Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Kwa maana hiyo siku hizi tuwache kutumia bidhaa zenye mafungamano na Israel. Kama hatuwezi kutengeneza wenyewe basi tuhamie korea kaskazini,Urusi na Iran.
Kama wewe akuue nani ........kifo chako tumemuachia yutiai na gono tu ..........ambao ni wepesi kinyama wamalizane na wewe..........
 
Mimi wakukinga msada? Endelea kuota namshukuru Allah kwa nema alizo nipa, we kamsaidie Paulo kuota chini ya mkunazi πŸ˜„
vp wewe umeshawahi hata kutengeneza pipi? si unakula pipi za wazungu kila siku?
 
Kwahiyo Israel inashiriki kuwa supplier wa bidhaa za adui, humo inaweka vitu fulani. Muda wowote ikihitajika inajua namna ya kuzitumia kwa maslahi yake.
Ndio maana sasa nimegundua kwanini vijana walienda kufia Israel
 
Nimejaribu kupitia Google kuna contradictions ila kuna mtu anatajwa mara nyingi anaitwa Abraham kareem alizaliwa Iraq akakulia Israel mwanzoni wa sabni ndio anatajwa ndio baba wa modern drone technology , hapo aliamia Marekani alipoanzisha kampuni
 
Israel kwisha habari yake hamna tena story za zamani sijui alishinda vita siku 6 sasa unalipua pager unauwa raia wa kawaida, wasubiri majibu yao.

Hivi Hezblohah wana akili kweli....Wananunua Pager na kugawa kwa raia.....! Kweli iko kazi...!
 
Kuanzia juzi, hesbolah hawatumii simu za mkononi. Hata uwape bure, Tena ndio kabsaa
 
Kwani 2006 Israel alikimbiaje Bint jubeir??
Hizbollah aliwezaje kumtwanga Israel 2006 kama yeye mtoto!?
Vipi tena mkuu, mbona Hezbollah ni kama kundi la vibaka.
Siku 10 tu za mashambulizi back to back ya Israel tiyari kundi lako la makomandoo lenye silaha kali na maafisa limepoteana.

Nilikwambia Hezbollah hamna kitu mbele ya Israel hukusikia.
 
Vipi tena mkuu, mbona Hezbollah ni kama kundi la vibaka.
Siku 10 tu za mashambulizi back to back ya Israel tiyari kundi lako la makomandoo lenye silaha kali na maafisa limepoteana.

Nilikwambia Hezbollah hamna kitu mbele ya Israel hukusikia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Aiseee kwani 2006 ilikuaje!?
Israel si alikua akishambulia hivi hivi hadi alipoamua kuingia Lebanon kwa miguu!?
Kesha kikamkuta nini!?
Je alishinda!?
Na mbona bado Hizbollah wanarusha marekoti kuelekea Israel!?
 
Eehe kwahiyo hadi sasa Hezbollah wanashinda. Command structure iko wapi, mawasiliano yao yako wapi, mbona mashambulizi hamna wanafyatua rasharasha viroketi viwili vitatu. Ndio nguvu hizi mlikuwa mnatishia nazo? Mbona ni kama mere fugitives tu wala sio organized.
 
Wewe unajua nini Hizbollah wanapanga hadi sasa!?
Kuanzia Monday to Wednesday walikua wakirusha rockets mfululizo na zingine zikitokea Syria unauliza command structure iko wapi!??
We tulia tu muda utaongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…