Hapa Moze Iyobo umezingua kwa kumuita binadamu mwenzio nyani

Hapa Moze Iyobo umezingua kwa kumuita binadamu mwenzio nyani

Ubaguzi wa rangi bado upo angekua mzungu ndo kaongea ingekua shida kidogo
 
Watanzania bana, kuna watu wana haki yakutukanwa matusi yote 24/7 ila wengine hawatakiwi kuguswa. Nyie wahubiri waubaguzi siku zote mnakuwa wapi? Unafiki tu
 
Kosa kubwa sana ulaya unafungwa kumuita binadamu mwenzio sokwe au nyani wazungu ndowalikuwa na tabia hizi za kishenzi ila Nina mashaka na huyu jamaa anaweza kuwa ni pilau hamonaiz anajipigia iweje ammaindi mtu asiyeusikanae kama anagombania bwana vile mwanaume mzima mi ndomana hawa wcb siwapendi kabisa.mtu kujifananisha na mtu maarufu ni jambo la kawaida kabisa tatizo kujiskia na ushamba mwingi
Ulianza vizuri sana, umekuja kuharibu ulivyowaingiza WCB.

Ila kiukweli huyo Iyobo mp...mbavu kinoma. Kulikuwa kuna haja gan ya kufanya alichofanya?
Naiman kuna hatua mbele kamsogezea Harmorapa.
 
ukisikia mtu kajamba alaf anakimbia ushuzi wake ndo huyu mose iyobo..tena ngoja nkuchambe uchambike kiuno bila mfupa wewe!...cha kwenda kumuita mwenzio nyani we ndo ulimuotesha mkia?hiv kabla yakuandika ule upumbavu kumtusi mwenzio ulijichungulia kwanza kwenye kioo huo uso wako kama unang'ong'a?...mbona umekosa utu na kifua cha kiume weye kunyamazia mambo!..hamorapa anakuuma kama ww ndo mkurungenzi wa wcb wakat kidampa tu...kila mtu na njia zake za kujitaftia rizk babu wee kama hana nyota wala kipaji anatumia jina la mwenziwe ili ajulikane hatochukua mda mrefu atafulia tu ndo maana hata hao viongoz wako wa wcb wako kimya buzy hawana habar nae..ila wew mcheza samba mshipa wa chuki umekusimama dede mpaka umeshindwa kujizuia waenda mtukana mwenzio wamuita nyani!..wewe uloumbwa binadam mpaka sasahv una tuzo gani ya u handsome hapa mjini..muachee babu wee walikuja watu kibao wanawaoimba kwa kiki ya kufanana na wasanii wengn ila hawakuw na vpaji wako wap sasahv..wamefulia kwaio muache mtoto wa mwanaume mwenzio ajikune anakofikia upo ziwa?..kama ni kiki hata ww unaitafta maana wakuongea angekuwa hermonize wew cjui inakuhusu nini..!.huo muda unaokaa kumtukana mwenzio ungeenda kumfumua cookie zile rasta mlizomsokota ugekuwa umefanya la maana!.mwanaume mzima hovyoo una roho nyeusi kama ngozi yako!kukaa kote wcb na kwenda kote ulaya huna mabadiliko yyote ngozi kavuu ka shuka za wakoloni..huna nuru mwanaume mda wote uso mzitoo umekutuama ka dimbwi la kambale..huo weusi sasa!weusi hauleweki na kichwa chako hiko ka yai la chemli yaan ww ndo wa ajabu na maajabu yake kama ni vizazi ya nyani bac ww ni homohabilis nyani mtembelea mikono!ila ushawah sikia mtu anakutusi hivyo?au watuona kimya hatukutoi kasoro ndo ukajiona wafanana na pesa!?na mashavu yako hayo ka bundi wakutumwa...!mtizame hapo vimacho juujuu havitulii..ka kajamba ukweni! CREDIT TO: MALKIA WA KUCHAMBA INSTA
Eeeh Asante hope kapata ujumbe....
 
MIMI NAMTETEA KABISA KABISA!
UPO UTANI KWA WENGINE UNAONEKANA NI TUSI!
mfano mi kuna mtu naweza mwita tu we shangingi umelala?
au we jambazi naona unapita hapa hebu njoo!
KIUKWELI KABISA KABISA NAKUWA SIMAANISHI MAANA YA HAYO MANENO AS YANATAFSIRIKA!
IT IS MY WAY OF KUMWITA RAFIKI ALIYE AZIZ KABISA KWANGU!
Hahahaha
Snow hapo uko sawa, yaani nimetumia siku nzima kuwaza kumtetea ila nimeshindwa. Umetisha
Hilo hata siyo jina liitwa kwa ubaya sema watu wamepanic haraka
 
Bora ajiite kuliko kuitwa huoni kunatofauti
Black kumuita black mwenzake Nigger huwa inachukuliwa kawaida ila mzungu kumuita black nigger ni kumdhalilisha.....

mazungumzo huwa yanategemea mambo mengi mfano mahusiano baina ya wazungumzaji, eneo mnalozungumzia, maada mnayozungumzia na mambo mengine.

mahusiano kati ya Iyobo na Harmoraper hayamruhusu Iyobo kumuita Harmorapper nyani....

