Wakati nakaa sinza yalikuwa yanatoka but jioni yanakatika yanarudi saa nne usiku.Watu wa manispaa au private business?
Sinza maji ya bomba yanatoka siku hizi?
Bora hivyo. Mimi nilikaa Sinza maji ya kununua kwenye madumu ya kupitishwa na mikokoteni.Wakati nakaa sinza yalikuwa yanatoka but jioni yanakatika yanarudi saa nne usiku.
Nishaama huko bills zilikuwa kubwa. Maji bill inakuja 80k kweli?
Endelea kufurahia kwa macho
Ningekua mimi hii nyumba ningejenga mbali kidogo na barabara maana hapo ilipo kelele za magari zitasumbua.Nikiwa zangu nakimbia jogging nikifika kwenye huu mjengo huwa nautazama sn..kijichi kuna watu Wana hela banaView attachment 1815319
Bongo kitendawili. Miaka ya 80's- 90's nilikaa masaki maji yalikuwa ya mgao.Bora hivyo. Mimi nilikaa Sinza maji ya kununua kwenye madumu ya kupitishwa na mikokoteni.
Ndiyo hapo utakapojua Bongo unaweza kuwa sehemu jina kubwa, lakini huduma muhimu hakuna.Bongo kitendawili. Miaka ya 80's- 90's nilikaa masaki maji yalikuwa ya mgao.
Tufanye ni mijengo yako mkuu.
Kikubwa furaha ,amani na usingizi mkuu. Mengine ni mashauzi tyuuKikubwa furaha na amani tyuuh hayo mengine ya kupita
Kuna aliyekabwa kwa staili za Sabaya hapo akaachia jengo, sio bure.Kwa hiyo Makonda amenunua ama amejenga mwenyewe?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tafuta pesa brother... AtarudiNataman kuwa na nyumba kali.
Demu wangu asingeniacha kirahisi vile.
Hapo ni kweli maana nami nilishangaa anawezaje kujenga au kununua hapo Kama sio wiziKuna aliyekabwa kwa staili za Sabaya hapo akaachia jengo, sio bure.
Yaani Makonda anamiliki mjengo Masaki kirahisi tu halafu yule mkuu wa PCCB anasema ni msafi na mchapa kazi.
Hard works comes first before good timeNipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kweli nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengine tunaish tu duniani ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.
PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Unakubalije kuachwa mzee hahahaNataman kuwa na nyumba kali.
Demu wangu asingeniacha kirahisi vile.
Kumbe ule mjengo ni wa kakobe nyumba inataaa yingi ile kama ikulu aisehhhhh,
Hiyo Nyumba ya Mtoto waSSB iliwahi kushika moto.... kilichotokea... faya 3 tatu zilipishana bila kuitwa.... yale maneno yao sijui hamna maji sijui nn... hakuna...... wazee wa khaki wakafunga mtaa.... kama wote....Tatizo la Bongo nyumba ikianza kuungua moto Fire Brigade mpaka watoke Bandarini au Airport wafike Oysterbay nyumba ishateketea.
Unapofananisha Bongo na Ulaya usifananishe majengo tu.
Angalia miundombinu pia.
Mambo ya kusena inatosha hata nikiwa na TV ndogo ni tabia za watu wavivuuuu, sky has no limit [emoji23]Mimi nikiweza kujenga gheto self contained, ndani nikaweka sabufa na TV flat (40 inches), friji , mtungi wangu wa gesi, basi inatosha hiyo ndio itakuwa Ulaya yangu[emoji1787]