Hapa Kuna Siri gani kuhusu ukiwa na hela unapoteza shauku ya Kupata kitu mfano swala la kuoa Mtu ukipata hela unalisahau kama huwa lipo.?

Hapa Kuna Siri gani kuhusu ukiwa na hela unapoteza shauku ya Kupata kitu mfano swala la kuoa Mtu ukipata hela unalisahau kama huwa lipo.?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nilichogundua Binadamu huwa anakuaga na mipango Mingi akiwa Hana hela.

Mfano back the days Mimi na classmates zangu tuliwahi kupanga Mambo ya kuoa nk but now hao classmates wapo Sehemu nzuri wengine katika Taasisi kubwa na wengine wafanyabiashara so Hakuna hata mmoja kaoa na hawataki kusikia hizo habari Wanasema hazifa.

Pia ukiwa home Ndani chakula kipo Chakutumia miezi mitatu haudaiwi Kodi na una balance ya kula miezi sita yaani unajikuta unapoteza hamu ya kula Kabisa.
Nahitimisha kuwa ukiwa katika uhaba kuna Huwezekano wa kupenda vitu ambavyo hauvipendi ila ni njaa tu.

Inawezekana kiu ndo hufanya MAJI kuwa matamu na Ni njaa ndo hufanya chakula kionekane kina ladha.
 
Pesa ni prestige tu na ulinzi tosha...


Pesa inaweza kukulinda bila kuitumia
mfano watu wenye pesa wanaheshimika kila kona hata kama hajawahi kutoa pesa yake kusaidia jamii ...Pesa ni zaidi ya unavyojua ukiwa na pesa chuki inapungua ,njaa zinapungua ..


Mtu mweny pesa enzi za zamani akienda sehemu kweny migahawa inayofuatana kama ipo mingi unakuta wauzaji wanamgombania wengine wanataka ale bure kweny mgahawa wao ,nyuma yq pazia akila bure ile sehemu inakuwa kama marketing ya kuitangaza hapo kala bila ya kutumia pesa yake.
 
Nilichogundua Binadamu huwa anakuaga na mipango Mingi akiwa Hana hela.

Mfano back the days Mimi na classmates zangu tuliwahi kupanga Mambo ya kuoa nk but now hao classmates wapo Sehemu nzuri wengine katika Taasisi kubwa na wengine wafanyabiashara so Hakuna hata mmoja kaoa na hawataki kusikia hizo habari Wanasema hazifa.

Pia ukiwa home Ndani chakula kipo Chakutumia miezi mitatu haudaiwi Kodi na una balance ya kula miezi sita yaani unajikuta unapoteza hamu ya kula Kabisa.
Nahitimisha kuwa ukiwa katika uhaba kuna Huwezekano wa kupenda vitu ambavyo hauvipendi ila ni njaa tu.

Inawezekana kiu ndo hufanya MAJI kuwa matamu na Ni njaa ndo hufanya chakula kionekane kina ladha.
Labda mtu awe na shida ya kimaumbile kama ushoga nk

Lakini vijana wengi wakianza kupata pesa hupenda kuoa ili pesa yake isitawanyike na kumpa utulivu

Ila kama kijana sio rijali au kazaliwa familia maskini sana pesa humzuzua na kuona kuoa sio hitaji la maana

Mtu kakulia familia za wenye hela cha ziada anachokiona ni kuoa kama ni pesa na maisha mazuri kaishi sana tofauti na mitoto ya maskini ambayo ikipata pesa iwe ya kike au kiume haitaki ndoa inajiona imefika sanaa kimaisha.Ulofa mbaya sana

Vijana malofa au.mliozaliwa familia za kilofa sasa hivi mna pesa na ndoa hamtaki nendeni kwa Mwamposya akawaombee mapepo yenu yawatoke kwa jina la Yesu
 
Nilichogundua Binadamu huwa anakuaga na mipango Mingi akiwa Hana hela.

