The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Hiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwananke mmoja tuHiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
Imam Hussein FOREVER kupitia yeye tumepewa Tawfiq Allah ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam.
View attachment 3058213
Mwanamama kamanda huyoNa mwananke mmoja tu
Endelea kuwa mjinga tu hakuna namna ya kusaidiwa😳😳Kupigwa kwa israel mpaka achakae ni suala la muda
Miaka yote sisi waarabu tunagongwa tu tunabaki na maneno maneno kama haya. Toka enzi na enziKupigwa kwa israel mpaka achakae ni suala la muda
Hawa ndio walioleta ule msemo utakiona cha mtemakuniHiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
Imam Hussein FOREVER kupitia yeye tumepewa Tawfiq Allah ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam.
View attachment 3058213
Kiongozi,hiko chumba walitumia wale jamaa kupanga njama za kumuua imam HusseinImam Hussein FOREVER kupitia yeye tumepewa Tawfiq Allah ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam.
MUDA HAUJAFIKA.ila itakuja kutokea myahudi atatafuta pa kujificha,sema ndo nyakati za mwisho wa dunia huko.sio leo wala keshoMiaka yote sisi waarabu tunagongwa tu tunabaki na maneno maneno kama haya. Toka enzi na enzi
Mtoto mdogo yako NEPI.kukuelewesha ni kazi bureEndelea kuwa mjinga tu hakuna namna ya kusaidiwa😳😳
Hahaha yani ukinikumbusha Imamu wetu alivyouwawa kikatili kulinda, kupigania na kuutetea uislamu yani naenda chumbani kwenye kona giza nakaa na kujikunyata huku nimekunja miguu nakuzamisha kichwa kwenye magoti nakukikumbatia kwa kubana kwa mikono miwili nakuangua kilio cha hatarii.Kiongozi,hiko chumba walitumia wale jamaa kupanga njama za kumuua imam Hussein
Inabidi tusuke mipango ya kukibomoa
Hili swali gumu sana, nasubiri jibuNaomba nijulishwe zaidi ,kwanini watu(haswa wa upande wa mama mdogo kama wewe) wanasikitika kiongozi wa hamasi kufyekwa na Israel?
Hata kiongozi wa al qaida Osama bin laden alipouwawa Kuna watu walilalamika ,Je Kuna ukweli wowote kua haya makundi ya kigaidi yanatekeleza mafundisho ya Uislam?
Maana mara nyingi wengine usema hayo makundi yanajivika Uislam lakini sio waislam ,
Why kifo hiki kiwe huzini na si shangwe? The Mongolian Savage
Mimi piaHili swali gumu sana, nasubiri jibu