boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Ulianza vizuri sana, umekuja kuharibu ulivyowaingiza WCB.Kosa kubwa sana ulaya unafungwa kumuita binadamu mwenzio sokwe au nyani wazungu ndowalikuwa na tabia hizi za kishenzi ila Nina mashaka na huyu jamaa anaweza kuwa ni pilau hamonaiz anajipigia iweje ammaindi mtu asiyeusikanae kama anagombania bwana vile mwanaume mzima mi ndomana hawa wcb siwapendi kabisa.mtu kujifananisha na mtu maarufu ni jambo la kawaida kabisa tatizo kujiskia na ushamba mwingi
Eeeh Asante hope kapata ujumbe....ukisikia mtu kajamba alaf anakimbia ushuzi wake ndo huyu mose iyobo..tena ngoja nkuchambe uchambike kiuno bila mfupa wewe!...cha kwenda kumuita mwenzio nyani we ndo ulimuotesha mkia?hiv kabla yakuandika ule upumbavu kumtusi mwenzio ulijichungulia kwanza kwenye kioo huo uso wako kama unang'ong'a?...mbona umekosa utu na kifua cha kiume weye kunyamazia mambo!..hamorapa anakuuma kama ww ndo mkurungenzi wa wcb wakat kidampa tu...kila mtu na njia zake za kujitaftia rizk babu wee kama hana nyota wala kipaji anatumia jina la mwenziwe ili ajulikane hatochukua mda mrefu atafulia tu ndo maana hata hao viongoz wako wa wcb wako kimya buzy hawana habar nae..ila wew mcheza samba mshipa wa chuki umekusimama dede mpaka umeshindwa kujizuia waenda mtukana mwenzio wamuita nyani!..wewe uloumbwa binadam mpaka sasahv una tuzo gani ya u handsome hapa mjini..muachee babu wee walikuja watu kibao wanawaoimba kwa kiki ya kufanana na wasanii wengn ila hawakuw na vpaji wako wap sasahv..wamefulia kwaio muache mtoto wa mwanaume mwenzio ajikune anakofikia upo ziwa?..kama ni kiki hata ww unaitafta maana wakuongea angekuwa hermonize wew cjui inakuhusu nini..!.huo muda unaokaa kumtukana mwenzio ungeenda kumfumua cookie zile rasta mlizomsokota ugekuwa umefanya la maana!.mwanaume mzima hovyoo una roho nyeusi kama ngozi yako!kukaa kote wcb na kwenda kote ulaya huna mabadiliko yyote ngozi kavuu ka shuka za wakoloni..huna nuru mwanaume mda wote uso mzitoo umekutuama ka dimbwi la kambale..huo weusi sasa!weusi hauleweki na kichwa chako hiko ka yai la chemli yaan ww ndo wa ajabu na maajabu yake kama ni vizazi ya nyani bac ww ni homohabilis nyani mtembelea mikono!ila ushawah sikia mtu anakutusi hivyo?au watuona kimya hatukutoi kasoro ndo ukajiona wafanana na pesa!?na mashavu yako hayo ka bundi wakutumwa...!mtizame hapo vimacho juujuu havitulii..ka kajamba ukweni! CREDIT TO: MALKIA WA KUCHAMBA INSTA
HahahahaMIMI NAMTETEA KABISA KABISA!
UPO UTANI KWA WENGINE UNAONEKANA NI TUSI!
mfano mi kuna mtu naweza mwita tu we shangingi umelala?
au we jambazi naona unapita hapa hebu njoo!
KIUKWELI KABISA KABISA NAKUWA SIMAANISHI MAANA YA HAYO MANENO AS YANATAFSIRIKA!
IT IS MY WAY OF KUMWITA RAFIKI ALIYE AZIZ KABISA KWANGU!
Hahahaha
Snow hapo uko sawa, yaani nimetumia siku nzima kuwaza kumtetea ila nimeshindwa. Umetisha
Hilo hata siyo jina liitwa kwa ubaya sema watu wamepanic haraka
Black kumuita black mwenzake Nigger huwa inachukuliwa kawaida ila mzungu kumuita black nigger ni kumdhalilisha.....Bora ajiite kuliko kuitwa huoni kunatofauti
Cousin[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sasa wewe mbona unaonekana tena umepanic zaid shda nn!!?
