Hans poppe jiulize umelifanyia nini taifa hili kiasi cha kunshambulia Magufuli,kiongozi sisi wenye maono na nchi hii tunamuona kama mfano wa kuigwa?pili TATOA inawasaidia nini watanzania masikini aswa walioko vijijini ambao MAGUFULI anapambana na nyie mabepari ili kuwapelekea miundombinu barabara?Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye anachuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.
Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza jwa nini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.
Amesema Magufuli ndio waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo. Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.
Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.
Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho. Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!
Magufuli ni boot leaker tu. Amevurunda mara nyingi sana kuliko mawaziri wengi. Mara ngapi Pinda kapindua maamuzi mabovu ya Magufuli? Kama Magufuli asingekuwa mchumia tumbo tu angejiuzuru siku nyingi kwa kudhalilishwa mbele ya umma na kuvuliwa nguo hadharani kwanza na TATOA then na Waziri Mkuu Pinda.Nani kama Magufuli katika kuchapa kazi? kama hauamini nitafutia viongozi 10 wenye uwezo wa kusimamia sheria katika nchi hii kama Magufuli.Tuache wachache wazarendo wenye uwezo wa kusimamia sheria kama nguzo mama kwa taifa lolote lenye dira ya maendeleo watufundishe namna ya kuheshimu sheria.
Nakuunga mkono. Nchi zilizoendelea mpaka na hata kesho wanathamini matumizi ya reli kwa ajili usafirishaji wa mizigo. Nimuomba Mungu mkuu Magufuli akomae wenye malori wagome zaidi, bandari ifurike, wateja wakimbilie Mombasa, labda mambo yakiharibika serikali itaweka vipaumbele vyake ktk mpangilio sahihi. Reli ndiyo mkombozi endelevu ktk sector ya usafirishaji mizigo. Reli ijengwe mpaka bandarini.Linapokuja suala la reli vs barabara hapa ndio serikali hii huwa siielewi kabisaaaa bora wagome tena kwa muda mrefu ili tujifunze kwa njia ngumu
Magufuli ni boot leaker tu. Amevurunda mara nyingi sana kuliko mawaziri wengi. Mara ngapi Pinda kapindua maamuzi mabovu ya Magufuli? Kama Magufuli asingekuwa mchumia tumbo tu angejiuzuru siku nyingi kwa kudhalilishwa mbele ya umma na kuvuliwa nguo hadharani kwanza na TATOA then na Waziri Mkuu Pinda.
Watu wengi wanadhani ukipiga kelele sana ndio ushahidi kuwa unajua kazi sana. Magufuli ni mweupe kabisa! Huwa najisikia vibaya sana nikimwona Magufuli akiramba viatu vya Kikwete mbele za watu bila hata tone la aibu! Mwanaume mzima! Baba mwenye watoto nyumbani! Mimi ningemkana kuwa baba yangu mtu kama Magufuli. Hakuna waziri yeyote anayemzidi Magufuli kwa kujikomba!
Ndie yeye, alitumikia adhabu yake kifungoni na aliachiwa huru mwaka 1995 kwa msamaha wa Mzee Rukhsa.
Nakuunga mkono. Nchi zilizoendelea mpaka na hata kesho wanathamini matumizi ya reli kwa ajili usafirishaji wa mizigo. Nimuomba Mungu mkuu Magufuli akomae wenye malori wagome zaidi, bandari ifurike, wateja wakimbilie Mombasa, labda mambo yakiharibika serikali itaweka vipaumbele vyake ktk mpangilio sahihi. Reli ndiyo mkombozi endelevu ktk sector ya usafirishaji mizigo. Reli ijengwe mpaka bandarini.
Serikali ifike mahali isifiwe kwa uboreshaji wa usafiri kwa njia ya reli. Kwa maoni yangu uwekezaja mkubwa kwenye mabarabara ni a "curse in disguise".
Komaa Magufuli, Komaa mwana wane!
Dawa ya moto ni moto, wamekutana hao, magufuli nae anakera sana kwa kauli zake
Duuh jiwe tangu kitamboMhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye anachuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.
Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza jwa nini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.
Amesema Magufuli ndio waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo. Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.
Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.
Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho. Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!
Mhazini wa TATOA ambacho ni chama cha wenye malori Tanzania amemwita Magufuli ni mtu asiyejua na ambaye anachuki kubwa kwa transporters na angeweza angewaondoa wote nchini kwa tuhuma za kufikirika kuwa wanaharibu barabara.
Amekwenda mbali zaidi kwa kusema anafikiria kuwa Magufuli anafanya makusudi ili apate mgao wake wa rushwa. Hii ni kwa sababu amewaagiza wafanyakazi wa mizani ya Iringa wawatoze faini wenye malori na kuuliza jwa nini faini zinapungua. Hans Poppe anasema faini zinapungua kwa sababu transporters wamekuwa compliant so hawatakiwi kutozwa faini ovyo.
Amesema Magufuli ndio waziri wa ovyo kuliko wote kwa kuendesha uongozi wa vitisho na amri za ovyo na kwamba mainjia wote wanamwogopa sana na wanasema hivyo. Anasema ingawa Magufuli si injinia lakini elimu yake inatosha kutoa mwongozo mzuri ila anafanya makusudi.
Amesema amri ya Magufuli kuondoa tolerance ya 5% katika uzito wa mizigo ni kinyume cha sheria kwani hiyo ni sheria au taratibu iliyowekwa tokea zamani wakati Magufuli bado anasoma.
Kwa hitimisho wameamua kusimamisha malori yote kutofanyakazi kuanzia kesho. Hii imetoka katika mahojiano na ITV 5 minutes ago. Ipo kazi!
Duuh mkuu ulifikiri nn kwa kauli yakoZamani nilzani bonge la Waziri kumbe shipa tu,angalia alivyomwangusha Raila Odinga kule Kenya. Mimi nawaambia bila Lowassa hakuna CCM hata mniloge habari ndio hiyo.
Charity Begins at HomeHizi zote zilikuwa ni alama za nyakati lakini hatukuziona