Hapa bado ndoa ipo au nimebakia na ndoano?

Asante sana na saa hii ni kufocus tu na watoto na kupambana na kipato changu kwa kweli saa hii hata hamu ya hiyo sina mwili haureact tena
 
Kucheat sio hadi uliwe
Ukitongozwa alafu ukakubali Kisha mkaanza kuchat meseji ya mapenzi hapo pia utakuwa umecheat.

Lakini kama vyote hukufanya basi wewe nakupenda pia mrembo.
Yaani mawazo yapo zaidi kujitafuta sina hata muda wa kutamani hata hyo mwanaume nmepoteza matumaini na jinsia ya ME
 
Jichunguze kwa makini, huenda kuna makosa unayofanya bila kujitambua. Mf. Labda mara nyingi unamwambia umechoka na kushindwa kumtimizia haja zake.
 
Jichunguze kwa makini, huenda kuna makosa unayofanya bila kujitambua. Mf. Labda mara nyingi unamwambia umechoka na kushindwa kumtimizia haja zake.
Hamna mtu alie kua anapenda hyo kitu kama mm yaani nilikua napenda mnoo muda wote nilikua natamani anipee sasa mwaka 2020 nilijifungua januar nikakaa uzazi baada ya kumaliza mwenzangu hataki tenakushiriki nikaenda kushtaki kwao yaani huo mwaka wote hatukushirikiana mpaka mwaka 2021 akajirudi sasa ikaanza matukio navumilia 2022 ,2023 yakashamiri mpaka mwaka huu ni zaidi sasa nmeamua kuikubali hali akili nmeihamishia kwenye kazi nipate kulea watoto sasa ndio anaona namdharau na kumfanyia kiburi kwakua siumii na mambo yake tena
 
siku hizi wenzio wanawaloga tu. Wanawake mumesahau sana limbwata mtu wa iana hiyo mweke kwenye Chupa atulie alee familia yake.
 
Kulelewa kwa upendo, point taken.
 
Nicheki pm nikupe pumziko
 
siku hizi wenzio wanawaloga tu. Wanawake mumesahau sana limbwata mtu wa iana hiyo mweke kwenye Chupa atulie alee familia yake.
Sijalelewa katika mazingira ya shirki ndio sababu nmebaki kumuomba Mungu anikuzie tu watoto na nmeshashukuru tu naamini Mungu na pia karma hivo atanilipia tu hata kama ni muda mrefu utapita ila atalipa tuu
 
Yaani mawazo yapo zaidi kujitafuta sina hata muda wa kutamani hata hyo mwanaume nmepoteza matumaini na jinsia ya ME
Wacha zako wee binti endelea kutanua kwa mumeo.

Visa Babu vidogo unataka kukimbia..wee kila siku unampa style moja Sasa inakuwaje.

Sometimes unakaa namba Saba au style ya kususa sio kifo cha Mende tu yaani Bora style ya Mende kafa kabisa.

Sisi Wanaume tunapenda mambo mpya hata kama shamba ni lile lile sasa wewe unataka kila siku shamba tupande mahindi mnategemea nini.

Sometimes panda hata zao la maharage
 
Si una uzazi subiria binti yako ayapitie haya halafu umpe jibu kama hili na uhifadhi hii comment yako sawa mwayaee
 
Sijalelewa katika mazingira ya shirki ndio sababu nmebaki kumuomba Mungu anikuzie tu watoto na nmeshashukuru tu naamini Mungu na pia karma hivo atanilipia tu hata kama ni muda mrefu utapita ila atalipa tuu
Karma, Mungu an shirki utofauti wake ni nini? Unamuomba Mungu amfanye nini si amtulzie? na shirk ndio akzi yake pia yeney matokeo ya haraka
 
Simuombei kitu ila wanasemaga malipo ni duniani mbinguni ni mahesabu,halafu kisasi ni juu ya Mungu sio kazi yangu kulipa kisasi
 
Njoo la mama nikuliwaze huyo bwege mwaache afanye yake
 
Ukishamaliza kujiuliza, chukua hatua.
 
Mumeo ni Narcissist, huwa hawabadiliki hao watu, usije waza utambadilisha Kwa vikao au malalamiko au kuwa vile anavyotaka uwe...
Options ni mbili, kuachana au kuishi Kama humuoni......Ila for the sake of kids....we ishi Kama hayupo, jipende, jijali, penda wanao, usimuoneshe upo desperate na hiyo ndoa, ishi like awepo au aondoke maisha yako yataendelea Kwa furaha.....siku akipona kichaa chake atajirudisha......ukimuendekeza utakuja kupata sonona, ufe uache wanao wanateseka.
 
Yaani hichi ndicho nakifanya muda huu naishi kama mjane napambana na yangu najipa furaha mwenyewe sasa anachukia eti namdharau mm simjibu maana nishachoka awepo asiwepo kwangu ni sawa tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…