Ingawa ana mapungufu yake kama binaadamu,bado naamini katika utendaji wa Magufuli. Ukichunguza kwa sasa katika serikali,ni mawaziri wasiozidi watano ndio tunaona wanachofanya na ndio wanaoipa ccm proud japo kidogo.Kwa sababu wana uwezo wa ku call a spade a spade. Sasa mpotezeni Magufuli na hao wenzake wanne muone kama kutaonekana au kusikika utendaji wowote!