Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli

Hans Poppe wa TATOA amchambua Magufuli


Mkuu hili jambo linatakiwa kupatiwa ufumbuzi. Hakuna nchi duniani ambayo imnatembeza malori mabarabarani kwa km 1000 yakiwa yamesheheni mizigo. Tunaambiwa gharama ya kutengeneza km 1 ya barabara hapa Tanzania ni zaidi ya Tshs. 1 billion lakini barabara hizo zinaharibika mapema sana kwa sababu ya mamizigo ya malori.

Mizigo inatakiwa ipite kwenye reli. Mfano toka Dar hadi mwanza unakutana na malori zaidi ya elfu kwa siku yote yamejaa mizigo, kwa nini mizigo isibebwe kwa reli? Tukiangalia bandari tu bila kuangalia barabara basi tutaishia kukusanya mapato ya bandari na kuendelea kujenga na kukarabati barabara kila kukicha.

Nampa Big Up Dr. John Pombe Magufuli kwa jitihada anazofanya katika kujenga barabara na kuhakikisha barabara zinadumu. Dr. Magufuli wafanyabiashara wanachokijua ni faida tu hawaelewe kuwa barabara zinaharibika mapema na wahandisi wako kuambiwa wamechakachua kumbe ni uzito wa malori. Endeleza mapambana kwa faida ya watanzania wote.


tatizo ni kwamba hata hao wanasiasa nao wanahusika sana na umiliki wa malori,,,,hao wamilik wa malori ndio wafadhili wa siasa na ndo wanasiasa,,,,na mi nahis wanasiasa wanaihujumu reli ili tu waneemeke,,,,,
 
Naona watu hapa watu wanabishania ya kwamba wenye malori waruhusiwe kubeba mzigo mzito barabara ziharibike nafikiri wengi wanachangia hoja bila kujua chanzo cha mgogoro!
Ni kwamba transporters wana lalamikia hiyo tolerence ya 5% na kwa nini iliwekwa hicho kiwango,hicho kiwango kipo kwenye nchi sadc pia.
HUko nyumba na mpaka sasa kuna malalamiko ya mizani kutofautiana kupima ukipima kibaha wanakuambia sawa ukienda makambako wanakuambia umezidisha mzigo huo huo sasa kutokana na hilo ikaamuliwa kuwepo na hiyo tolernce ya 5% kuondoa adha hiyo,pia upangaji wa mizigo kwenye gari kwa axle unaweza ona axle moja imepungua nyingine imezidi kidogo wakasema kutokana na upangaji wa mzigo mpaka 5% uwepo alimradi kile kiwango kisizidi kuondoa uharibifu wa barabara ,sasa huyo bwana mkubwa Magufuli kasema hilo lisiwepo ndipo wasafirishaji wakasema haiwezekani na kauli ya magufuli ya kusema hawa Transporters wapigwa fine mpaka wafilsike .
lakini ikumbukwe hakuna atakaye penda barabara ziharibike kama hawa wenye malori wanataka kuchukua mizigo mizito zaidi ya kiwango kiilcho wekwa na barabara zikaharibika kwani wao hawata athirika barabara zikiharibika?Na wao si watumiaji wa hizo barabara?Barabara zikiwa mbaya malori yao yakipita kwenye hizo barabrara mbovu hata gharama za uendeshaji unakuwa mkubwa wa kununua vipuri nk,pia nao wao wanalipa kodi kila lita mmoja ya mafuta wanalipa shs 120-kwa road fund tena wao walipaji zaidi wa kodi hizo kuliko watumiaji wowote wa barabara kwa kuwa malori yana tumia mafuta mengi .
Kikubwa hao Tatoa wakae pamoja na serikali kuona wanatatueje tatizo hilo badala ya kila mmoja kumtumia lawama mwenzie
 
tatizo ni kwamba hata hao wanasiasa nao wanahusika sana na umiliki wa malori,,,,hao wamilik wa malori ndio wafadhili wa siasa na ndo wanasiasa,,,,na mi nahis wanasiasa wanaihujumu reli ili tu waneemeke,,,,,

Wafanyabiashara na wanasiasa wamechangia sana kuhujumu Reli ili wasafirishe mizigo kwa njia ya barabara. Namuunha mkono Waziri John Pombe Magufuli malori mengi yanazidisha uzito na faini hazilipwi kwani Watuvwa mizani wanasingizia kuwa malori yalikuwa 5% tolerance. Hivyo ikiondolewa itapungiza rushwa
 
