Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Ajari kazini mkuu.Boda boda mjini ni nusu kifo, mda wote unaingia udongo au kirema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajari kazini mkuu.Boda boda mjini ni nusu kifo, mda wote unaingia udongo au kirema
Kila mtu ana vipaumbele vyake. Vyako ni vipi?Hii ikoje wakuu, kwamba jamaa wako smart kutuliko? Bodaboda wanafanikiwa kimaisha kuliko sisi watumishi! Haya mambo haya anyway.
Huyu kijana muaminifu utampata wapi? Ataendelea kua muaminifu kwa mda gani? Hiyo biashara mpaka uifanye mwenyewe ndo uone faida zake.Kwhy unanimbia mkuu nikinunua pikipiki nikampa kijana mwaminifu kuna uwezekano wa kuvuta kwa mwezi 400K.?
LAkini ukumbuke mwendesha pikipiki hiyo 40K haipati kila siku.kwa dar wastani wa bodaboda kwa siku ni 40k
mshahara qa mwalimu per day wastani 21k
daktari 25k
Md ni 1.5 halafu mkuu hujakata na bodi ya mikopo hapoLAkini ukumbuke mwendesha pikipiki hiyo 40K haipati kila siku.
Ila hao waajiriwa ni uhakika.
Halafu wastani wa mshahara wa Dr kwa siku sio hiyo.
MD kwa sasa anapolipwa kama 1.7- 1.8
After deductions anabaki na kama 1.3 - 1.4.
Hapo hujaweka posho nyingine.
Kiufupi acha ujinga wa kuringanisha Dr na bodaboda.
Ha ha ha acha mzaha basi mkuu.Kila kitu ni MIPANGO na UTEKELEZAJI.....
Kuna housegirls wanajenga, boss anaemlipa kapanga.
Maisha ni mchaka mchaka.Maisha ni mpango tu
kwa mara ya kwanza boda anajipigia promoHii ikoje wakuu, kwamba jamaa wako smart kutuliko? Bodaboda wanafanikiwa kimaisha kuliko sisi watumishi! Haya mambo haya anyway.
anafanya kazi saa ngapi?Utajenga vipi na mda wote upo online mkuu
Mkuu kila jambo na wakati wake. Na wewe muda utafika utashusha mjengo. Cha msingi jipange vijiakiba kidogo kidogo utafanikiwaHii ikoje wakuu, kwamba jamaa wako smart kutuliko? Bodaboda wanafanikiwa kimaisha kuliko sisi watumishi! Haya mambo haya anyway.