Uchaguzi 2020 Hapa Kazi tu ni CCM, Kazi na Bata ni ACT-Wazalendo na Kazi na Uhuru ni CHADEMA

Uchaguzi 2020 Hapa Kazi tu ni CCM, Kazi na Bata ni ACT-Wazalendo na Kazi na Uhuru ni CHADEMA

lissu hana wafuasi, ana wapenda mageuzi.
MATAGA mnasema Lissu na wanamageuzi wanapinga ndege lakini ukweli ni kwamba wanataka ukweli na ueazi kwenye manunuzi ya ndege.
Wanapinga barabara, hapana , wanataka uwiano wa maendeleo ya vitu na watu

Hiyo ya maendeleo ya watu na vitu ni mambo ambayo wanaasiasa na wafuasi wao wanayatafrisi vibay; hayo yalikuwa ni maneno ya Nyerere kwenye kitabu chake cha Binadamu na Maendeleo (kilikuwa na rangi ya pink) kilichotoka mwaka 1974. Kitabu kile, pamoja na kutoa tafsiri ya maana ya maendeleo, kilikuwa kinajibu hatua za kupambana na maadui wanne wa maendeleo: Ujinga, umaskini, magonjwa na dhuluma. Kikasema kuwa investment kubwa ya nchi iwe kwenye mashule kusudi kupambana na ujinga, kuwepo miundo mbinu na viwanda vya ndani ili kuwawezesha watu kujipatia mapato yao kupambana na umaskini, kuwe vituo vya afya vya kutosha ili kupambana na magonjwa, na kudhiti rushwa na matendo yote ya dhuluma dhidi ya wananchi. Kiliita maendelo ya vitu kuwa ni investement ya mambo ambayo hayagusi kuwakomboa waku kutokana na maeneo hayo manne. Kwa mfano ujenzi wa magorofa makubwa sana yasiyogusa maisha ya watu kama ilivyokuwa inafanyika Nairobi wakati huo.

Lakini leo hii tafsri zinazotolewa ni za hovyo kabisa; kuona kuwa infrastrcture ni maendelo ya vitu ni mtazamo mfupi sana unaotokana na kutokujua maadui wanne wa maendeleo.
 
Tupate Maoni, tujitambue, tujuane
1. Hapa Kazi Tu (CCM)
2. Kazi na Bata (ACT)
3. Kazi na Uhuru (CHADEMA)

Kazi bila mapumziko Ni tabu, mapumziko bila kazi ni umasikini.

Wewe Ukowapi katika hizo?


Uhuru tulishapata tangu 1961, sasa leo tunataka uhuru gani ??!!.

Hapa ni kazi na bata tu.
 
Hapa kazi tu (CCM)! Neno hapa kazi alimaanishi hakuna uhuru , inaaamanisha kuleta maendeleo kwa vitendo si maneno maneno!!.

Pathetic!! Kwa hiyo unakubali pia ACT na CHADEMA nao wana maana hiyo hiyo wanapoweka “kazi” katika motto zao??

Neno “tu” humaanisha u-moja (oneness) ya kinachozungumziwa. Ndio mantiki ya hao wengine ili kuonesha wao wana mambo mawili. Wasisitiza uhuru na haki kama mambo ya msingi kwao.

Kijana unakwama wapi, mboan hujiwezi hivi kifikra? Tatizo ni siasa uchwara au ni penzi pofu?
 
Kazi na Uhuru. Ukifanyakazi yako vizuri ukapata hela kwa jasho lako na una uhuru bata ni automatic
 
Pathetic!! Kwa hiyo unakubali pia ACT na CHADEMA nao wana maana hiyo hiyo wanapoweka “kazi” katika motto zao??

Neno “tu” humaanisha u-moja (oneness) ya kinachozungumziwa. Ndio mantiki ya hao wengine ili kuonesha wao wana mambo mawili. Wasisitiza uhuru na haki kama mambo ya msingi kwao.

Kijana unakwama wapi, mboan hujiwezi hivi kifikra? Tatizo ni siasa uchwara au ni penzi pofu?
Tatizo elimu ya kukariri huaezi kishirikisha akili ya kuzaliwa
 
Huyu Lissu hana hekima zaidi ya kupayuka payuka hovyo bila ya staha. Anatumia barabara anazo zikashifu na kukebehi maendeleo ya miundo mbinu yaliyo fanyanywa na serikali za ccm.

