ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kodi na mambo ya Katiba wapi na wapi?Sidhani kama suala hili litakuwa effective.
Reform yoyote ile ambayo itakuwa nzuri zaidi, effective and efficiently katika nchi hii ya Tanzania ni lazima ianzie kwenye Reform ya Katiba ya nchi iliyopo Sasa hivi. Kama Katiba ya nchi hii itabaki kama ilivyo hivi sasa bila ya kufanyiwa Marekebisho au Mabadiliko, hayo yote yanayofanyika ni sawa na kazi bure (work done equal to zero).
Nyumba au Jengo ambalo msingi wake ni mbovu sana na uliol hata uifanyie ukarabati na matengenezo mazuri kiasi gani KAMWE haiwezi kutengemaa Tena na kuwa Nyumba imara.
Kwani hizo Sheria mbaya za Kodi ambazo zinalalamikiwa msingi wake ni nini Kama siyo Katiba ya nchi??Kodi na mambo ya Katiba wapi na wapi?
Katiba na sheria za Kodi havihusiani ,VAT na Katiba wapi na wapi?Kwani hizo Sheria mbaya za Kodi ambazo zinalalamikiwa msingi wake ni nini Kama siyo Katiba ya nchi??
Je, unazijua kazi za Katiba ya nchi kuhusiana na haya masuala ya Kiutawala yaliyopo kwenye nchi husika??Katiba na sheria za Kodi havihusiani ,VAT na Katiba wapi na wapi?
Huko walikokuwa wanaandamana Kuna Katiba Mpya ndio ilimwanbia Ruto aongeze Kodi na tozo?
Mkuu ukichanganya maharage na kokoto ukazila, lazima utapata mumivu ya tumbo.Sidhani kama suala hili litakuwa effective.
Reform yoyote ile ambayo itakuwa nzuri zaidi, effective and efficiently katika nchi hii ya Tanzania ni lazima ianzie kwenye Reform ya Katiba ya nchi iliyopo Sasa hivi. Kama Katiba ya nchi hii itabaki kama ilivyo hivi sasa bila ya kufanyiwa Marekebisho au Mabadiliko, hayo yote yanayofanyika ni sawa na kazi bure (work done equal to zero).
Nyumba au Jengo ambalo msingi wake ni mbovu sana na uliooza kabisa, hata uifanyie ukarabati na matengenezo mazuri kiasi gani KAMWE haiwezi kutengemaa Tena na kuwa Nyumba imara.
Suluhisho pekee lililopo ni kuvunja Nyumba au Jengo lote kabisa na kujenga tena upya ukianzia na hatua ya msingi ulio imara na Bora.
Mkuu hata mgomo wa Kariakoo haukhusiana kabisa na mambo ya kisiasa.Katiba na sheria za Kodi havihusiani ,VAT na Katiba wapi na wapi?
Huko walikokuwa wanaandamana Kuna Katiba Mpya ndio ilimwanbia Ruto aongeze Kodi na tozo?
Makander😇😇😇🤣🤣🤣🤣Mkuu ukichanganya maharage na kokoto ukazila, lazima utapata mumivu ya tumbo.
Kila suala na watu wake.
Siasa na biashara na kodi wapi na wapi!
Acha chuki na matajiri, tafuta helaHakuna cha pro business wala ushuzi, hata mimi ningepewa madaraka nikaamua kufumbia macho wizi na ufisadi basi mngeniita pro business tu.
Raisi yeyote akiwa laissez faire kwenye nchi yani watu wajifanyie watakavyo hasa wale big cats lazma prosperity itaonekana tu. Hela nyingi inapatikana kwa backdoors ama black markets na halali kidogo ndio inayooneshwa kwenda serikalini.
Uchumi unakuwa ila ni kupitia fedha chafu watu wanauza ngada, wanakwepa kodi, wanafisadi serikalini wanapata hela nyingi za kununua malori, mabasi, kufungua mabiashara makubwa ya kutakatishia hela. Ubaya wake ni kuwa social services huwa hafifu na raia wengi kuishi kama wakimbizi.
Kwangu mimi naona ni uchumi feki sababu akija raisi strict kwenye sheria wengi wataanguka tunarudi kule kule kwa raisi anachukia matajiri. Tulitakiwa tukue zaidi tukiwa na mfumo thabiti ambapo serikali inapata na sisi tunakua. Sio kuidhulum serikali halafu tujisifie kukua kwa uchumi.
