sasa anatafutia pa kuficha uso wake!! Poor My Country TANZANIA
Mkuu sio vizuri kusema kwamba ma Contractors wa Kichina wanajenga au kuhunda/majengo/barabara ambavyo ni Sub-Standard, umewahi kusafiri na reli ya Tazara iliyo jengwa kwenye maika ya sabini ukangalia reli, majengo na madaraja yalivyo jengwa? Si rahisi kubeza Wachina ambao walihunda mabomu ya thermonuclear kwenye miaka ya sitini, ndege za vita na mizigo, maroketi ya kubeba binadamu na mizingo, ni kitu gani ambacho Wachina hawana utaalamu nacho? Nakubari kuna baadhi ya Ma Contractors wa Kichina wajaja janja lakini hata nchi za magharibi wajanja hao wapo, mbona Taifa letu liliwahi kuwatimua ma contractors wa kutoka Ulaya walio fanya kazi zao shoddly; chukulia mfano wa barabara ya Kilwa - kuanzia Bendera tatu mpaka Mbagala mbona Wajapan wamelazimishwa kuikarabati upya, barabara hiyo ilianza kubomoka kabla haijakabidhiwa Serikalini!!
 
Inaharibikaje kama haitumiki? Umeniwacha njia panda.

Soma kijana upate faida, soma kuhusu road erosion, corrosion, vegetation, deterioration, maintenance, used, unused...

Usingoje kila kitu kufanyiwa. Ilmu hutafutwa.
 
Magufuli ana asili ya udikteta,,,mnamsifu msafi au mmesahau nyumba za Serikali alivyoziuza na kumuuzia Kimada wake pamoja na kaka yake.
 
Magufuri mtu makini sana wanabeba mizigo mizito sana wanatuharibia barabara.

tatizo siyo mizigo mizito tatizo ni barabara zilizo chakachuliwa na chajuu akala Magufuli, mfano mzuri ni barabara ya jimboni kwake Chato
 
Well said mkuu, jamaa hawa hawamtaki Magufuli kutokana msimamo wake na anaelewa ubaya wa magari ya mizigo kuzidisha uzito - barabara zinagharimu fedha nyingi sana kuzijenga na kuzikarabati, unlike permanet way ya reli ambayo haigharimu sana kui-maintain unless kukitokea derailment kubwa ya kuharibu mataruma, nayo ni nadra sana. Mambo ya kudai eti Magufulini sio injinia hayana mshiko wowote - Magufulini ni mwana sayansi yuko well versed na nyanja zote za Sayansi including Engineering sio mbumbumbu kama wafanya biashara wanavyo mfikiria, wala siwezi kushangaa kama baadhi ya Wafanya kazi wizarani mwake nao wanachangia kutaka kumkatisha tamaa Mzalendo Magufuli wakishirikiana na Wafanya biashara wakubwa wa malori ili aondolewe wizarani, kuna kamkakati ka aina fulani hapa si bure. Hakuna Serikali ambayo inaweza kuruhusu watu wenye nguvu za fedha kufanya wapendalo bila ya kufuata sheria, tukilaza damu tukakosa kuwa wangalifu katika utunzaji wa barabara zetu kwa kuogopa lawama za uongo na kweli, basi effort zote za utawala wa JK katika nyaja za miundo mbinu za babaraba zitakwenda na maji - tukumbuke matajiri wa malori wanacho jali ni kusafirisha mizingo bila kujali uzidishaji wa uzito wa mizigo inapo bidi. Mimi nashindwa kuelewa kwa nini Serikali yetu inaonekana kusua sua katika suala la kukarabati/kujenga upya reli yetu ya kati, kwa nini hachangamkii suala hili? - 'am sorry kusema sioni kama kuna dalili zozote za kipa umbele katika suala hili!! Jana ndio niliona gazetini tenda ya kujenda/karabati reli ya kuzunguka Dar na siyo ya kwenda Bara. Swali ni, lini Serikali itahanza kutandika reli mpya yenye standard gauge kwenda Bara, kwa nini project hii amuwapi Wachina ambao wengechukua muda mfupi kuikamirisha badala yake tunakimbilia kwa Wajapan ambao hatuna uhakika kama watatujenga reli kweli au la, wenzetu wa Kenya na Uganda watatuzidi kete baada ya kuomba msaada kutoka kwa Wachina ili wa modernise reli yao 2 standard gauge, narudia kuhoji tena hapa kwetu kuna nini lakini? Au cartel ya wasafirishaji wa barabara ndio wanaweka spana katika utandikaji wa reli mpya kwenda bara - I might be wrong, lakini lolote linawezekana katika Taifa letu - ucheleweshaji wa utandikaji wa reli mpya kwenda bara siwa kawaida hata kidogo! Hata kama wenzetu usema "there's no hurry in Africa" binafsi katika hilo naona Tanzania tumezidi kuwa dead slow kuanzisha Project ya ku-modernise reli ya KATI ambayo ni lifeline ya TAIFA letu kusema ukweli.

Umeniacha hoi ulivyo- compare China na Japan; yaani wewe hujui Japan kabisa. For your information Japan is First World, china is not. Japan is technological advanced while China can not reach that. Utaalamu wa fast trains in China uliletwa na Japani kwenda China, china walikopi, sasa hivi wana vita ya maneno. Kawasaki corporation, please get knowledge, don't write when you don't have reference!! A lot of knowledge in internet these days!! Read bombardier of Canada and also Japanese how they copperated in China and to find that their knowldge/technology was stolen.

