Hapa Kazi Tu (HKT) kiwe chama kipya cha kisiasa Tanzania kitakachoenzi falsafa na maono ya Hayati Dkt. Magufuli na kiwe tegemeo la Watanzania

Ni jambo jema sana. lakin nani ana approve existence ya hiko chama? ni serikal hii hii ya ccm au nyingine?
Kwani muhtasari unaandikwaje.?
Kunakuwa na uwasilishaji uliobora..
Haya mambo tukijadiliana kwa kina tunaweza kuelewana ni nini kifanyike.
Seriousness inahitajika.
Mama anaonekana anataka uhuru kwa hiyo hawezi kuweka ugumu.
 

Ni kazi kubwa sana, ila inawezekana, Augustino Mrema 1995 na Lowassa 2015. karibu wachukue nchi. Bila ugonjwa Magufuli labda Lowassa angefanikiwa.

Ni Watanzania kuwa na mwamko, kuzijua na kuzidai haki zao. Kuishinikiza Serikali na CCM kukubali haki za kikatiba kuunda chama kingine.

Hiki chama kipya pia kiwakubali watu kutoka CCM na vyama vingine vyote, (wale wasafi) wenye nia njema ndivyo kitapata nguvu.

Ni wananchi ndio hushinikiza kuundwa kwa taasisi imara, mageuzi. They come first and put serious pressure kwenye chama tawala na serikali.

Zambia, Malawi, Kenya waliweza.
 
mmeshindwa kulinda legacy mnawaza chama, mataga mmepagawa
 
Chama Cha Hapa Kazi Tu... HKT.

Unaweza kukiita Independent Party au chama cha Uhuru na Umoja. Kuondoa hicho kinachoweza kuonekana kama cult of personality na kuwavutia watu wote kutoka vyama vyote, wadau wote, Watanzania wote.
 
Mbona sumu zipo nyingi tu, kunyweni mumfuate huko motoni mkaanizishe hilo genge lenu la kihalifu.
 
Alikuwa mzalendo aliyezuia wazalendo wa kweli kujua mapungufu yake.
R.I.P Magu.
 
Anzisheni hicho chama mjue jinsi ilivyo kazi kuwa kwenye upinzani. Muda siyo mrefu ama mtajiunga na wimbi la kudai katiba mpya au mtarejea kuunga mkono juhudi za mama.
 
Sasa si uwahi ofisi ya msaji?!
 
Anzisheni hicho chama mjue jinsi ilivyo kazi kuwa kwenye upinzani. Muda siyo mrefu ama mtajiunga na wimbi la kudai katiba mpya au mtarejea kuunga mkono juhudi za mama.
Hawawezi kitu hawa! Huyu Mluga ni debe tupu, halikosi kelele!
 
Mchukueni Humphrey Polepole awe GS wenu na Kukurwa Bashiru awe Mwenyekiti wenu.
 
Acha tu, cult of personality, muda umefika sasa maisha yaendelee.
 
Hatimaye Tanzania itapata chama kipya, kitachowaunganisha wananchi wote na kutetea maslahi ya watu wote wa hali zote, dini zote, makabila yote.

Kitachokuwa mbadala wa CCM. Tunakitakia kila la heri na mafanikio mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…