Hao kwenye picha wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha

Hao kwenye picha wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha

Mkuu sio kwamba nchi zingine zinashindwa kuwalenga viongozi wa juu wa nchi zingine ama nchi ya kigaidi kama Israel bali wanafanya maamuzi kwa utu ndiyo maana utakuta wanapiga maeneo muhimu ya miundombinu ya kijeshi hawagusi hata nzi.

Usidhani wakianza kuwinda kichwa cha Netanyahu watashindwa lahasha!

Sana sana atakuwa anafanyia kazi zake za uwaziri mkuu kwenye mahandaki na Waisraeli walivyo waoga wa kufa hatoonekana hadharani.
Unajifariji huku umebana marinda/mkundu ukiwa na maumivu makali na uchungu mkuu. Na bado. Si unaona hadi Allah kala kona kakimbia.

Chezea myahudi wewee
 
Hamas ndio palestina? Vuguvugu la kudai uhuru haliwezi kuishia kwa Hamas wote kufa nachojua recruitment ya Hamas ipo juu kuliko hata kabla ya vita. Yaani katika wapalestina million 13 kote duniani zaidi ya 80% ni sympathisers wa Hamas so haiwezi kufa leo wala kesho unless waue wa palestina wote.
Basi msilie lie watoto na wanawake wanauwawa
 
Huku nao wamejifungia
photo_2024-07-12_15-19-06.jpg
 
Kaka angu JK alikuwa auwawe juzi? Hii km familia nakusikia wewe ujue Rafiki

Jk ni kaka angu wa damu ujue napokea taarifa za DRC kila baada ya siku ,hii ya JK kutaka kuuwawa ndio nakusikia
Mkuu hii mbona mpaka "Nabii" Uebert Angel "alitabiri" just two weeks ago. I doubt "alitabiri" ila alikua anatoa angalizo au specifically warning
 
Hahahahaha, mkuu hiyo sio mpya ,'Afande' yuko kamili
Ni mpya
Mi niliona siku anatoa hiyo habari after 10 days ikatikea

Na km umemsikia alim alert aondoke hapo kwake
Na taarifa zilimfikia kupitia ndugu!
Hivyo walipokwe sa walimkosa ,Kuna mahali Yuko km alivyoelekezwa
 
Ni mpya
Mi niliona siku anatoa hiyo habari after 10 days ikatikea

Na km umemsikia alim alert aondoke hapo kwake
Na taarifa zilimfikia kupitia ndugu!
Hivyo walipokwe sa walimkosa ,Kuna mahali Yuko km alivyoelekezwa
Okay, ndio nakuambia 'Afande ' yuko kamili
 
Hiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.

View attachment 3058213


Mcheki huyo mrembo, ukiwa huna macho ya Cuba, unaweza dhania ni mrembo na hana lolote, mcheki mikono ilivyojaa kikomandoo na uso wake ni mtu hatari sana..!! 😅
 
Back
Top Bottom