MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Niko chini ya miguu yenu ,ikiwapendeza naomba tujikite kwenye mada ya bodaboda na anymous mtumishi kutokuwa na nyumba ila habari za Md sijui anapokea shilingi kadhaa tuachane nazo .md wa wap analipwa hiyo hela au niweke
Tanzania take home ya daktari md ni upuuzi tu
Wana Kazi za laki mpaka za milion ukiacha hizi za bukubuku ila hawawezi kukuambiaHii ikoje wakuu, kwamba jamaa wako smart kutuliko? Bodaboda wanafanikiwa kimaisha kuliko sisi watumishi! Haya mambo haya anyway.
Hana shida mama yangu. Namuweza huyo, hana baya na mtu mama Abdul wa watu.Unamuita boss wako mama Abdul ? ngoja next time akunyime tenda ya kuuza madafu ikulu.
😂😂😂Mpwayungu Village akitia neno na mimi natia
Huwa nikiona ID yako na DP yako huwa nabaki ninacheka tu🤣Mkuu chukua mkopo nunua boda ingia mtaani utajenga kama yeye