Mitaa inabadilika, nikienda sasa nitaonekana mimi ndiye mgeni. Na hivi watu wengi wameondoka ndiyo kabisaa.Bongoyo hapo kuna mtu naona anajenga kitu kama msikiti mbele kabisa ya kiwanja!
Ni nyumba yake nimepewa uhakika
Sema huna tekiniki za secret photographing pengine nikuelekeze iwapo unahitajiView attachment 1815593
Huu mjengo ni wa mtoto wa bakhresa sema nilipiga nusu huku nina hofu nisije kukamatwa ikawa msala mzee hapo getin hvyo ni vioo vile vigumu
Neluka hapa karibu na baa ya uwakikiUpo mitaa gani huo mkuu
Kabisa mkuu, yaani nilijifunza kwamba usione mtu anaponda raha ukadhani anatafuta kihalali hizo pesa[emoji817][emoji817]umenena kitu cha kwel utajiri wa mtu ni fumbo analolijua yeye na Muumba wake
Kabisa!Ni kwel mkuu umasikin unakaraha zake na utajir unakaraha zake
Woote mkuuSio wote mdau
Mpaka makondaWoote mkuu
Hayo ni maneno ya masikini ya kujifariji tuShukuru Mungu kwa kila jambo,saa nyingine Muumba anajua kuwa ungekuwa na hela saa hizi ungeshakuwa umekufa,kwahiyo ili kukunusuru ni bora uishi hivyo hivyo kiugumu...
Mkuu hivi Una malengo ya kurudi bongo siku moja au umeshaamua kuwa mtu wa huko mbele mazimaAmini usiamini kuna watu kibao huku, hususan Wamarekani weusi, wanaondoka kimoja kuja kuhamia Bongo.
The grass is always greener on the other side.
Mcheki huyu Mnyamwezi anaifagilia sana Bongo huko Youtube https://www.youtube.com/channel/UCOhiR-6Y-MZtMERKRENrcRw
Nakumbuka tulikuwa tunakaa hiyo Oysterbay unayoisifia kuwa ushuani, basi kuna Bibi mzaa Baba alikuja kutoka Mwanza, kwa matibabu.
Sasa Bibi mwenyewe kashazoea maisha ya Mwanza kukaa na ndugu zake muda wote, ana nyumba yake, ingawa si Oysterbay lakini kwake.
Basi wee, kafika Oysterbay watu wote wanaondoka asubuhi kwenda makazini na mashuleni, kabaki mwenyewe na mfanyakazi na TV.
Bibi si akawa anasema anataka kurudishwa Mwanza. Hajazoea maisha yale ya Oysterbay yanamkinaisha, anamiss company yake Mwanza.Tukamwambia mbona una ratiba ndefu sana za matibabu bado bibi?
Ikawa anang'ang'ania kurudi Mwanza, mkimuachia peke yake anatoka getini anaanza kutembea anaanza kuuliza watu njia ya kwenda Mwanza wapi!
Wakati huo, huko Mwanza kuna vijana kibao hawajawahi kufika Dar wanatamani sana wangepata nafasi kufika Dar japo kwa wiki tu wasafishe macho.
Ni hulka ya watu tu.
The grass is always greener on the other side, mimi niliamua kujua nataka wapi nikajikita ninakotaka kimoja.
Hivi mkuu hawa jamaa hiki wanachokifanya kuja kuishi bongi ni kweli au bla bla za mitandaoni tu,maana siku hizi huko u tube kuna harakati kibao sn tunaziona za hawa blacks kuitaja bongo Kama sehemu nzuri ya kuishi na wengine kudiriki Kusema wanakuja kuhamia bongo mazimaAmini usiamini kuna watu kibao huku, hususan Wamarekani weusi, wanaondoka kimoja kuja kuhamia Bongo.
The grass is always greener on the other side.
Mcheki huyu Mnyamwezi anaifagilia sana Bongo huko Youtube https://www.youtube.com/channel/UCOhiR-6Y-MZtMERKRENrcRw
Nakumbuka tulikuwa tunakaa hiyo Oysterbay unayoisifia kuwa ushuani, basi kuna Bibi mzaa Baba alikuja kutoka Mwanza, kwa matibabu.
Sasa Bibi mwenyewe kashazoea maisha ya Mwanza kukaa na ndugu zake muda wote, ana nyumba yake, ingawa si Oysterbay lakini kwake.
Basi wee, kafika Oysterbay watu wote wanaondoka asubuhi kwenda makazini na mashuleni, kabaki mwenyewe na mfanyakazi na TV.
Bibi si akawa anasema anataka kurudishwa Mwanza. Hajazoea maisha yale ya Oysterbay yanamkinaisha, anamiss company yake Mwanza.Tukamwambia mbona una ratiba ndefu sana za matibabu bado bibi?
Ikawa anang'ang'ania kurudi Mwanza, mkimuachia peke yake anatoka getini anaanza kutembea anaanza kuuliza watu njia ya kwenda Mwanza wapi!
Wakati huo, huko Mwanza kuna vijana kibao hawajawahi kufika Dar wanatamani sana wangepata nafasi kufika Dar japo kwa wiki tu wasafishe macho.
Ni hulka ya watu tu.
The grass is always greener on the other side, mimi niliamua kujua nataka wapi nikajikita ninakotaka kimoja.
Mazima mkuu, Bongo nitakuja kutembea tu.Mkuu hivi Una malengo ya kurudi bongo siku moja au umeshaamua kuwa mtu wa huko mbele mazima
Sehemu kama vijibweni ni eneo bora sana, tatizo halikupimwa watu wamejikatia viwanja ovyo ovyo imekuwa uswazi.Watu wengi wa Huko masaki and the like wanakimbilia kigamboni
Ok mkuu..pamoja snNeluka hapa karibu na baa ya uwakiki
Nakukubali..sitaki nizijue hizo sababu,Ila ninachojua wewe ni Mzee wa misimamo[emoji16]Mazima mkuu, Bongo nitakuja kutembea tu.
Sababu zilizonifanya niondoke hazijabadilika na wala sitegemei zibadilike katika muda wa maisha yangu uliobakia.
Huyo Bakhressa aliitoa hapo hapo Bongo hata US kama kufika kafika baada ya ubilionea.
Very humble man.
Maisha popote kaka.
Tena Bongo inawezekana ndiyo kukawa na uwanja mpana wa kupiga mingo vizuri hakuna wajanja wengi, huku kuna wajanja wa kila kona ya dunia wamejazana.
Kuitoa ile kimasomaso lazima upige hesabu za ziada.
Yani kuna mzee mmoja najuana naye yupo serikalini daaa!huo mjengo alionao ni kufuruuu.Nimemwomba anisaidie anitafutie kijikazi angalau kizuri yupo kimya tu daaah
Hakuna Muumba wa hivi.Shukuru Mungu kwa kila jambo,saa nyingine Muumba anajua kuwa ungekuwa na hela saa hizi ungeshakuwa umekufa,kwahiyo ili kukunusuru ni bora uishi hivyo hivyo kiugumu...
Duuh Kweli kabisaOysterBay ya sasa si ile ya zamani Mkuu imeharibika sana. Nilipita mitaa hiyo hivi karibuni nilipigwa na mshangao wa hali ya juu. Miaka mingine 10 basi kunaweza kuwa Uswazi kabisa.