Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Sina sasa nisitafute?Bado unatafuta?
Acha mambo yako asee🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina sasa nisitafute?Bado unatafuta?
Acha mambo yako asee🤪
Hahaha, comrade una mambo sana!!Sina sasa nisitafute?
Anatamani angekuwa njiwa awe anapeperuka angani tu
tamaa zingine si nzuri jamani dah, yaani unatamani kua kama ndege, kweli ndrugu zango 🐒Mungu ametuwekea mambo ya kutupa raha machache sana yaani ukifikiria raha ni kunywa pombe, kula chakula, kufanya mapenzi na kulala usingizi.ila cheki majanga yalivyo mengi magonjwa, majanga ya asili, umaskini, ajali n.k
At least kidogo tungekuwaga na uwezo wa kupaa Kama ndege yaani unaruka angani ile ni raha kwa kweli.
Mwaka niliunza nikiwa mtakatifu kabisa na sitaki doa...ninamaanishaHahaha, comrade una mambo sana!!
Uchovu wa akili huoAnatamani angekuwa njiwa awe anapeperuka angani tu
Hongera sana mkuu, mnawezaje?Mwaka niliunza nikiwa mtakatifu kabisa na sitaki doa...ninamaanisha
NImewwza mkuu ni kuamuaHongera sana mkuu, mnawezaje?
Hapo naona hujawatendea haki WalokoleKuna mbio za faras mbio za magar mbio za pikpik kukimbia kwenye utelezi wa sabun ukiwa umebeba mzigo disco au club za mchana. Kukimbia kwenye utelezi ulioko kwenye daraja linaloelea na kuyumba nknk. Vitu vingi mno. Hapa kwetu starehe ni sex mpira na pombe

Amesahau kwamba huku chini wapo wale vijana wenye manatiAnatamani angekuwa njiwa awe anapeperuka angani tu
Atakuwa akikatiza anga invisibly.Waw! Hiyo imekaa vizuri. Je, vigezo na masharti vimekaaje asije akadunguliwa akipita maeneo yenye Air defence Systems?![]()
It is a high risk taking activity.Atakuwa akikatiza anga invisibly.
Ulishawahi kufika huko peponi?Peponi BATA zipo za kutosha sana
Peponi kunafikika?Ulishawahi kufika huko peponi?