kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Nimeingia mjini mwezi wa 3 Sasa nimepata ripot Kuna jamaa mfanya biashara anakomba pesa za watu kwa njia ya giza.. Binafsi sijawahi shuhudia how this it oparate.. Mimi nimeokoka na mwamini Yesu hizi kitu Kwangu hapana!
Kuna siku jamaa kaingia kwenye banda langu la biashara Kaanza kuniuliza nasali wapi mh nilihisi mashaka kidogo wakuu hawa watu kuweni makini
Kuna siku jamaa kaingia kwenye banda langu la biashara Kaanza kuniuliza nasali wapi mh nilihisi mashaka kidogo wakuu hawa watu kuweni makini