Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,164
- 573
Miaka ya 2004 kuna jamaa maeneo ya Karakata (Kipawa) alijimilikisha kiwanja. Yy aliuziwa kiwanja akajenga akahamia..Kulikuwa na kiwanja Pembeni yake akawa anapanda matembele kiaina na kufugia vifaranga mchana ( ile style ya kuzungushia net). Hakuwahi kumuona mmiliki ila majiran wake waliwahi kumuona (Mama). Aliendelea kulihudumia kama lake kwa kisingizio kuwa likiwa pori linaweza kumletea nyoka/Nge. Alijiaminisha endapo mmiliki atajitokeza hatalingangania eneo la watu.
Baada ya kuona imeisha kama miaka 7 hivi hakuna anaekuja kulalamika kuwa eneo lake limevamiwa, Akawa anawadanganya majirani zake kuwa ameuziwa lile eneo na huyo Mama. Alifanya hivyo baada ya kuhisi huenda akajitokeza jiran anaejua historia ya hilo eneo akajifanya lake.
Hakutaka kulijenga mapema kuogopa hosara, alizungushia ukuta wa tofali pamoja na nyumba yake.
Kwa sasa sijui nini kinaendelea karibia miaka 20
Baada ya kuona imeisha kama miaka 7 hivi hakuna anaekuja kulalamika kuwa eneo lake limevamiwa, Akawa anawadanganya majirani zake kuwa ameuziwa lile eneo na huyo Mama. Alifanya hivyo baada ya kuhisi huenda akajitokeza jiran anaejua historia ya hilo eneo akajifanya lake.
Hakutaka kulijenga mapema kuogopa hosara, alizungushia ukuta wa tofali pamoja na nyumba yake.
Kwa sasa sijui nini kinaendelea karibia miaka 20