Uchaguzi 2020 Hapa Kazi tu ni CCM, Kazi na Bata ni ACT-Wazalendo na Kazi na Uhuru ni CHADEMA

Uchaguzi 2020 Hapa Kazi tu ni CCM, Kazi na Bata ni ACT-Wazalendo na Kazi na Uhuru ni CHADEMA

Masahihisho tafadhali...

Inapaswa kuwa UHURU na KAZI na siyo KAZI na UHURU...

Kinachopaswa kuwa cha kwanza ni UHURU wa watu ama watu kuwa na UHURU...

Watu wakiwa HURU ndipo KAZI zinaweza kufanyika...

Mtu ambaye amefanya kazi yake vizuri, mwisho wa siku sharti afurahie matunda ya kazi yake hiyo....sharti ale BATA...

Imeandikwa, ASIYEFANYA KAZI NA ASILE lakini kama watu wamefanya kazi sharti wapate mafao yao kisha WALE BATA....!!
Thanks Kitaturu Nimekusoma
 
Masahihisho tafadhali...

Inapaswa kuwa UHURU na KAZI na siyo KAZI na UHURU...

Kinachopaswa kuwa cha kwanza ni UHURU wa watu ama watu kuwa na UHURU...

Watu wakiwa HURU ndipo KAZI zinaweza kufanyika...

Mtu ambaye amefanya kazi yake vizuri, mwisho wa siku sharti afurahie matunda ya kazi yake hiyo....sharti ale BATA...

Imeandikwa, ASIYEFANYA KAZI NA ASILE lakini kama watu wamefanya kazi sharti wapate mafao yao kisha WALE BATA....!!
UHURU NA KAZI si ilikuwa motto ya Mkapa uchaguzi wa 1995?
 
Hizo Barabara kwani ni hisani na fedha za mfuko binasfi wa Magufuli na familia yake?

Wanjiru cv yako hapa JF ni ya kupigiwa mfano. Mbona JPM ameliweka wazi kuwa fedha zinazotumika na zitakazotumika kulipia mikopo ni za watanzania kupitia raslimali na kodi zao.
 
Wote slogan zao ni copy ‘nd paste ya CCM..... upinzani hawajawahi fikiria kazi kama first priority. Asante magufuli watu kazi wanaiyona.

Ukifnya kazi bata utakula tu, ukifanya kazi pesa yako hupangiwi matumizi (utakuwa huru tu mwishowe)
Mnapenda kupindisha mambo. Toka tupate uhuru slogan ni "Uhuru na Kazi" JPM yeye kaona Uhuru na Kazi haiendi ndio kaja na Hapa Kazi tu (na matukio yake tumeyaona). Zito kaweka Kazi na Bata. Ukweli ukiwa na uhuru unaweza kuamua hapa kazi tu au kazi na bata. Lisu anaturudisha kule kwenye misingi ya taifa hili.
Hata wafungwa hufanya kazi, tena hapa kazi tu hakuna bata wala uhuru.
 
Mnapenda kupindisha mambo. Toka tupate uhuru slogan ni "Uhuru na Kazi" JPM yeye kaona Uhuru na Kazi haiendi ndio kaja na Hapa Kazi tu (na matukio yake tumeyaona). Zito kaweka Kazi na Bata. Ukweli ukiwa na uhuru unaweza kuamua hapa kazi tu au kazi na bata. Lisu anaturudisha kule kwenye misingi ya taifa hili.
Hata wafungwa hufanya kazi, tena hapa kazi tu hakuna bata wala uhuru.
Lini umewasikia Chadema wakiiongelea hiyo kauli mbiu ya Taifa before? Acha kubwabwaja, Magu ndio kawafanya wakumbuke shuka angali pamekucha.
 
