Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Wana akili sana, kuna mwaka tulikwenda huko, tulichoshangaa kwenye upekuzi walifungua briefcase zetu wote bila sisi kuwapa number za kufunguliaHapo hugusi mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana akili sana, kuna mwaka tulikwenda huko, tulichoshangaa kwenye upekuzi walifungua briefcase zetu wote bila sisi kuwapa number za kufunguliaHapo hugusi mtu
Cha mtema kuni na Kanga manyoya wakiwa katika picha ya Pamoja. Wamependeza mashallahHiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
View attachment 3058213
Aah typing error almanusura wamuue Jana usikuHahahahaha, sijakuelewa almanusura jana usiku ? Nini kimetokea Rafiki
Wao wanajua hapo ndipo kwao kiasili.Wewe hutaki tu kwa hoja zipi?Na wewe tafuta kwenu.Wale ni wakimbizi.
Huwezi vamia eneo la watu, na wapo hapo kwa miaka mingi na kusema ni eneo la mababu zako.
Asilimia kubwa ya sisi tunaishi kwenye maeneo ambayo mababu zetu hawakuzaliwa, So...inabidi tuanze kutafuta asili ya mababu zetu ili twende tukakae huko hata kama tutakuta wenyeji tutawatoa kwa nguvu.
Kitu kama haukijui HAIMAANISHI upo SAHIHI.KABLA YA KUANDIKA UPUMBAVU FANYA UTAFITI AU ULIZAKupata kichekesho andika MJINGA MIMI😂
sio mimi.bali Muhammad alishatabiri haya.na yatatokeaNachowapenda hamkati tamaa😁😁
Kwa macho ya kawaida ni kikao cha kawaida sana, ila kiuhalisia hili ni picha la kutishaHiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
View attachment 3058213
Hii hii ya chama cha Biblia ya vitabu 66Biblia Gani
Mbona Syria wamefeli? Hao jamaa bila USA ni wepesi tuKwa macho ya kawaida ni kikao cha kawaida sana, ila kiuhalisia hili ni picha la kutisha
Ukishaona hivi tu ujue siku sio nyingi kifuatacho ni Press ya Daniel Hagari😂
Utasikia tu ukungu sio ukungu, mara uapisho sio uapisho, ila ndio bye bye lishadondoka jitu na tayari yupo zake ndichi analumbua ma-BK 72
True,Naomba nijulishwe zaidi ,kwanini watu(haswa wa upande wa mama mdogo kama wewe) wanasikitika kiongozi wa hamasi kufyekwa na Israel?
Hata kiongozi wa al qaida Osama bin laden alipouwawa Kuna watu walilalamika ,Je Kuna ukweli wowote kua haya makundi ya kigaidi yanatekeleza mafundisho ya Uislam?
Maana mara nyingi wengine usema hayo makundi yanajivika Uislam lakini sio waislam ,
Why kifo hiki kiwe huzini na si shangwe? The Mongolian Savage
Wakija watu hapo kwako na wanakwambia hilo eneo aliishi babu wa mababu zao na wanahitaji uondoke kwa hiari au kwanguvu...utakubali...?Wao wanajua hapo ndipo kwao kiasili.Wewe hutaki tu kwa hoja zipi?Na wewe tafuta kwenu.
Tutatafuta usahihi.Kama ulipewa kanyaboya usikaze shingo.Wakija watu hapo kwako na wanakwambia hilo eneo aliishi babu wa mababu zao na wanahitaji uondoke kwa hiari au kwanguvu...utakubali...?
Aisee unaweza niwekea hapa huo mstariHii hii ya chama cha Biblia ya vitabu 66
Kwani kuna shida gani inayosababisha Marekani asipigwe. Si waanze na mfadhili wake. Mbona israel inapiga hadi wafadili wa watesi waoHujaweka wafadhili wao,marekani,bila marekani hao ni mbwa Koko tu
umejuaje dini yakewakiristo bana akili zao
Soma Mwanzo 10 inaonyesha mjukuu wa Ham yaani Canaan akipewa eneo lililopo israel ya leo. Then njoo usome Mwanzo 12:1-9 inaonyesha Abraham alitokea nchi gani. Then njoo usome Mwanzo 35 Yakobo alizaa na wanawake wa nchi gani hao watoto wake. Then uje usome Joshua 1-12 utaona walivyovamia nchi ya watu na kuchinja kila kitu kisha kuigawana nchi.Biblia Gani
Acha uongo, Syria haikupigwa na israel sababu ya mkono wa urusi. Hao Israel kwanini hawakumshambulia Moscow?. Si wanajua hawamuwezi. So ukishakua na back up ya superpower vita utashinda tu.Kwani kuna shida gani inayosababisha Marekani asipigwe. Si waanze na mfadhili wake. Mbona israel inapiga hadi wafadili wa watesi wao
Hamas ndio palestina? Vuguvugu la kudai uhuru haliwezi kuishia kwa Hamas wote kufa nachojua recruitment ya Hamas ipo juu kuliko hata kabla ya vita. Yaani katika wapalestina million 13 kote duniani zaidi ya 80% ni sympathisers wa Hamas so haiwezi kufa leo wala kesho unless waue wa palestina wote.na vita haitoisha hadi HAMAS wafe wote.
Mkuu sio kwamba nchi zingine zinashindwa kuwalenga viongozi wa juu wa nchi zingine ama nchi ya kigaidi kama Israel bali wanafanya maamuzi kwa utu ndiyo maana utakuta wanapiga maeneo muhimu ya miundombinu ya kijeshi hawagusi hata nzi.Hiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
View attachment 3058213