Katika maelezo yako hakuna tuhuma dhidi ya Magufuli, umezungumzia sheria mbaya na watendaji wabovu, hapo Pombe anahusika vipi? Hayo tuaache, hivi kwa mtu mwenye akili anaweza kulinganisha barabara za Botwana, Afrika Kusini na Australia na za hapa Tanzania? Hivi kweli mtu huyu yuko serious au ana chuki binafsi na Magufuli!
Kwa kifupi ni kwamba, huwezi kulinganisha nchi za wenye akili na ya kwetu kwenye nyanja yotote ile, iwe ni kwenye elimu, michezo, sayansi, miundombinu, uwajibikaji wa serikali, usafirishaji, fedha na uchumi. Sisi ni uzembe, rushwa ufisadi na ukandamizaji wa haki za raia ndo mwendo wetu. Magufuli anajitahidi sana kumbuka wizara hiyo walishapewa akina Chenge na Kawambwa lakini waliondoka hata barabara moja haikukamilika bali gharama za ujenzi wa Km moja ya Lami ili shoot...why?