Naona watu hapa watu wanabishania ya kwamba wenye malori waruhusiwe kubeba mzigo mzito barabara ziharibike nafikiri wengi wanachangia hoja bila kujua chanzo cha mgogoro!
Ni kwamba transporters wana lalamikia hiyo tolerence ya 5% na kwa nini iliwekwa hicho kiwango,hicho kiwango kipo kwenye nchi sadc pia.
HUko nyumba na mpaka sasa kuna malalamiko ya mizani kutofautiana kupima ukipima kibaha wanakuambia sawa ukienda makambako wanakuambia umezidisha mzigo huo huo sasa kutokana na hilo ikaamuliwa kuwepo na hiyo tolernce ya 5% kuondoa adha hiyo,pia upangaji wa mizigo kwenye gari kwa axle unaweza ona axle moja imepungua nyingine imezidi kidogo wakasema kutokana na upangaji wa mzigo mpaka 5% uwepo alimradi kile kiwango kisizidi kuondoa uharibifu wa barabara ,sasa huyo bwana mkubwa Magufuli kasema hilo lisiwepo ndipo wasafirishaji wakasema haiwezekani na kauli ya magufuli ya kusema hawa Transporters wapigwa fine mpaka wafilsike .
lakini ikumbukwe hakuna atakaye penda barabara ziharibike kama hawa wenye malori wanataka kuchukua mizigo mizito zaidi ya kiwango kiilcho wekwa na barabara zikaharibika kwani wao hawata athirika barabara zikiharibika?Na wao si watumiaji wa hizo barabara?Barabara zikiwa mbaya malori yao yakipita kwenye hizo barabrara mbovu hata gharama za uendeshaji unakuwa mkubwa wa kununua vipuri nk,pia nao wao wanalipa kodi kila lita mmoja ya mafuta wanalipa shs 120-kwa road fund tena wao walipaji zaidi wa kodi hizo kuliko watumiaji wowote wa barabara kwa kuwa malori yana tumia mafuta mengi .
Kikubwa hao Tatoa wakae pamoja na serikali kuona wanatatueje tatizo hilo badala ya kila mmoja kumtumia lawama mwenzie

5% tolerance iko kwenye Sheria, imewekwa kwa sababu logical Lori linaposafiri, with the bumps n.k mzigo hucheza, so ukipima mikese hutopata same reading ukipima mikumi n.k ukija kupima iringa

Alipokurupuka Mhe. Maghfuli kwa kutokujua or uwanasiasa akasahau kuwa hiyo 5% tolrence ipo katika Sheria zake za barabara.

So argument ya Hans Poppe ikawe je madereva/wamiliki wa malori wawe wanatembea na hiyo extract from Sheria ili wakifika mzani wawaonyeshe hao wapima mzani kuwa Sheria yao inaruhusu 5% tolerence?

Ndio maana malamiko yemekua mengi Sheria zipo ila ndio hazisimamiwa hata na hao wanaozitunga
 
Kimsingi ht mbishe vip barabara zinaharibiwa na magari ya mizigo, tena inayo milikiwa na wenye nazo, Hivi ni kwann reli inafanya kazi chini ya kiwango kwenya kubeba mizigo? Magufuri fanya kazi yako.
 
Magufuri piga kazi.Wasikutishe hawa waharibifu wa barabara kwa kujaza mizigo kupita kiwango. Wakati huohuo serikali iimalishe miundo mbinu ya RELI zote. Mizigo mizito yote ibebwe kwa reli. Wenye malori watapunguza kuringa. Ziangaliwe leseni zao za uchukuzi pia,mbona wenye MADALADALA wakigoma siku moja tu SUMATRA huwaambia tunawafutia leseni za uchukuzi,hawa vipi mbona kila siku wanatingisha kiberiti?
 
Hao Transporter ndo wauaji namba moja wa miundombinu yetu. Wanamwaga oil barabarani na hakuna tozo wanalopata! wanapindua mroli barabarani ili wapate bima bila kujali jinsi gani wanaumiza barabara zetu hakuna tozo inayotolewa dhidi yao! magufuli kaza kamba mkuu!!
 