Wanasahau tangu JPM achaguliwe 2015 kuwa mgombea wa CCM hata baadaye akiwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa JMT kila alipoongea na Watanzania hakuacha kuwasihi kwa maneno haya, Katika mambo yetu yote tumtangulize Mungu.

Hivyo basi mafanikio yote serikali ya CCM waliyo ya pata chini ya JPM yana mkono wa Mungu. Yoyote anaye simama na kuyakejeli hadharani ama akiwa mafichoni ajue anamkejeli na kumdharau Mungu pengine bila kujua. Lissu na wa aina yake wasubiri hasira ya Mungu, maana kwa hakika ijuu yao na imewaka.
Hizo Barabara kwani ni hisani na fedha za mfuko binasfi wa Magufuli na familia yake?
 
Yaani hata slogan zimeundwa kupingana slogan za CCM. Kwanini wapinzani wasiwe tu independent, waje na slogan ambazo haziko influenced na CCM?
Maana yake wanakiri CCM ni kama MAJI lazima utayanywa au kuoga au ... "aliimba Pablo Masai wa Fm Academia".

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Tupate Maoni, tujitambue, tujuane
1. Hapa Kazi Tu (CCM)
2. Kazi na Bata (ACT)
3. Kazi na Uhuru (CHADEMA)

Kazi bila mapumziko Ni tabu, mapumziko bila kazi ni umasikini.

Wewe Ukowapi katika hizo?
Kazi na uhuru
Baada ya kazi nipo huru nikapumzike au nikale bata na familia yangu.
 
Tupate Maoni, tujitambue, tujuane
1. Hapa Kazi Tu (CCM)
2. Kazi na Bata (ACT)
3. Kazi na Uhuru (CHADEMA)

Kazi bila mapumziko Ni tabu, mapumziko bila kazi ni umasikini.

Wewe Ukowapi katika hizo?
Kiufupi wamekubaliana na motto ya Magu kuwa hizi ni zama za kazi? Ile Mabadiliko na kubingirisha mikono wameachana naye?
 
Tupate Maoni, tujitambue, tujuane
1. Hapa Kazi Tu (CCM)
2. Kazi na Bata (ACT)
3. Kazi na Uhuru (CHADEMA)

Kazi bila mapumziko Ni tabu, mapumziko bila kazi ni umasikini.

Wewe Ukowapi katika hizo?
Uhuru na Kazi for lifeeeeeeeeee
 
Tupate Maoni, tujitambue, tujuane
1. Hapa Kazi Tu (CCM)
2. Kazi na Bata (ACT)
3. Kazi na Uhuru (CHADEMA)

Kazi bila mapumziko Ni tabu, mapumziko bila kazi ni umasikini.

Wewe Ukowapi katika hizo?
Kazi na Uhuru (CHADEMA)

Jr[emoji769]
Kazi na Uhuru halafu BATA.
KAZI NA BATA - Maalim Seif +Mwakilishi+Mbunge
KAZI NA UHURU- Tundu Lissu

Masahihisho tafadhali...

Inapaswa kuwa UHURU na KAZI na siyo KAZI na UHURU...

Kinachopaswa kuwa cha kwanza ni UHURU wa watu ama watu kuwa na UHURU...

Watu wakiwa HURU ndipo KAZI zinaweza kufanyika...

Mtu ambaye amefanya kazi yake vizuri, mwisho wa siku sharti afurahie matunda ya kazi yake hiyo....sharti ale BATA...

Imeandikwa, ASIYEFANYA KAZI NA ASILE lakini kama watu wamefanya kazi sharti wapate mafao yao kisha WALE BATA....!!
 
Kiufupi wamekubaliana na motto ya Magu kuwa hizi ni zama za kazi? Ile Mabadiliko na kubingirisha mikono wameachana naye?
KWANI WEWE NDIO UMEKUJA KUSIKIA KWA HILO DUDU KWAMBA DUNIANI KUNA KAZI?
 
Back
Top Bottom