Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Duhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It shows how myopic you are na jinsi gani unaridhishwa na vijimaneno vya tutafanya badala ya kufanya na siku zinaendelea kusonga na hakuna kinachobadilika...; Kwa kwa kisheria za Kodi hilo genge la nyanya mapato yake theoretically inabidi hata usilipe kodi ndio zile JPM alisema wakate vibali vya machinga...Endekea kusugua benchi kwa kalio hadi ustaafu, ndipo utajua kodi za kuanzisha hata frame na genge la nyanya.
Kwa mujibu wa Mange Kimambi bibi ndiyo LGBTQ, anasagana.tueleze ameongopea wapi ewe LGBTQ
Nimekushauri anzisha genge la nyanya ili upate uzoefu wa kile kinachoongelewa hapa. Maana hata machinga wa Kariakoo wanalielewa somo zaidi yakoIt shows how myopic you are na jinsi gani unaridhishwa na vijimaneno vya tutafanya badala ya kufanya na siku zinaendelea kusonga na hakuna kinachobadilika...; Kwa kwa kisheria za Kodi hilo genge la nyanya mapato yake theoretically inabidi hata usilipe kodi ndio zile JPM alisema wakate vibali vya machinga...
Mbili you are out of touch kama unadhani katika watu waliopigika katika nchi hii ni watu ambao angalau walipata ajira hence wana hata security ya mafao (be it small) wengi ya watanzania hata hio pensheni watakuwa hawana kwahio hao unaosema wanasugua benchi they are the ones who are better off than majority...
Wewe endelea kupiga mapambio ya tutafanya, tuangalie na mkalitazame na siku zinazidi kusonga... (na mara nyingi story hizi zinazidi wakati wa uchaguzi)
Pole feather brain!Kumbe ameziangalia tu kisha unampa maua?
Mimi nilidhani unadadavua hatua kwa hatua, kipengere kwa kipengere namna sheria zenyewe zilivyofayiwa marekebisho makubwa yanayotakiwa?
Aaah, kumbe ANAZIANGALIA TU...!
Fuatilia post zangu za nyuma. Sikuwa mnazi wa mwendazake.Mpk wewe Jidu La Mabambasi unauponda utawala wa jiwe!!? Ama kweli aliyekufa kafa na yake.
Pole wewe "vapour brain" which comes out so quickly and suddenly gets lost in the air!Pole feather brain!
Tatizo la ninyi vichwa vya panzi ni kuongelea vitu ambavyo hamvijui wala hamjawahi ku experience. Heri hata yule mmachinga wa Kariakoo anajua kero za kodi.Pole wewe "vapour brain" which comes out so quickly and suddenly gets lost in the air!
Kuona tu ni far different na kutenda. Hujui hilo?
Unashangilia mtu kwa kuwa tu ameona bila kuchukua au kutenda, really?
Hawa watu wako (ma-CCM) kwani walishaona mangapi? Halafu ikawaje?
Hopeless Jidu La Mabambasi
ccm washajua wadanganyika ni wajinga sana ... Wanatengeneza mianya ya uporaji, wanatajirika alafu kipindi cha uchaguzi wanazuga kutafuta ufumbuzi!Kimsingi ni kama Serikali inapora wafanyabiashara kwa kalamu.
Rais Samia apewe maua yake kwa kuliona hili na kulifanyia kazi kwa kuziangalia upya sheria na kanuni hizi za kodi zisizo halali za Serikali kwa kuitumia TRA.
Mbowe anatuchelewesha sana!Sisi ambao hatujamsikia tunaelewa wapi kuhusu hiki ulichoandika hapa.
sexless ndiyo wanakuwa kwenye group hilo, mimi ya Mange siyajuiKwa mujibu wa Mange Kimambi bibi ndiyo LGBTQ, anasagana.
Mkuu usiingie kundi la shallow thinkers.Maneno tupu bila kubadilisha sheria kupitia bunge sawa na bure tu tutakuwa tunajifariji kwa maneno tu na kupiga makofi wakati machungu yako pale pale tuzingatie sana hilo maana hao waty wa mapato (TRA) was wanasimamia tu sheria zilizotungwa na kupitishhwa na bunge kisha kupitishwa na rais.
Umekula maharage ya wapi?ccm washajua wadanganyika ni wajinga sana ... Wanatengeneza mianya ya uporaji, wanatajirika alafu kipindi cha uchaguzi wanazuga kutafuta ufumbuzi!
Yaani mwisho wa siku mnalazimika kumpongeza mwizi kwa kuwaonea huruma!
That's your problem thinking you know better than others..Tatizo la ninyi vichwa vya panzi ni kuongelea vitu ambavyo hamvijui wala hamjawahi ku experience. Heri hata yule mmachinga wa Kariakoo anajua kero za kodi.
Its best to shut yr ass mouth kuliko ku spout stale and smelly ideas.
Its clear you are full of foul air exuding from your infertile and potent inner turmoil and haemorrhage emenating from lack of understanding of the entire issue.That's your problem thinking you know better than others..
Hili ndio shida ya nyie makada wajinga wa CCM. Unaandika bila kujua unamwa - address nani..
For your infos, mimi ndiye huyo mmachinga wa Kariakoo. Kama unadhani sijui kero za kodi tunazo experience, basi fahamu tu kuwa wewe ndiye uliye mjinga hasa kudhani unajua na unatujua.!!
We know this government better than you do, you stupid ass..
So it's you Jidu La Mabambasi who have to shut your stinking mouth a listen to me..
Kuliona au kulitazama au kuunda tume Ili "kuangalia" is the same stupid drama from this failed CCM government under Samia Suluhu Hassan's presidency leaving the root cause of the whole problem..
She [Samia Suluhu Hassan] herself is a central problem for this whole saga. And you expect something better from her..?
Halafu wewe unakenua meno kushangilia ujinga uleule wa miaka yote eti "ameona" au anaangalia". Kwani wameona na kuyaangalia mangapi? Halafu ikawaje?