Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Labda kama wewe ni wa 2000, old timers wnajua hii kampuni ilikuwa peak sana 90s, hata sasa lakini si kwenye simu za mkononi kama zamanimotorola nayo ni kampuni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama wewe ni wa 2000, old timers wnajua hii kampuni ilikuwa peak sana 90s, hata sasa lakini si kwenye simu za mkononi kama zamanimotorola nayo ni kampuni?
Uache kutumia wewe una madhara gani kwao, we kunywa pepsi hapo utulize koo, ujaze tumbo ulale.Kwa maana hiyo siku hizi tuwache kutumia bidhaa zenye mafungamano na Israel. Kama hatuwezi kutengeneza wenyewe basi tuhamie korea kaskazini,Urusi na Iran.
Tugomee misaada ya Marekani, Uingereza, Ujerumani mna Israel.Kwa maana hiyo siku hizi tuwache kutumia bidhaa zenye mafungamano na Israel. Kama hatuwezi kutengeneza wenyewe basi tuhamie korea kaskazini,Urusi na Iran.
Kumetokea mlipuko kwa wafuasi wa Hezbollah ambao umesababisha madhara. Mlipuko huu umesababishwa na vifaa vya mawasiliano vya kutumia meseji tu na tena kama ishara tu!
Kifaa hiki huitwa pager! Nauliza walitumia mbinu ipi mpaka kiweze kulipuka na kuleta madhara kwenye ardhi ya nchi nyingine??
pager
a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen
![]()
Definition of PAGER
one that pages; especially : a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen… See the full definitionwww.merriam-webster.com
View attachment 3098853View attachment 3098855
Pagers explode across Lebanon, injuring dozens of people including Hezbollah members
Dozens of members of the Lebanese militant group Hezbollah have been seriously wounded after pagers they use to communicate exploded, security officials say.
Tuesday 17 September 2024 15:42, UK
![]()
Pagers explode across Lebanon 'killing 9' and 'injuring thousands' - including Hezbollah members
Hezbollah leader Hassan Nasrallah previously warned the group's members not to carry mobile phones alleging Israel could use them to track their movements.news.sky.com
Kumetokea mlipuko kwa wafuasi wa Hezbollah ambao umesababisha madhara. Mlipuko huu umesababishwa na vifaa vya mawasiliano vya kutumia meseji tu na tena kama ishara tu!
Kifaa hiki huitwa pager! Nauliza walitumia mbinu ipi mpaka kiweze kulipuka na kuleta madhara kwenye ardhi ya nchi nyingine??
pager
a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen
![]()
Definition of PAGER
one that pages; especially : a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen… See the full definitionwww.merriam-webster.com
View attachment 3098853View attachment 3098855
Pagers explode across Lebanon, injuring dozens of people including Hezbollah members
Dozens of members of the Lebanese militant group Hezbollah have been seriously wounded after pagers they use to communicate exploded, security officials say.
Tuesday 17 September 2024 15:42, UK
![]()
Pagers explode across Lebanon 'killing 9' and 'injuring thousands' - including Hezbollah members
Hezbollah leader Hassan Nasrallah previously warned the group's members not to carry mobile phones alleging Israel could use them to track their movements.news.sky.com
hypersonic gani inaenda kudondokea milimani?Huyo anasaidiwa na wanafiki kule Lebanon ndio wanampa infomation, hakuweza kuiona Hypersonic ya Yemen imetembea 2040 km, anatafuta tension tu aonekane bado yupo yupo kisha aibishwa na Yemen.
sasa na hezbolah na wao si wasaidiwe kwani shida iko wapi?Sawa tutaona mwambie basi America asimsaidie na hao Western kama atabaki hapa hata nusu siku. Anasaidiwa na America na Western na bado anaharisha.
kwani hizbulah wanajulikana vipi? au raia hawawezi kua hezbolah?Mie katika video nimeona raia madukani ndio wamelipukiwa na hivyo vifaa.
Ila wao watakwambia ni Hizbollah,sasa wamejuaje kama Hizbollah??
Maana video zinaonesha watu super market ndio wanalipukiwa.
Israel bana😂😂😂😂😂😂😂😂😂 halafu mlipuko wenyewe kama wa gesi ikifurumia kwenye soda.
Ilidondokea serengeti badala kwenda Tela Aviv 😄hypersonic gani inaenda kudondokea milimani?
Unashangaa pagers, cellphones, laptops, solar panels zinalipuka huko Lebanon,syriaIsrael kwisha habari yake hamna tena story za zamani sijui alishinda vita siku 6 sasa unalipua pager unauwa raia wa kawaida, wasubiri majibu yao.
Kwan nyie mnashindwa nn kutafuta msaada kama mnaona mwenzenu anasaidiwa, si kuna Arab League??Sawa tutaona mwambie basi America asimsaidie na hao Western kama atabaki hapa hata nusu siku. Anasaidiwa na America na Western na bado anaharisha.
