Hapa Dodoma kuna watu washambashamba sana wanajifanya wapelelezi

Hapo upo bar peke yako na counter bibi halafu wamasai wanapita kuuza araiyoo na dawa za kienyeji unadai eti, Kuna WATU wamevaa ngui za mauamaua..... ., ACHA USHUBWADA JOMBΓ€....
 
Acha kunywa ulanzi bhanaa,😜
umelekezewa watoto wangapi(msongo wa mawazo huo)

hayati magufuli alikuwa anaufata donbosko kule,sometime kalenga kule akiwa anasoma mkwawa high skul

harafu ,unaushusha thamani kizembe hivyo!
 
Nyadikwa(πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒ)

kapicha basi, jaribu kuwazingua uone ,wambie waache ukuda watoke bar hapo na mashati Yao ya mtumba ya sabasaba......
 
Nyadikwa(πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒ)

kapicha basi, jaribu kuwazingua uone ,wambie waache ukuda watoke bar hapo na mashati Yao ya mtumba ya sabasaba......
Nishamzingua mmoja. Karusha ngumi, nikadaka. Nimempa kerbu Moja hiyo. Yule kama hajazimia huko walikompeleka, kafa
 
UVCCM hao,wanajifanyaga tiss haoooo,kumbe tissue tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…