Ufafanuzi kwenye kujamba ukweniukisikia mtu kajamba alaf anakimbia ushuzi wake ndo huyu mose iyobo..tena ngoja nkuchambe uchambike kiuno bila mfupa wewe!...cha kwenda kumuita mwenzio nyani we ndo ulimuotesha mkia?hiv kabla yakuandika ule upumbavu kumtusi mwenzio ulijichungulia kwanza kwenye kioo huo uso wako kama unang'ong'a?...mbona umekosa utu na kifua cha kiume weye kunyamazia mambo!..hamorapa anakuuma kama ww ndo mkurungenzi wa wcb wakat kidampa tu...kila mtu na njia zake za kujitaftia rizk babu wee kama hana nyota wala kipaji anatumia jina la mwenziwe ili ajulikane hatochukua mda mrefu atafulia tu ndo maana hata hao viongoz wako wa wcb wako kimya buzy hawana habar nae..ila wew mcheza samba mshipa wa chuki umekusimama dede mpaka umeshindwa kujizuia waenda mtukana mwenzio wamuita nyani!..wewe uloumbwa binadam mpaka sasahv una tuzo gani ya u handsome hapa mjini..muachee babu wee walikuja watu kibao wanawaoimba kwa kiki ya kufanana na wasanii wengn ila hawakuw na vpaji wako wap sasahv..wamefulia kwaio muache mtoto wa mwanaume mwenzio ajikune anakofikia upo ziwa?..kama ni kiki hata ww unaitafta maana wakuongea angekuwa hermonize wew cjui inakuhusu nini..!.huo muda unaokaa kumtukana mwenzio ungeenda kumfumua cookie zile rasta mlizomsokota ugekuwa umefanya la maana!.mwanaume mzima hovyoo una roho nyeusi kama ngozi yako!kukaa kote wcb na kwenda kote ulaya huna mabadiliko yyote ngozi kavuu ka shuka za wakoloni..huna nuru mwanaume mda wote uso mzitoo umekutuama ka dimbwi la kambale..huo weusi sasa!weusi hauleweki na kichwa chako hiko ka yai la chemli yaan ww ndo wa ajabu na maajabu yake kama ni vizazi ya nyani bac ww ni homohabilis nyani mtembelea mikono!ila ushawah sikia mtu anakutusi hivyo?au watuona kimya hatukutoi kasoro ndo ukajiona wafanana na pesa!?na mashavu yako hayo ka bundi wakutumwa...!mtizame hapo vimacho juujuu havitulii..ka kajamba ukweni! CREDIT TO: MALKIA WA KUCHAMBA INSTA
Ufafanuzi kwenye kujamba ukweni
TATIZO WCB!Hahahaha
Snow hapo uko sawa, yaani nimetumia siku nzima kuwaza kumtetea ila nimeshindwa. Umetisha
Hilo hata siyo jina liitwa kwa ubaya sema watu wamepanic haraka
Hi cousinCousin
Kimsingi sie ngozi nyeusi ni wabaguzi namba moja sema tu weupe walianzisha wameonekana kama wao ndio wabaguziHivi kumbe hata sisi kwa sisi tunautana Nyani eeh!
Ila ni kujisahau tu kwa sababu sisi pia tumetoka kwa hao manyani na masokwe. Kwa hiyo kama mtu anakuita nyani mwambie asanteeeeeeee.............lakini usisahau kumwambia NYANI MWENZANGUKwanza ungerekebisha hapo kusema 'tumezoea wazungu ndio huwaita Waafrica Nyani'...ni Wazungu wangapi umeshawasikia? lazima uamini kuwa wapo hao Wazungu wengi tu wanaojali utu labda kuliko hata ndugu na jirani zako hapo kijijini kwako, hivyo sio busara kuwaweka wote kwenye kapu moja.
Na kwa kuitwa huko Nyani hivi mmeshawahi kubadilika kweli kuwa Nyani? nadhani kwa kukuza mambo ndio mnawapa nguvu wanaopenda kukejeli waendelee kuwakejeli.
Sasa hapa tunamchukia anayemuita mwingine Nyani au tunamchukia huyu mnyama Nyani mwenyewe? kwani nimeona wapo wengi tu wanaojiita majina ya Wanyama kama Simba, Mamba, Chui, Faru au Mnyama..huyu Nyani au Sokwe ana mkosi gani?