5% tolerance iko kwenye Sheria, imewekwa kwa sababu logical Lori linaposafiri, with the bumps n.k mzigo hucheza, so ukipima mikese hutopata same reading ukipima mikumi n.k ukija kupima iringa

Alipokurupuka Mhe. Maghfuli kwa kutokujua or uwanasiasa akasahau kuwa hiyo 5% tolrence ipo katika Sheria zake za barabara.

So argument ya Hans Poppe ikawe je madereva/wamiliki wa malori wawe wanatembea na hiyo extract from Sheria ili wakifika mzani wawaonyeshe hao wapima mzani kuwa Sheria yao inaruhusu 5% tolerence?

Ndio maana malamiko yemekua mengi Sheria zipo ila ndio hazisimamiwa hata na hao wanaozitunga

Hiyo 5% ipo kwenye sheria na siamini kama Magufuli kakiuka sheria. Nimeambiwa kwamba inasema kwamba hiyo asilimia tano ikizidi basi una options mbili ambazo ni aidha kulipia mara nne ya tozo ya mzigo kama utataka kuendelea kubeba mzigo uliozidi kwa 5% ama uupange vizuri ili ekseli ziwiane au kuushuka. Nasikia tatizo linakuja kwenye matanker ambayo wao hawawezi kuushusha mzigo ama kuupanga hivyo wanatakiwa walipe mara nne ya gharama kwa hizo 5%.

Nasikia kuna shida kwamba kuna Waziri mmoja aliwahi kusema kwamba magari yakizidi 5% yaendelee na mzigo bila kuushusha, kuupanga vizuri ama kulipia mara nne hivyo Magufuli alichofanya ni kusisitiza utekelezaji wa sheria.

Magufuli kwa sheria namvulia kofia.
 
Hao Transporter ndo wauaji namba moja wa miundombinu yetu. Wanamwaga oil barabarani na hakuna tozo wanalopata! wanapindua mroli barabarani ili wapate bima bila kujali jinsi gani wanaumiza barabara zetu hakuna tozo inayotolewa dhidi yao! magufuli kaza kamba mkuu!!

Mkuu wasafirishaji ni adui wa nchi hii pamoja na kuhificha kwenye kichaka cha kusema wanapandisha uchumi. Naona Hans Pope amemwingia Dr. Magufuli. Natamani Magufuli aongee na waandishi wa habari kuwajibu utaona jinsi wananchi watakavyomuunga mkono Magufuli. Usije kushangaa malori yanaanza kuchomwa moto na wananchi kwa hasira. Wewe mtu hujaona barabara ya lami tangia umezaliwa, leo hii ukiwa na miaka 50 unaiona barabara kisha unaambiwa hiyo barabara haiwezi kudumu kwa sababu ya malori; hujajitoa muhanga?
 
Hakuna haja ya faini kwa wazidisha uzito. Kinachotakiwa ni kufungia maisha na kutaifisha lori linalozidisha uzito.
 
Mkuu sio vizuri kusema kwamba ma Contractors wa Kichina wanajenga au kuhunda/majengo/barabara ambavyo ni Sub-Standard, umewahi kusafiri na reli ya Tazara iliyo jengwa kwenye maika ya sabini ukangalia reli, majengo na madaraja yalivyo jengwa? Si rahisi kubeza Wachina ambao walihunda mabomu ya thermonuclear kwenye miaka ya sitini, ndege za vita na mizigo, maroketi ya kubeba binadamu na mizingo, ni kitu gani ambacho Wachina hawana utaalamu nacho? Nakubari kuna baadhi ya Ma Contractors wa Kichina wajaja janja lakini hata nchi za magharibi wajanja hao wapo, mbona Taifa letu liliwahi kuwatimua ma contractors wa kutoka Ulaya walio fanya kazi zao shoddly; chukulia mfano wa barabara ya Kilwa - kuanzia Bendera tatu mpaka Mbagala mbona Wajapan wamelazimishwa kuikarabati upya, barabara hiyo ilianza kubomoka kabla haijakabidhiwa Serikalini!!
Chinese they are so Good!! But not nowadays Chinese!! Always Chinese are chitters
 
Soma kijana upate faida, soma kuhusu road erosion, corrosion, vegetation, deterioration, maintenance, used, unused...Usingoje kila kitu kufanyiwa. Ilmu hutafutwa.
Mkuu FF nakubaliana nawe kwa kila kitu save corrosion, tatizo hilo lipo more pronouced kwenye barabara na Pillars za madaraja ya Ulaya na Merikani kutokana na kumwaga/kusambaza chumvi kwenye barabara wakati wa Winter - supermixture ya cooled chumvi na ice ina uwezo mkubwa wa sip through concrete pillars na kushambulia unexposed nondos, nilikuwa nashangaa sana!! Thanks 4 Ilmu DUNIA.
 
