Hapa kuiangalia sheria ya kodi na kanuni zake, Rais Samia umepiga bull

Karibu na Sanga mwarugesha ??! 😅🤦🏽‍♂️
 
Hili nalo angalizo la msingi sana wale wachezaji hasa wa sekta husika (wafanyabiashara) wamewekwa nje tunaona kundi la wasomi tu tena walimu wa vyuoni waliowahi kuajiriwa serikalini kwa nafasi mbalimbali hii nafikiri inapaswa kuangaliwa pia.
Hili kweli ni tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…