Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,668
- 2,908
Ukoo wa NETANYAHU ulipelekwa mashariki ya kati 1948 kama wakimbizi leo wanataka kuibeba Palestine yote kana kwamba walipakuta hakuna wenyeji.Kwa hiyo maisha ya binadamu hapa duniani yameanza mwaka 1948?