Lini umewasikia Chadema wakiiongelea hiyo kauli mbiu ya Taifa before? Acha kubwabwaja, Magu ndio kawafanya wakumbuke shuka angali pamekucha.
Rejea kwa mleta mada, ameandika kauli mbiu tatu na kuomba zijadiliwe. Ukaja wewe na kuandika:
"Wote slogan zao ni copy ‘nd paste ya CCM..... upinzani hawajawahi fikiria kazi kama first priority. Asante magufuli watu kazi wanaiyona.

Ukifnya kazi bata utakula tu, ukifanya kazi pesa yako hupangiwi matumizi (utakuwa huru tu mwishowe)"
Mimi nilichoweka ni historia na chronology ya hiyo misemo na kuonyesha kuwa hiyo ya CDM Uhuru na Kazi si ya CDM bali Lissu katukumbusha. Hii inaweka Uhuru kwanza hata kabla ya kazi ya Zito ni kama ya Magu bali kaongezea Kula bata. Kwa reasoning yako basi hata magu amekopi na ku paste kitu ambacho si sawa. Yeye kafuta Uhuru, na Zito kaongezea ya Magu. CDM wamerudia ile ya asili enzi za JKN. Ni kweli kwa Magu kazi tunaiona lakini uhuru kwa maana ya uhuru ni shida sana.
Kati yako wewe na mimi sijui nani anabwabwaja, jiulize na tafakari.
 
Rejea kwa mleta mada, ameandika kauli mbiu tatu na kuomba zijadiliwe. Ukaja wewe na kuandika:
"Wote slogan zao ni copy ‘nd paste ya CCM..... upinzani hawajawahi fikiria kazi kama first priority. Asante magufuli watu kazi wanaiyona.

Ukifnya kazi bata utakula tu, ukifanya kazi pesa yako hupangiwi matumizi (utakuwa huru tu mwishowe)"
Mimi nilichoweka ni historia na chronology ya hiyo misemo na kuonyesha kuwa hiyo ya CDM Uhuru na Kazi si ya CDM bali Lissu katukumbusha. Hii inaweka Uhuru kwanza hata kabla ya kazi ya Zito ni kama ya Magu bali kaongezea Kula bata. Kwa reasoning yako basi hata magu amekopi na ku paste kitu ambacho si sawa. Yeye kafuta Uhuru, na Zito kaongezea ya Magu. CDM wamerudia ile ya asili enzi za JKN. Ni kweli kwa Magu kazi tunaiona lakini uhuru kwa maana ya uhuru ni shida sana.
Kati yako wewe na mimi sijui nani anabwabwaja, jiulize na tafakari.
Asante kwa analysis yako isipokuwa Lisu hana credentials za kusimamia stands za mwalimu Nyerere hata siku moja, kwanza, mwalimu sio role model wake maana amekuwa akimpinga hadharani na kunawakati akimtupia lawama kwamba mwalimu aliifelisha nchi.

Enzi za Tanu uhuru ilikuwa ni must kuhubiriwa, saizi tunajitawala wenyewe, imebaki kazi tu.

Nikimquote Bob Marley siku ya uhuru Zimbabwe aliimba “ no more internal power struggle, we fight together to overcome the little trouble, soon we will find out who is the real revolutionary, cause I don’t want my people to be tricked by missionaries”

Siasa copy and paste kutoka West, Africa sio mahali pake na zimetugharimu sana kama bara na kuturudisha nyuma.

Chukulia mfano maendeleo ya Libya kutokana na Ghadafi baada ya kuongoza nchi kwa miaka zaidi ya therathini, imagine kama angeendelea kuachwa Libya ingekuwa wapi leo. Mugabe asingefungiwa mipaka ndio tungejua kama waafrika uzalishaji hatuwezi, huwezi amini hayo mashmba yaliyoporwa na wazungu sio kwamba yalikuwa yakifanyiwa kazi na wazungu, nope, isipokuwa tu wao wamehodhi masoko yote makubwa na wanatubana mbavu kwa mikata uchwara ya kimataifa inayo wafavour wao zaidi hata walipokuonea, chakushangaza, Lisu ndio Wakili msomi mtetezi wa hao oppressors and exploiters.