Mfano back the days Mimi na classmates zangu tuliwahi kupanga Mambo ya kuoa nk but now hao classmates wapo Sehemu nzuri wengine katika Taasisi kubwa na wengine wafanyabiashara so Hakuna hata mmoja kaoa na hawataki kusikia hizo habari Wanasema hazifa.

Pia ukiwa home Ndani chakula kipo Chakutumia miezi mitatu haudaiwi Kodi na una balance ya kula miezi sita yaani unajikuta unapoteza hamu ya kula Kabisa.
Nahitimisha kuwa ukiwa katika uhaba kuna Huwezekano wa kupenda vitu ambavyo hauvipendi ila ni njaa tu.

Inawezekana kiu ndo hufanya MAJI kuwa matamu na Ni njaa ndo hufanya chakula kionekane kina ladha.
PESA NI FIMBO

Ukiwa huna pesa unadharaulika na kila kitu. Iwe watu, wadudu, njaa pamoja na nyege zitakuona kama fala fulani hivi.

Ukiwa huna pesa, njaa zinakufata hapohapo ulipo zinakuchezea mpaka sharubu sababu zinajua huna cha kuzifanya. Ila kama AKAUNTI ZINASOMA, HATA ZENYEWE ZITAONA (In Diamond's voice) zitakaa mbali sababu utazihukumu kikatili, utazisulubu na mapaja ya kuku, mapizza, mapilau n.k

nyege pia zitaenda Futi efu nne sababu zinajua utazipa hukumu ya kiyakuza, kama ni mnyama utakuwa unamchinjia nyuma ya shingo
 
PESA NI FIMBO

Ukiwa huna pesa unadharaulika na kila kitu. Iwe watu, wadudu, njaa pamoja na nyege zitakuona kama fala fulani hivi.

Ukiwa huna pesa, njaa zinakufata hapohapo ulipo zinakuchezea mpaka sharubu sababu zinajua huna cha kuzifanya. Ila kama AKAUNTI ZINASOMA, HATA ZENYEWE ZITAONA (In Diamond's voice) zitakaa mbali sababu utazihukumu kikatili, utazisulubu na mapaja ya kuku, mapizza, mapilau n.k

nyege pia zitaenda Futi efu nne sababu zinajua utazipa hukumu ya kiyakuza, kama ni mnyama utakuwa unamchinjia nyuma ya shingo
Duu
 
PESA NI FIMBO

Ukiwa huna pesa unadharaulika na kila kitu. Iwe watu, wadudu, njaa pamoja na nyege zitakuona kama fala fulani hivi.

Ukiwa huna pesa, njaa zinakufata hapohapo ulipo zinakuchezea mpaka sharubu sababu zinajua huna cha kuzifanya. Ila kama AKAUNTI ZINASOMA, HATA ZENYEWE ZITAONA (In Diamond's voice) zitakaa mbali sababu utazihukumu kikatili, utazisulubu na mapaja ya kuku, mapizza, mapilau n.k

nyege pia zitaenda Futi efu nne sababu zinajua utazipa hukumu ya kiyakuza, kama ni mnyama utakuwa unamchinjia nyuma ya shingo
Namshangaa mleta mada

Wenye pesa ndio huwa na nyege na ndio maana huamua kuoa

Maskini ndio vigumu nyege kuamka sababu kutwa anawaza ale nini maisha yaendaje

Mleta mada atakuwa maskini wa kutupwa

Watoto wa matajiri huoa na kuolewa mapema mno na wenzao wenye uwezo

Wachelewa sana kuoa na kuolewa au kukataa ndoa ni watoto.wa maskini na malofa

Mtoto wa Tajiri kila maulana au msichana anamtaka awe wa Tajiri au maskini ndio mana kwao huoa na kuolewa upesi

Piga vita umaskini sio ndoa

Ndoa ni kwa ajili ya wenye nacho

Maskini hatakiwi kuoa au kuolewa aende upadri au usista kama anaona ndoa mbaya na kusema kataa ndoa
 
Nilichogundua Binadamu huwa anakuaga na mipango Mingi akiwa Hana hela.