Angekuwa amemuita Raymond Nyani wala hata isingekuwa ishu
 
Tokea nyakati za akina Abrahamu Lincoln, enzi za akina Marcus garvey, Martin luther king Jr, Seidar Sengho, wakati huo wote pamekuwa na harakati za kumkomboa mtu mweusi dhid ya ubaguz wa rangi....

Mengi mabaya mfano utumwa, ukoloni na yote waliyofanyia waafrika ilitokana na rangi za ngoz zao. Waafrika wamekuwa wakiitwa nyani, sokwe na majina mengine.

Leo hii Iyobo anamuita Harmorapper Nyani... duuh hawa wote ni waafrika.

Elimu ni muhimu sana!!!!
 
ukisikia mtu kajamba alaf anakimbia ushuzi wake ndo huyu mose iyobo..tena ngoja nkuchambe uchambike kiuno bila mfupa wewe!...cha kwenda kumuita mwenzio nyani we ndo ulimuotesha mkia?hiv kabla yakuandika ule upumbavu kumtusi mwenzio ulijichungulia kwanza kwenye kioo huo uso wako kama unang'ong'a?...mbona umekosa utu na kifua cha kiume weye kunyamazia mambo!..hamorapa anakuuma kama ww ndo mkurungenzi wa wcb wakat kidampa tu...kila mtu na njia zake za kujitaftia rizk babu wee kama hana nyota wala kipaji anatumia jina la mwenziwe ili ajulikane hatochukua mda mrefu atafulia tu ndo maana hata hao viongoz wako wa wcb wako kimya buzy hawana habar nae..ila wew mcheza samba mshipa wa chuki umekusimama dede mpaka umeshindwa kujizuia waenda mtukana mwenzio wamuita nyani!..wewe uloumbwa binadam mpaka sasahv una tuzo gani ya u handsome hapa mjini..muachee babu wee walikuja watu kibao wanawaoimba kwa kiki ya kufanana na wasanii wengn ila hawakuw na vpaji wako wap sasahv..wamefulia kwaio muache mtoto wa mwanaume mwenzio ajikune anakofikia upo ziwa?..kama ni kiki hata ww unaitafta maana wakuongea angekuwa hermonize wew cjui inakuhusu nini..!.huo muda unaokaa kumtukana mwenzio ungeenda kumfumua cookie zile rasta mlizomsokota ugekuwa umefanya la maana!.mwanaume mzima hovyoo una roho nyeusi kama ngozi yako!kukaa kote wcb na kwenda kote ulaya huna mabadiliko yyote ngozi kavuu ka shuka za wakoloni..huna nuru mwanaume mda wote uso mzitoo umekutuama ka dimbwi la kambale..huo weusi sasa!weusi hauleweki na kichwa chako hiko ka yai la chemli yaan ww ndo wa ajabu na maajabu yake kama ni vizazi ya nyani bac ww ni homohabilis nyani mtembelea mikono!ila ushawah sikia mtu anakutusi hivyo?au watuona kimya hatukutoi kasoro ndo ukajiona wafanana na pesa!?na mashavu yako hayo ka bundi wakutumwa...!mtizame hapo vimacho juujuu havitulii..ka kajamba ukweni! CREDIT TO: MALKIA WA KUCHAMBA INSTA
Ufafanuzi kwenye kujamba ukweni
 
Huyo jamaa ni punda wanamuita FUSO vitu viwili na ziada... Ndio kafikisha genge lake hapo lilipo.. Pesa ya ngada kama mchawi unaweza kujipeleka kwa wazee mwenyewe...kibri
 
Sasa Kwa hapa nani nyani kama si Moze iyobo maana dah! Alivo utazani kamwagiwa oil chafu vile
 
Mmmmh
katibu_wa_wambea-20170130-0001.jpg
 
Kwanza ungerekebisha hapo kusema 'tumezoea wazungu ndio huwaita Waafrica Nyani'...ni Wazungu wangapi umeshawasikia? lazima uamini kuwa wapo hao Wazungu wengi tu wanaojali utu labda kuliko hata ndugu na jirani zako hapo kijijini kwako, hivyo sio busara kuwaweka wote kwenye kapu moja.

Na kwa kuitwa huko Nyani hivi mmeshawahi kubadilika kweli kuwa Nyani? nadhani kwa kukuza mambo ndio mnawapa nguvu wanaopenda kukejeli waendelee kuwakejeli.

Sasa hapa tunamchukia anayemuita mwingine Nyani au tunamchukia huyu mnyama Nyani mwenyewe? kwani nimeona wapo wengi tu wanaojiita majina ya Wanyama kama Simba, Mamba, Chui, Faru au Mnyama..huyu Nyani au Sokwe ana mkosi gani?
Ila ni kujisahau tu kwa sababu sisi pia tumetoka kwa hao manyani na masokwe. Kwa hiyo kama mtu anakuita nyani mwambie asanteeeeeeee.............lakini usisahau kumwambia NYANI MWENZANGU
 
Back
Top Bottom