Nyerere alishawahi kusema Democracy zipo za aina nyingi, hata ya chama kimoja inaeza ikawa Democracy pia, japo hao Mabeberu hawaipendi hiyo maana inapunguza loop holes za usaliti. Mzungu anaendelea kwa kusupport usaliti worldwide.
 
Ubwabwa maharagwe na Chai ya rangi acheni hizo takataka zenu.
 
Asante kwa analysis yako isipokuwa Lisu hana credentials za kusimamia stands za mwalimu Nyerere hata siku moja, kwanza, mwalimu sio role model wake maana amekuwa akimpinga hadharani na kunawakati akimtupia lawama kwamba mwalimu aliifelisha nchi.

Enzi za Tanu uhuru ilikuwa ni must kuhubiriwa, saizi tunajitawala wenyewe, imebaki kazi tu.

Nikimquote Bob Marley siku ya uhuru Zimbabwe aliimba “ no more internal power struggle, we fight together to overcome the little trouble, soon we will find out who is the revolutionary, cause I don’t want my people to be tricked by missionaries”

Siasa copy and paste kutoka West, Africa sio mahali pake na zimetugharimu sana kama bara na kuturudisha nyuma. Nyerere alishawahi kusema Democracy zipo za aina nyingi, hata ya chama kimoja inaeza ikawa Democracy pia, japo hao Mabeberu hawaipendi hiyo maana inapunguza loop holes za usaliti. Mzungu anaendelea kwa kusupport usaliti worldwide.
Swala la Uhuru haliishi pale tu nchi inapopata uhuru. Kuna uhuru wa maamuzi kama nchi lakini pia kuna uhuru wa wananchi, vyote lazima vilindwe, Serikali huwa zina tendencies ya kuminya uhuru wa wananchi.
 
Swala la Uhuru haliishi pale tu nchi inapopata uhuru. Kuna uhuru wa maamuzi kama nchi lakini pia kuna uhuru wa wananchi, vyote lazima vilindwe, Serikali huwa zina tendencies ya kuminya uhuru wa wananchi.
Upo sahihi kwamba serikali zinahiyo tendecy, vipi kuhusu tendency za raia wenye kariba za kupigania Uhuru wa vyeti fake? Uhuru kwa kuigeuza nchi shamba la bibi? Uhuru wa kuhujumu uchumi? Uhuru wa siasa chafu? Uhuru wa kutukana viongozi? Uhuru wa kubeza kila kitu?
 
Upo sahihi kwamba serikali zinahiyo tendecy, vipi kuhusu tendency za raia wenye kariba za kupigania Uhuru wa vyeti fake? Uhuru kwa kuigeuza nchi shamba la bibi? Uhuru wa kuhujumu uchumi? Uhuru wa siasa chafu? Uhuru wa kutukana viongozi? Uhuru wa kubeza kila kitu?
Uhuru sio kufanya chochote ukitakacho. Tunatakiwa tuongozwe na katiba na sheria NZURI.
 
Yaani hata slogan zimeundwa kupingana slogan za CCM. Kwanini wapinzani wasiwe tu independent, waje na slogan ambazo haziko influenced na CCM?
Dawa ya moto ni moto mkali zaidi
 
Kazi na Uhuru.... Ukiwa huru bata utakua tu
 
Wote slogan zao ni copy ‘nd paste ya CCM..... upinzani hawajawahi fikiria kazi kama first priority. Asante magufuli watu kazi wanaiyona.

Ukifnya kazi bata utakula tu, ukifanya kazi pesa yako hupangiwi matumizi (utakuwa huru tu mwishowe)
Kuna nchi inayoenda bila watu wake kufanya kazi? KAZI na UHURU
 
Back
Top Bottom