Hapa kuiangalia sheria ya kodi na kanuni zake, Rais Samia umepiga bull

Hapa kuiangalia sheria ya kodi na kanuni zake, Rais Samia umepiga bull

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1722346347290.png

Kama mtu umefanya biashara nchi hii utagundua kwamba aliyetunga sheria zingine za kodi hajawahi hata kuuza karanga.

Sheria za kodi na kanuni zake zimelalamikiwa kwa miaka nenda rudi, huku TRA wakisema hawahusiki na sheria hizo na wanawakandika wafanyabisahra kama zilivyoandikwa, liwalo naliwe.

Kwa sheria hizi kuna wafanyakazi wa TRA wametajirika sana, maana wanazitumia kwa rushwa. (Kama aliyekutwa na Tshs bilioni 7 nyumbani kwake)

Kanuni moja inayo lalamikiwa sana ni ile ya ulipaji wa kodi ukitoa tu Invoice.

Yaani ukiandika madai yako kwa mteja, uwe umelipwa au haujalipwa unatakiwa ulipe ndani ya mwezi mmoja VAT 18% ya ile ankara(Invoice). Na ankara hiyo shurti iambatane na risiti ya EFD, kuwa umelipa hiyo kodi.

Hili imelalamikiwa sana na wafanyabiashara kwani serikali ndio walalamikiwa wakuu kwa kutolipa madeni yao kwa wafanyabiashara.

TRA huwa halielewi hilo, na usipolipa kwa wakati, deni hilo linazaa fine na interest ya malibiizo.

Huu ni wizi wa mchana.

Suala hili limelalamikiwa kwa miaka nenda rudi, toka kanuni hizi zianze kutumika.

Kimsingi ni kama Serikali inapora wafanyabiashara kwa kalamu.

Rais Samia apewe maua yake kwa kuliona hili na kulifanyia kazi kwa kuziangalia upya sheria na kanuni hizi za kodi zisizo halali za Serikali kwa kuitumia TRA.

UPDATE
=====
Mama Samia tayari jana 31/7/2024, ameteua Tume itakayotoa mapendekezo ya sheria zinazo athiri biashara kama zinavyotekelezwa na TRA.

Big step forwad.

IMG-20240731-WA0076.jpg
 
Mara
View attachment 3056908

Kama mtu umefanya biashara nchi hii utagundua kwamba aliyetunga sheria zingine za kodi hajawahi hata kuuza karanga.

Sheria za kodi na kanuni zake zimelalamikiwa kwa miaka nenda rudi, huku TRA wakisema hawahusiki na sheria hizo na wanawakandika wafanyabisahra kama zilivyoandikwa, liwalo naliwe.

Kwa sheria hizi kuna wafanyakazi wa TRA wametajirika sana, maana wanazitumia kwa rushwa. (Kama aliyekutwa na Tshs bilioni 7 nyumbani kwake)

Kanuni moja inayo lalamikiwa sana ni ile ya ulipaji wa kodi ukitoa tu Invoice.

Yaani ukiandika madai yako kwa mteja, uwe umeliwa au haujalipwa unatakiwa ulipe ndani ya mwezi mmoja VAT 18% ya ile ankara(Invoice). Na ankara hiyo shurti iambatane na risiti ya EFD, kuwa umelipa hiyo kodi.

Hili imelalamikiwa sana na wafanyabiashara kwani serikali ndio walalamikiwa wakuu kwa kutolipa madeni yao kwa wafanyabiashara.

TRA huwa halielewi hilo, na usipolipa kwa wakati, deni hilo linazaa fine na interest ya malibiizo.

Huu ni wizi wa mchana.

Suala hili limelalamikiwa kwa miaka nenda rudi, toka kanuni hizi zianze kutumika.

Kimsingi ni kama Serikali inapora wafanyabiashara kwa kalamu.

Rais Samia apewe maua yake kwa kuliona hili na kulifanyia kazi kwa kuziangalia upya sheria na kanuni hizi za kodi zisizo halali za Serikali kwa kuitumia TRA.
Mara zote na siku zote Samia ni reformist president,sio tuu kwenye biashara amefanya hayo Mageuzi maeneo yote ya Uchumi wa Nchi, sidhani kama kuna sekta hajaigusa.

Next budget lazima VAT itakuwa kati ya 16-15% kutoka 18%.
 
