Hapa kuiangalia sheria ya kodi na kanuni zake, Rais Samia umepiga bull

Hapa kuiangalia sheria ya kodi na kanuni zake, Rais Samia umepiga bull

Exactly!

Lakini huyu mwana CCM Jidu La Mabambasi anakenua meno na kuchekacheka na wadanganyifu wenzake waliotuchezea kwa maneno yao miaka yote.

Eti "Asante Mama Samia kwa kuliona hili" utadhani kuona ndiyo kutenda..

Nimemuuliza mara kwa mara hivi kuona ndo kutenda? Walishayaona mangapi? Ikawaje?

Cha ajabu badala ajielewe na kujibu hoja, anarusha vijimatusi vya rejareja kwa kiingereza chake cha Mwamapalala huko Bariadi Simiyu kwao!
Karibu na Sanga mwarugesha ??! 😅🤦🏽‍♂️
 
A fool is the one speaks without actions..

That's your president, Samia Suluhu Hassan and the entire CCM..

"...na hilo nalo mwende mliangalie...."

Good luck, Mr. Jidu La Mabambasi, fool No. 1.!
Feel at home?
images-1.jpeg
 
Hili nalo angalizo la msingi sana wale wachezaji hasa wa sekta husika (wafanyabiashara) wamewekwa nje tunaona kundi la wasomi tu tena walimu wa vyuoni waliowahi kuajiriwa serikalini kwa nafasi mbalimbali hii nafikiri inapaswa kuangaliwa pia.
Hili kweli ni tatizo.
 
Back
Top Bottom