Chinese they are so Good!! But not nowadays Chinese!! Always Chinese are chitters

When it comes to Roads, you may have a Chinese company doing the construction but at the same time you have the client supervisors, the client consultants, the financiers or donors consultants, all those are there to make sure the roads are built to specified standards or more, not less.

Taking all that into consideration, how can you blame the Chinese?
 
Chinese they are so Good!! But not nowadays Chinese!! Always Chinese are chitters
Super, nakubaliana nawe kwamba Wachina wa zamani sio wa sasa hivi, ndio maana hata Serikali yao ikipata taharifa kwamba kuna rushwa imetembea kwenye major projects zao, basi wahusika wanahukumiwa fasta na kupigwa risasi ya kisogoni bila simile. Nchi za Kiafrica zinazo shirikiana na Wachina kwa karibu kasi yao ya maendeleo ni kubwa sana, ndiyo maana Kenya inafanya kila liwekenalo kuwa nao sambamba, Uganda nayo imewapa Wachina major projects, DRC nk - ndio maana wakina M7, Kenyatta na PK wamewapa Wachina project ya ku-modernise Reli ya kutoka Mombasa mpaka Kigali - ninavyo wajua wachina reli hii inaweza kukamilika ndani ya miaka mitatu/minne kama watafanya kazi usiku na mchana, wafanyakazi wa kichina hawahitaji kukaa kwenye a five star Hotel au kutuletea a tall order zisizo na mshiko! Taifa letu kama liko serious ku-modernise i.e kutandika reli yetu in standard gauge basi Wachina ndio wanaweza kutandika reli hii kwa kasi, kwanza kiwanda cha kutengeneza sleepers kipo Mbeya, ballast zinapatikana huko Mbeya na Dodoma/Morogoro kama sikosei - kitu ambacho Wachina wata-import kutoka kwao ni reli na machine za kumwaga ballast na kutandika reli basi, sasa Mungu akupe nini? Tukifanya makosa na kutegemea nchi za magharibi ambazo wakati mwingine hazieleweki vizuri/vigeugeu tutakwama.
 
Soma kijana upate faida, soma kuhusu road erosion, corrosion, vegetation, deterioration, maintenance, used, unused...

Usingoje kila kitu kufanyiwa. Ilmu hutafutwa.

Asante kwa ushauri mama.

Ila umetukimbia katika mjadala wetu unaoendelea kule na kina Kiranga, Eiyer, n.k.
 
Mti wenye matunda ndo unaotupiwa mawe,pole kwa chuki zako hans,tunakujua fanya yote uwezayo bt huna chako Tz,simba ishaanza kukuxhinsa tena n club isyokuwa na wanachama zaid ya M3,waaache kna JPM wanaokubalika hata na wapinzan walifanyie mama taifa hili
 
Ati mlala hoi anajenga barabara, kwa kitu gani? mlala hoi hata kodi ya mtaa tu halipi. Barabara hizi zinajengwa na mlipa kodi na wenye magari ambao kwa kila lita moja wanayonunua wanalipa shs 238.00 ambazo zinakwenda kwenye barabara sasa ni hawa hawa wanaolipa ndio huyu waziri anawakejeli ili mtu kama wewe usyejua mchango wao kwa utaifa umpe kura yako akigombea urais ambao anautaka. Cheap popularity na wewe maskini ya Mungu hujui utampa kura. wenye malori wanataka afuate sheria iliyopo ambayo yeye anataka kuibadilisha kinyemela
 
Kwa taarifa yako mwenye lori anatakiwa kushusha au kulipia pale atakapozidi baada ya 5% kuongezwa na sheria ndio inavyosema hivyo. Magufuli hataki hivyo na baada ya kikao kati ya wenye malori na serikali chin ya waziri mkuu kukutana magufuli alilazimisha tafsili ya sheria itolewe na mwanasheria mkuu wa serikali na imeishatolewa ambapo wenye malori wako sahihi. Sasa ngoma inogile maana inabidi mtu ameze matapishi yake hapa
 
Back
Top Bottom