Mara
Mara zote na siku zote Samia ni reformist president,sio tuu kwenye biashara amefanya hayo Mageuzi maeneo yote ya Uchumi wa Nchi, sidhani kama kuna sekta hajaigusa.

Next budget lazima VAT itakuwa kati ya 16-15% kutoka 18%.
Kwa kweli kwa kukubali kuli tackle hili dudu linaitwa TRA, mama Samia lazima apongezwe.
Kuna sheria kama nilizozielezea kwenye mada ni wizi mtupu.
Na bado sheria zinaweza rekebishwa ili ziwe rafiki ; na ili mlipa kodi alipe bila stress.
Suala la kuongeza Tax base toka watu around 2million hadi kufikia 10million ni muhimu sana maana kodi nyingi inaweza kusanywa toka watu wengi zaidi na ikiwa kidogo sana.
Tatizo ni kukosa ubunifu ndani ya TRA na wizara ya Fedha.
 
Kwa kweli kwa kukubali kuli tackle hili dudu linaitwa TRA, mama Samia lazima apongezwe.
Kuna sheria kama nilizozielezea kwenye mada ni wizi mtupu.
Na bada sheria zinaweza rekebishwa ili ziwe rafiki ili mlipa kodi alipe bila stress.
Suala la kuongeza Tax base toka watu around 2million hadi kufikia 10million ni muhimu sana maana kodi nyingi inaweza kusznywa toka watu wengi na ikiwa kidogo sana.
Tatizo ni kukosa ubunifu ndani ya TRA.
Naunga hoja mkono.
 
Mama Ssmia ninpro business, tena endelevu.
Mnasahau haraka bizshara nyingi zilivyofungwa wskati uliopita.
Vile vile mnasahau au hamuelewi kuwa bishara zikikua ndiyo na kodi inaongezeka.
Hakuna cha pro business wala ushuzi, hata mimi ningepewa madaraka nikaamua kufumbia macho wizi na ufisadi basi mngeniita pro business tu.

Raisi yeyote akiwa laissez faire kwenye nchi yani watu wajifanyie watakavyo hasa wale big cats lazma prosperity itaonekana tu. Hela nyingi inapatikana kwa backdoors ama black markets na halali kidogo ndio inayooneshwa kwenda serikalini.

Uchumi unakuwa ila ni kupitia fedha chafu watu wanauza ngada, wanakwepa kodi, wanafisadi serikalini wanapata hela nyingi za kununua malori, mabasi, kufungua mabiashara makubwa ya kutakatishia hela. Ubaya wake ni kuwa social services huwa hafifu na raia wengi kuishi kama wakimbizi.

Kwangu mimi naona ni uchumi feki sababu akija raisi strict kwenye sheria wengi wataanguka tunarudi kule kule kwa raisi anachukia matajiri. Tulitakiwa tukue zaidi tukiwa na mfumo thabiti ambapo serikali inapata na sisi tunakua. Sio kuidhulum serikali halafu tujisifie kukua kwa uchumi.
 
Hakuna cha pro business wala ushuzi, hata mimi ningepewa madaraka nikaamua kufumbia macho wizi na ufisadi basi mngeniita pro business tu.

Raisi yeyote akiwa laissez faire kwenye nchi yani watu wajifanyie watakavyo hasa wale big cats lazma prosperity itaonekana tu. Hela nyingi inapatikana kwa backdoors ama black markets na halali kidogo ndio inayooneshwa kwenda serikalini.

Uchumi unakuwa ila ni kupitia fedha chafu watu wanauza ngada, wanakwepa kodi, wanafisadi serikalini wanapata hela nyingi za kununua malori, mabasi, kufungua mabiashara makubwa ya kutakatishia hela. Ubaya wake ni kuwa social services huwa hafifu na raia wengi kuishi kama wakimbizi.

Kwangu mimi naona ni uchumi feki sababu akija raisi strict kwenye sheria wengi wataanguka tunarudi kule kule kwa raisi anachukia matajiri. Tulitakiwa tukue zaidi tukiwa na mfumo thabiti ambapo serikali inapata na sisi tunakua. Sio kuidhulum serikali halafu tujisifie kukua kwa uchumi.
Hayo ni maneno ya mwanaharakati uchwara.
Jaribu uwe na ingalau genge la nyanya utaelewa tu.
Kama chinga wa Kariakoo anaelewa, wewe itakuwa una uwezo mdogo sana kuelewa.
 
Back
Top Bottom