Mfano back the days Mimi na classmates zangu tuliwahi kupanga Mambo ya kuoa nk but now hao classmates wapo Sehemu nzuri wengine katika Taasisi kubwa na wengine wafanyabiashara so Hakuna hata mmoja kaoa na hawataki kusikia hizo habari Wanasema hazifa.

Pia ukiwa home Ndani chakula kipo Chakutumia miezi mitatu haudaiwi Kodi na una balance ya kula miezi sita yaani unajikuta unapoteza hamu ya kula Kabisa.
Nahitimisha kuwa ukiwa katika uhaba kuna Huwezekano wa kupenda vitu ambavyo hauvipendi ila ni njaa tu.

Inawezekana kiu ndo hufanya MAJI kuwa matamu na Ni njaa ndo hufanya chakula kionekane kina ladha.
Moyo unakunjuka
 
Kingine cha kushangaza ata ukiwa na pesa ukipiga kimoja wala hauoni ni tatzo kawaida tu , ila ukiwa hauna pesa ukipiga kimoja utazunguka kutafuta ushauri na tiba
Kula korosho, maziwa, na ndizi mbivu kunywa maji yakutosha kijana
 
Namshangaa mleta mada

Wenye pesa ndio huwa na nyege na ndio maana huamua kuoa

Maskini ndio vigumu nyege kuamka sababu kutwa anawaza ale nini maisha yaendaje

Mleta mada atakuwa maskini wa kutupwa

Watoto wa matajiri huoa na kuolewa mapema mno na wenzao wenye uwezo

Wachelewa sana kuoa na kuolewa au kukataa ndoa ni watoto.wa maskini na malofa

Mtoto wa Tajiri kila maulana au msichana anamtaka awe wa Tajiri au maskini ndio mana kwao huoa na kuolewa upesi

Piga vita umaskini sio ndoa

Ndoa ni kwa ajili ya wenye nacho

Maskini hatakiwi kuoa au kuolewa aende upadri au usista kama anaona ndoa mbaya na kusema kataa ndoa
Mkuu mbona una uchungu sna na hawa kataa ndoa[emoji16][emoji16][emoji16]
 
PESA NI FIMBO

Ukiwa huna pesa unadharaulika na kila kitu. Iwe watu, wadudu, njaa pamoja na nyege zitakuona kama fala fulani hivi.

Ukiwa huna pesa, njaa zinakufata hapohapo ulipo zinakuchezea mpaka sharubu sababu zinajua huna cha kuzifanya. Ila kama AKAUNTI ZINASOMA, HATA ZENYEWE ZITAONA (In Diamond's voice) zitakaa mbali sababu utazihukumu kikatili, utazisulubu na mapaja ya kuku, mapizza, mapilau n.k

nyege pia zitaenda Futi efu nne sababu zinajua utazipa hukumu ya kiyakuza, kama ni mnyama utakuwa unamchinjia nyuma ya shingo
Mkuu umetisha Sana
 
Pesa ndo baba lao;

Ukiwa huna pesa unakula chakula kingi sana Tena njaa zinakuvamia hovyo.Chakula ambacho kinaweza liwa na watu wanne wewe unakila pekee yako Tena Mara moja tu.

Wanaume wasio na pesa wanafanyaga ngono kwa muda mrefu Sana Tena kwa kukamia.Unakuta limwanaume linakesha kwenye kifua Cha mwanamke kwa Zaidi ya Masaa 3.
 
Pesa ni prestige tu na ulinzi tosha...


Pesa inaweza kukulinda bila kuitumia
mfano watu wenye pesa wanaheshimika kila kona hata kama hajawahi kutoa pesa yake kusaidia jamii ...Pesa ni zaidi ya unavyojua ukiwa na pesa chuki inapungua ,njaa zinapungua ..


Mtu mweny pesa enzi za zamani akienda sehemu kweny migahawa inayofuatana kama ipo mingi unakuta wauzaji wanamgombania wengine wanataka ale bure kweny mgahawa wao ,nyuma yq pazia akila bure ile sehemu inakuwa kama marketing ya kuitangaza hapo kala bila ya kutumia pesa yake.
Nakubaliana na wewe
 
Back
Top Bottom