Nyie mnachekesha kweli😆Halafu wafuasi wake wanakaa na kumsifia.
Ndio uone kuwa Israel ni dhaifu.
Anacholenga yeye ni kuzusha hofu kwa raia wakinzane na Hizbollah.
Hapo atakayelaumiwa ni Hizbollah.
Wanataka kuwakata moto Hizbollah kwa ku install fear kwa raia.
Wajinga sana hawa.
Ndio, na wayahudi haohao ndo walisafiri na kusambaza habari za huyo yesu waliomsulubishaJibu swali,Wayahudi hawakumsulubu Mungu wako?
Wewe ndo unaleta taarabu unakuwa kama vile huna lingine la kuongea, mwenzako anaongelea vita we unaanza mambo ya dini, we hujioni kwamba huna akili.jibu swali usiniletee taarabu hapa,swali lipo very clear,
Cha kitoto!? Kuweza kuingilia mfumo wa mawasiliano, ya wafuasi 2000+! Hezbollah, waliacha kutumia smartphone, wakaamua kutumia pagers, wakaagiza mzigo, Akili kubwa ya myahudi, ikaingilia prduction line ya hizo pagers, au Ika intercept shehena ikiwa njiani,kuelekea Lebanon, wakapandikiza tiny bombs, ndani ya simu, wakasubili mzigo urine, na kila mfuasi wa Hezbollah, kapata yake, wakatuma SMS, kenge walipopokea tu na kuweka sikioni, kitu kikajibu, mi kenge ya Hezbollah, ikajifia,Shambulizi la Yemeni lilileta madhara na picha zilitumwa humu labda haujaona.
Pia hii inaonesha Israel ni dhaifu kiasi inashambulia raia badala ya jeshi.
Israel ni dhaifu sana yani hiki kitendo cha kitoto😂😂😂😂.
Na subiri kisasi chake.
Usiwe unaropoka kama umelewa wanzuki.Cha kitoro
Cha kitoto!? Kuweza kuingilia mfumo wa mawasiliano, ya wafuasi 2000+! Hezbollah, waliacha kutumia smartphone, wakaamua kutumia pagers, wakaagiza mzigo, Akili kubwa ya myahudi, ikaingilia prduction line ya hizo pagers, au Ika intercept shehena ikiwa njiani,kuelekea Lebanon, wakapandikiza tiny bombs, ndani ya simu, wakasubili mzigo urine, na kila mfuasi wa Hezbollah, kapata yake, wakatuma SMS, kenge walipopokea tu na kuweka sikioni, kitu kikajibu, mi kenge ya Hezbollah, ikajifia,
Hii operation, Hezbollah wenye we wamekili, ni "greatest security breach" Shenz kabisa
Kumetokea mlipuko kwa wafuasi wa Hezbollah ambao umesababisha madhara. Mlipuko huu umesababishwa na vifaa vya mawasiliano vya kutumia meseji tu na tena kama ishara tu!
Kifaa hiki huitwa pager! Nauliza walitumia mbinu ipi mpaka kiweze kulipuka na kuleta madhara kwenye ardhi ya nchi nyingine??
pager
a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen
![]()
Definition of PAGER
one that pages; especially : a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen… See the full definitionwww.merriam-webster.com
View attachment 3098853View attachment 3098855
Pagers explode across Lebanon, injuring dozens of people including Hezbollah members
Dozens of members of the Lebanese militant group Hezbollah have been seriously wounded after pagers they use to communicate exploded, security officials say.
Tuesday 17 September 2024 15:42, UK
![]()
Pagers explode across Lebanon 'killing 9' and 'injuring thousands' - including Hezbollah members
Hezbollah leader Hassan Nasrallah previously warned the group's members not to carry mobile phones alleging Israel could use them to track their movements.news.sky.com
A Cyber Warfare Technology.Israel huwa inacheza na supply ya vifaa vya maadui zake. Hata miaka ya 1980s ilimuua mkuu wa kundi la kigaidi kwa kubadilisha simu yake na kumpa yenye bomu. Kisha wakampigia simu, wakatuma drone juu ikanasa amepokea ikaruhusu mlipuko akafariki.
Israel pia ilimuua Wadie Haddad kwa sumu ya dawa ya mswaki, maana waliona wakimuua kawaida magaidi wa kundi lake la PFLP aliloongoza lililokuwa maarufu kwa kuteka ndege na kufanya mashambulizi wangelipa kisasi kwa mauaji. PFLP ndio waliteka ndege wakaileta Uganda kwa Iddi Amin.
Huyo walimpa dawa iliyotengenezwa na Taasisi ya Kibaiolojia ya Israeli, dawa ikamuua taratibu baada miezi miwili. Kwa maumivu makubwa, amekonda, amenyonyoka nywele.
Kwahiyo Israel inashiriki kuwa supplier wa bidhaa za adui, humo inaweka vitu fulani. Muda wowote ikihitajika inajua namna ya kuzitumia kwa maslahi yake.