Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Hizi ni kauli za Dkt Nchimbi -katibu mkuu wa CCM zikimuhusu Mwenyekiti mbowe na John Mnyika kuhusu masuala ya utekaji na mauaji
1."Na Mbowe alinieleza juu ya suala la Kibao, kwa kumtazama Mbowe hahusiki na tukio hili la utekaji."
2."Naye kwa kumwona tu, Mnyika hawezi kuhusika na utekaji."
Hapa Dkt Nchimbi alitumia elimu ya body language au namna anavyowajua na kuwafahamu watekaji ?
source.... Dk Nchimbi: Mbowe, Mnyika hawahusiki sakata la Kibao, uchunguzi uharakishwe
1."Na Mbowe alinieleza juu ya suala la Kibao, kwa kumtazama Mbowe hahusiki na tukio hili la utekaji."
2."Naye kwa kumwona tu, Mnyika hawezi kuhusika na utekaji."
Hapa Dkt Nchimbi alitumia elimu ya body language au namna anavyowajua na kuwafahamu watekaji ?
source.... Dk Nchimbi: Mbowe, Mnyika hawahusiki sakata la Kibao, uchunguzi uharakishwe