Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

Miaka ya 2004 kuna jamaa maeneo ya Karakata (Kipawa) alijimilikisha kiwanja. Yy aliuziwa kiwanja akajenga akahamia..Kulikuwa na kiwanja Pembeni yake akawa anapanda matembele kiaina na kufugia vifaranga mchana ( ile style ya kuzungushia net). Hakuwahi kumuona mmiliki ila majiran wake waliwahi kumuona (Mama). Aliendelea kulihudumia kama lake kwa kisingizio kuwa likiwa pori linaweza kumletea nyoka/Nge. Alijiaminisha endapo mmiliki atajitokeza hatalingangania eneo la watu.
Baada ya kuona imeisha kama miaka 7 hivi hakuna anaekuja kulalamika kuwa eneo lake limevamiwa, Akawa anawadanganya majirani zake kuwa ameuziwa lile eneo na huyo Mama. Alifanya hivyo baada ya kuhisi huenda akajitokeza jiran anaejua historia ya hilo eneo akajifanya lake.

Hakutaka kulijenga mapema kuogopa hosara, alizungushia ukuta wa tofali pamoja na nyumba yake.

Kwa sasa sijui nini kinaendelea karibia miaka 20
 
Mwaka 2009 tulienda na rafiki yangu Bunju kununua Viwanja,tukaanza kujenga mdogomdogo lakini rafiki yangu (RIP)alijenga fasta ikabaki kupaua tu(kumbuka wote tulikuwa mabachela). Siku moja anatoka site akapata ajali Tegeta(aligongana na Lori),alifariki palepale. Huyu rafiki yangu tulikuwa tumepanga nyumba moja Sinza(yeye Chumba chake,mimi changu lakini sebule,jiko nk tunashea. Tangu tunanunua Viwanja mpaka anafariki hakuna aliyewahi kumpeleka site ndugu,rafiki wala jamaa. Hivyo nyumba niliiokota kwa style hiyo,niliipaua,nikaifanyia finishing na sasa nakula Kodi. Lakini kwa kuwa tulikuwa tumeshibana sana hivyo huwa najitajidi kuwatumia Pesa Wazazi wake Moshi kila mwezi,na wamekuwa kama Wazazi wangu na wananiita mwanao.
SWALI KWA NINI SIKUIPA TAARIFA FAMILIA HIYO?huyu Marehemu rafiki yangu ndie aliyekuwa amesoma kwao,Kaka na Dada zake wote ni wale waleviwalevi waliojichokea tu,hivyo kama ningetoa taarifa naamini wangeshauri nyumba iuzwe tu wapate Pesa ya kunywea pombe. Tangu niikamilishe mwaka 2011 mpaka leo nakula Kodi tu,Hati nilishaipata kwa jina langu na maisha yanasonga.
Hii ni dhuluma mali sio yako,hao ndgu zake hata wamgeuza ni sawa mana mali ya ndgu yao
 
Mimi kuna wakati karibu nijitwalie jengo la Naura Springs Hotel kwasababu ya kukaa miaka mingi hakuna mwendelezo yaani niko shule ya msingi hadi namaliza sekondari hakuna kitu. Kumbe lilikuwa na mgogoro
Labda naura ya kazimkazi
 
Umewajengea majini waishi humo?

Nyumba yoyote iliyotelekezwa huwa ni nyumba ya majini na siku ukijichanganya kwenda kuingia katika makazi hayo jua utakutana na visanga mpaka utatamani kukimbia. Hata nyumba tunashauriwa tusijenge ya vyumba vingi ambavyo havitakuwa na matumizi matokeo yake huwa unakaribisha majini yaishi humo
Unaishi kwa kukiogopa kiumbe kinachotakiwa kukuheshimu!

Tupo mbali Sana..!
 
Wewe ni mwizi
Kaa hivyohivyo..sio mimi mimi nimenunua sijataifisha..kiufupi wao walinunua na mm nilinunua...mwenye eneo ndio alikuwa tapeli maana aliwauzia akaona miaka inaenda hawafanyi kitu akaniuzia na mimi pia bila mm kujua kama lilishanunuliwa
 
Kuna nadharia mbili hapa.

1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.

2. Mmiliki alipoikamilisha alipigwa kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.

Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Mtego wa P diddy huo sasa jichanganye
 
TRUE STORY... Kuna mradi mmoja ulikuwa wa Viwanja Elfu 2 nadhani wengi mnaukumbuka... KIBADA,KISOTA,MBWENI,BUNJU,MIVUMONI,,TUANGOMA,MWONGOZO nk.Moja eneo tajwa Ardhi ilitenga viwanja kama 50 hivi kwa ajili ya NATIONAL HOUSING CORPORATION. (NHC)Sasa NHC wakadai hawaitaji mradi mpya Dar kwani waliyokuwa nayo enzi hizo 2000es ilikuwa mingi. Vikabaki Iddle Maafisa wa Mradi wakagawana wee... kisha wakaanza kuwauzia watu kwa Bei elekezi kisha wanaongeza cha juu Mfano kiwanja Sq.1500 Bei elekezi ni 2M bei ya soko enzi hizo watakuuzia 6M... sasa kuna jamaa alikuwa navyo 7 akauza kama vi 3 vikabaki vi 4...
Kwa bahati mbaya hakumuonyesha mtu yeyote... na wenzake pia walikuwa busy maeneo mengine... akajq kupata ajali ya Gari mwaka 2009.

Hivyo basi viwanja vinne vimepotea. Alikuwa bado ajaoa ila alikuwa na Mchumba Mjamzito.
 
Kuna nadharia mbili hapa.

1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.

2. Mmiliki alipoikamilisha alipigwa kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.

Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Hahaha
 
TRUE STORY... Kuna mradi mmoja ulikuwa wa Viwanja Elfu 2 nadhani wengi mnaukumbuka... KIBADA,KISOTA,MBWENI,BUNJU,MIVUMONI,,TUANGOMA,MWONGOZO nk.Moja eneo tajwa Ardhi ilitenga viwanja kama 50 hivi kwa ajili ya NATIONAL HOUSING CORPORATION. (NHC)Sasa NHC wakadai hawaitaji mradi mpya Dar kwani waliyokuwa nayo enzi hizo 2000es ilikuwa mingi. Vikabaki Iddle Maafisa wa Mradi wakagawana wee... kisha wakaanza kuwauzia watu kwa Bei elekezi kisha wanaongeza cha juu Mfano kiwanja Sq.1500 Bei elekezi ni 2M bei ya soko enzi hizo watakuuzia 6M... sasa kuna jamaa alikuwa navyo 7 akauza kama vi 3 vikabaki vi 4...
Kwa bahati mbaya hakumuonyesha mtu yeyote... na wenzake pia walikuwa busy maeneo mengine... akajq kupata ajali ya Gari mwaka 2009.

Hivyo basi viwanja vinne vimepotea. Alikuwa bado ajaoa ila alikuwa na Mchumba Mjamzito.
Duuh zamani sana
 
Kuna nadharia mbili hapa.

1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.

2. Mmiliki alipoikamilisha alipigwa kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.

Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Kwamba umeokota nyumba?
 
Kuna nadharia mbili hapa.

1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.

2. Mmiliki alipoikamilisha alipigwa kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.

Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Duuh hatari
 
Back
Top Bottom