Hao kwenye picha wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha

Hao kwenye picha wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha

Naomba nijulishwe zaidi ,kwanini watu(haswa wa upande wa mama mdogo kama wewe) wanasikitika kiongozi wa hamasi kufyekwa na Israel?
Hata kiongozi wa al qaida Osama bin laden alipouwawa Kuna watu walilalamika ,Je Kuna ukweli wowote kua haya makundi ya kigaidi yanatekeleza mafundisho ya Uislam?
Maana mara nyingi wengine usema hayo makundi yanajivika Uislam lakini sio waislam ,

Why kifo hiki kiwe huzini na si shangwe? The Mongolian Savage
Swaligumu saana kwa wa allah akibaru
 
Hiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.

View attachment 3058213
Matayo 26:52
Yesu akamwambia, “Rudisha upanga wako mahali pake, kwa maana wote watumiao upanga watakufa kwa upanga.
 
Naomba nijulishwe zaidi ,kwanini watu(haswa wa upande wa mama mdogo kama wewe) wanasikitika kiongozi wa hamasi kufyekwa na Israel?
Hata kiongozi wa al qaida Osama bin laden alipouwawa Kuna watu walilalamika ,Je Kuna ukweli wowote kua haya makundi ya kigaidi yanatekeleza mafundisho ya Uislam?
Maana mara nyingi wengine usema hayo makundi yanajivika Uislam lakini sio waislam ,

Why kifo hiki kiwe huzini na si shangwe? The Mongolian Savage
HAMAS ni kundi la Kigaidi...?

Palestine ilivamiwa na walowezi mwaka 1948.
HAMAS ni Freedom fighters, kama walivyokuwa Mkwawa, Kinjekitile, na wapigania uhuru wote wa Africa dhidi ya ukoloni.

Au Kama kupigania uhuru wako ni sawa na UGAIDI, basi Africa ni bara la Magaidi kwa sababu mataifa mengi ya Africa yalipambana kudai uhuru wao kutoka kwa wakoloni kama HAMAS inavyo pambana leo dhidi ya Israel.

Hii vita ya HAMAS na Israel haitoisha leo wa kesho, ceasefire itakuwepo kwa miezi au miaka lakini kitawaka tena na muanzilishi lazima awe ni HAMAS kwa sababu yeye ndiye anadai uhuru.
 
Ila daahh Israel ni Nchi ya pekee Sanaa yenye ujasusi wa hali ya juu.

Kama Russia na Uchina, wanashindwa kulinda marafiki zao japo Kwa Taarifa za kiintelinjesia.

Yaan Myahudi, kumuona Jamaa kwenye sherehe za kuapisha, tayari , wakawamnyemeleaaaa mpaka wakajua analala wapi 😂😂😂
 
Hahaha yani ukinikumbusha Imamu wetu alivyouwawa kikatili kulinda, kupigania na kuutetea uislamu yani naenda chumbani kwenye kona giza nakaa na kujikunyata huku nimekunja miguu nakuzamisha kichwa kwenye magoti nakukikumbatia kwa kubana kwa mikono miwili nakuangua kilio cha hatarii.

Kipenzi chetu cha dhati alipambana sana leo tumepewa Tawfiq tunauhakika wa jannah na firdaus.

Allah amfanyie wepes na ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.

Jagina adriz
Firdaus ni famba, Mungu hawezi kuunda mbingu ya watu kupigana miti kwa makundi huku kukiwa na mito ya pombe. Hili ni danguro sio mbingu.
 
Naomba nijulishwe zaidi ,kwanini watu(haswa wa upande wa mama mdogo kama wewe) wanasikitika kiongozi wa hamasi kufyekwa na Israel?
Hata kiongozi wa al qaida Osama bin laden alipouwawa Kuna watu walilalamika ,Je Kuna ukweli wowote kua haya makundi ya kigaidi yanatekeleza mafundisho ya Uislam?
Maana mara nyingi wengine usema hayo makundi yanajivika Uislam lakini sio waislam ,

Why kifo hiki kiwe huzini na si shangwe? The Mongolian Savage
Hivi alqaida unaitenganishaje na uislam? Huwezi kuwa recruited kuwa gaidi wa alqaida bila kuwa muislamu vivyo hivyo boko haram and the like. HALAFU MAJITU YATAKUJA KUBISHA HAPA
 
Back
Top Bottom