Hawa wengine hawana nyimbo wanasingizia nyumba.Endelea kutafuta mkwe, mademu wakali wapo na wanazaliwa kila siku[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mkuu jifunze kuediti kabla hujapostHa
Hayo yalimkuta ndugu yangu alipokuta mlinzi aliishi vizuri lakini ilitokea zari akafanya issue Mija akapata Kama mil80 Basi alipagawa Kila demu alimtaka Yeye ,kwa Sasa hatunae Tena alukufa kwa ngoma
DuhMkuu maisha ya huko oysterbay nimeishi sana tena ktk hiyo mijumba ya kifahari ila asikwambie mtu mkuu mambo yanayotokea usiku ni hatari sana yaani hao wenye hiyo mijumba wanafuga viumbe vyakutisha
Amini mkuu hao watu wanamaagano yakishirikina
Umeongea kwa hisia sana bahariaNataman kuwa na nyumba kali.
Demu wangu asingeniacha kirahisi vile.
Michango ya waumini ina nguvu sanaAskofu Kakobe's kraal [emoji344][emoji344]View attachment 1815202
Mbuzi nyingine zimepigwa minyororo ya moto, sio kamba tuKila mbuzi atakula urefu wa kamba yake
Doh!Askofu Kakobe's kraal [emoji344][emoji344]View attachment 1815202
Acha utaniHalafu unakuta wenye majengo hayo hawakai nyumbani. Jioni utamkuta baa yuko kwenye viti vya plastiki anapiga stori na bamedi, nyumbani kaacha sofa nzuri tu
Siku hizi wanakata kata viwanja.
Hiyo nyumba ya Bakhressa pale zamani lilikuwa shamba la mchicha la Shule ya Msingi Oysterbay.
Oysterbay siku hizi imekuwa ovyo sana wameweka mpaka gereji za magari, last time nilipofika nikashangaa barabara zilikuwa mbovu sana, pale shuleni.
Sijui kama sasa hivi wametengeneza.
Baada ya moratorium ya Mkapa ya kuuza nyumba kupita it will get even worse.
Tena inazidi kukuuma ukijuwa hizo raha na maisha bora ya viongozi yanatokana na kodi unayolipa, au hela waliokwapuwa Kifisadi...Nipo mitaa ya osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pemben yang naona mjengo wa makamu wa rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kwel nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengin tunaish tu dunian ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.
PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Hivi tunafananisha maisha ya Oysterbay na Ulaya.OysterBay ya sasa si ile ya zamani Mkuu imeharibika sana. Nilipita mitaa hiyo hivi karibuni nilipigwa na mshangao wa hali ya juu. Miaka mingine 10 basi kunaweza kuwa Uswazi kabisa.
Hivi tunafananisha maisha ya Oysterbay na Ulaya.
Dar kuna huduma za umma za kuzoa taka?
Nikiwa zangu nakimbia jogging nikifika kwenye huu mjengo huwa nautazama sn..kijichi kuna watu Wana hela banaWiki jana nilienda kwa aunt yangu Kijichi kuna mitaa fulani ya ushuani flani. Sasa nikasahau namba ya nyumba na jina la mtaa maana wana vimitaa vidogo vingi. Akawa hapatikani kwa simu, yeye alijua napakumbuka. Nilikuwa nakumbuka njia mbili, ya kutokea kwa Zombe yule askari au ya kutokea kwa Filikunjombe.
Kilichonichanganya katikati mitaani nilikutana na mbwa koko wengi kuliko watu. Yani Kijichi kuna mijibwa mingi njiani. Nikakumbuka hata kwetu pale sisi ndio wa kishua, mapaka hayakomi kuzalia kwetu ila sijawahi ona yanazaliana kwa majirani.
Conclusion niliyopata: hata mbwa koko na mapaka yanajua wapi kuna makombo yakushibisha. Wanapokula miguu ya kuku na kutafuna mifupa yote hawawezi tembelewa na mbwa koko hata siku moja.
Jamani tutafute hela hata wanyama watuheshimu.