Sina haja ya kutafta hela ziko mingi sana babAcha chuki na matajiri, tafuta hela
Yale uliyomwaga!🤣🤣Umekula maharage ya wapi?
Nafikiri ujumbe huu utakuwa umemfikia mama tayari!1.Tume haina mfanyabiashara hata mmoja, sijui Kama mmeligundua hilo? Ni wasomi watupu na wabobezi lakini tungepata mawazo ya mfanyabiashara nguli kwenye tume
2.Kuna tume zinaundwa lakini hatuoni utekelezaji wa mapendekezo! Ripoti zinazotolewa hazifanyiwi kazi kabisa.
TUIPE MUDA NA USHIRIKIANO TUME, ILI WAFANYE KAZI IPASAVYO.
Kwahivyo bado suala liko kwenye majadiliano halijafika bungeni bado tutoe muda kwaajili ya utekelezaji kwasasa sheria za zamani zitaendelea kutumika mpaka hapo mabadiliko yatakapofanyika.Mkuu usiingie kundi la shallow thinkers.
Alichofanya mama Samia baada ya kukutana na Baraza la Biashara(Tanzania Business Council Baraza la Taifa la Biashara), Baraza linalowaunganisha wafanyabiashara wote Tanzania, ni kusikiliza kero za biashara.
Kero kubwa iliyojitokeza ni utekelezaji wa sheria za kodi na TRA na zinavyoathiri biashara.
Hivyo basi mama baada ya kusikiliza na kuelewa kuwa tatizo ni sheria za kodi zilizotungwa huko nyuma, amekubali kuzireview, na Baraza litatoa ushauri na mapendekezo yake.
Mama Samia aliahidi kuteua Tume itakayo ratibu mapendekezo hayo ya kubadili sheria za kodi zenye kukakasi
Tume hi hii imeteuliwa jana 31/07/2024.
View attachment 3058220
Hili nalo angalizo la msingi sana wale wachezaji hasa wa sekta husika (wafanyabiashara) wamewekwa nje tunaona kundi la wasomi tu tena walimu wa vyuoni waliowahi kuajiriwa serikalini kwa nafasi mbalimbali hii nafikiri inapaswa kuangaliwa pia.1.Tume haina mfanyabiashara hata mmoja, sijui Kama mmeligundua hilo? Ni wasomi watupu na wabobezi lakini tungepata mawazo ya mfanyabiashara nguli kwenye tume
2.Kuna tume zinaundwa lakini hatuoni utekelezaji wa mapendekezo! Ripoti zinazotolewa hazifanyiwi kazi kabisa.
TUIPE MUDA NA USHIRIKIANO TUME, ILI WAFANYE KAZI IPASAVYO.
Ndiyo, wafanyabiashara wameenguliwa kabisa.Hili nalo angalizo la msingi sana wale wachezaji hasa wa sekta husika (wafanyabiashara) wamewekwa nje tunaona kundi la wasomi tu tena walimu wa vyuoni waliowahi kuajiriwa serikalini kwa nafasi mbalimbali hii nafikiri inapaswa kuangaliwa pia.
By the way kwa kutokuona kwake mpaka muda huu inaonyesha ni vipi alikuwa hafanyi kazi yake (sababu haya malalamiko hayajaanza leo na hakuna mtu ambaye hajui)Pole wewe "vapour brain" which comes out so quickly and suddenly gets lost in the air!
Kuona tu ni far different na kutenda. Hujui hilo?
Unashangilia mtu kwa kuwa tu ameona bila kuchukua au kutenda, really?
Hawa watu wako (ma-CCM) kwani walishaona mangapi? Halafu ikawaje?
Hopeless Jidu La Mabambasi
Exactly!By the way kwa kutokuona kwake mpaka muda huu inaonyesha ni vipi alikuwa hafanyi kazi yake (sababu haya malalamiko hayajaanza leo na hakuna mtu ambaye hajui) ? Kwahio kwa watumishi wetu ambao tunawalipa kazi yao sio kuona na kutwambia kitu ambacho kipo wazi na tunakifahamu..., Kazi yao ni kufanya
Ila ndio hivyo wapo kwenye siasa kwa kuridhisha watu kwa vijimaneno visivyo na meno.... anangojea bajeti ipite alafu ndio aanzishe mchakato wa watu kuangalia ?
Its clear you are full of foul air exuding from your infertile and potent inner turmoil and haemorrhage emenating from lack of understanding of the entire issue.
Some say, argue with a fool, people may not notice the difference.
Good luck!