Kwangu mimi Tanzania kuchagua Japan is better, and understand that there is no corruption with Japanese; they will not bribe you. Chinese sasa hivi kwetu, everything they pay (corrupt/bribe), big money, and we have these substandard roads, bridges etc Indians will not pay the money Chinese are paying to our decision makers.
 
Mkuu sio vizuri kusema kwamba ma Contractors wa Kichina wanajenga au kuhunda/majengo/barabara ambavyo ni Sub-Standard, umewahi kusafiri na reli ya Tazara iliyo jengwa kwenye maika ya sabini ukangalia reli, majengo na madaraja yalivyo jengwa? Si rahisi kubeza Wachina ambao walihunda mabomu ya thermonuclear kwenye miaka ya sitini, ndege za vita na mizigo, maroketi ya kubeba binadamu na mizingo, ni kitu gani ambacho Wachina hawana utaalamu nacho? Nakubari kuna baadhi ya Ma Contractors wa Kichina wajaja janja lakini hata nchi za magharibi wajanja hao wapo, mbona Taifa letu liliwahi kuwatimua ma contractors wa kutoka Ulaya walio fanya kazi zao shoddly; chukulia mfano wa barabara ya Kilwa - kuanzia Bendera tatu mpaka Mbagala mbona Wajapan wamelazimishwa kuikarabati upya, barabara hiyo ilianza kubomoka kabla haijakabidhiwa Serikalini!!

If your first country to visit was China, in Beijing, yes for you it will be the first world, because you compare Dar Es Salaam and Beijing; ofcourse, Beijing is first world for Dar Es Salaam. And the rail you are saying though was dirty, slow, bad services, was better than anything you have. Again read more about china, Russia on those weapons you are talking about. More arguments? come on!!
 
kwahakili zako unadhani barabara zilijengwa ili wapite watembea kwa miguu?

Nenda sehemu zote duniani zina limit ya uzito. Ukiruhusu magari mazito leo hizo barabara zitabondeka na kuharibika. Wewe kama unaakili unaelewa maana ya uzito na kuharibika barabara. Tena ningekuwa magufuli ningeweka msisitizo zaidi wa speed, hao wenye malori hawatakiwi kuzidi speed ya 60.
 
Lets see what happens wakigoma. Bandari itasimama na meli hazitashusha mzigo. So kutakuwa na msongamano wa meli bandari ya Dar na kuifanya isikubalike zaidi. Wateja watahamia Mombasa kwa wingi. This will cost Tanzania big time.

Mkuu hili jambo linatakiwa kupatiwa ufumbuzi. Hakuna nchi duniani ambayo imnatembeza malori mabarabarani kwa km 1000 yakiwa yamesheheni mizigo. Tunaambiwa gharama ya kutengeneza km 1 ya barabara hapa Tanzania ni zaidi ya Tshs. 1 billion lakini barabara hizo zinaharibika mapema sana kwa sababu ya mamizigo ya malori.

Mizigo inatakiwa ipite kwenye reli. Mfano toka Dar hadi mwanza unakutana na malori zaidi ya elfu kwa siku yote yamejaa mizigo, kwa nini mizigo isibebwe kwa reli? Tukiangalia bandari tu bila kuangalia barabara basi tutaishia kukusanya mapato ya bandari na kuendelea kujenga na kukarabati barabara kila kukicha.

Nampa Big Up Dr. John Pombe Magufuli kwa jitihada anazofanya katika kujenga barabara na kuhakikisha barabara zinadumu. Dr. Magufuli wafanyabiashara wanachokijua ni faida tu hawaelewe kuwa barabara zinaharibika mapema na wahandisi wako kuambiwa wamechakachua kumbe ni uzito wa malori. Endeleza mapambana kwa faida ya watanzania wote.

 
Huyu Hans Poppe si ndio yule Mhaini ambaye alitaka kumuua Nyerere na kuipindua serikali akahukumiwa kifungo cha maisha kasha akaja kuachiwa na Rais Mwinyi???

Hakika ndiye akiwa na akina marehemu Cpt. Maganga, MacGee, Kajaja, Kadego, nk.
 
Basi tusibebe mizigo huko mikoani watajiju wenyewe wakihitaji vitu na mitambo

na wewe mchele utaagiza dubai????,kwakua upo hapa dar unajihisi umemaliiza,,,,wakat unategemea nyanya za Ilula
 
Hizo barabara zimejengwa ili zikae urembo? wanaozidisha wanalipa faini na wasiozidisha wanapeta.

Kumbuka, barabara hata kama hukuitumia inaharibika.

Duh FaizaFoxy pamoja na data zako zoooote za ujenzi wa barabara za nchi hii chini ya Rais JK hujui madhara yanayoletwa na uzidishaji wa mizigo kwenye barabara zetu? Kama hiyo elimu huna nitakupatia na unaweza kutoa machozi kwa kuwa kwa mwendo huu wa kuzidisha mizigo basi barabara ambazo JK anajitahidi kujenga nawe kumsifia hazitafika mwaka 2015!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom