nadhani wewe ndio hujui hata kinachoendelea. pole sana. ni hezbollah tu ndio walitumia hizo pagers, waliziagiza taiwan, wakidhani mchina anatengeneza, kumbe anayetengeneza ni myahudi mwenyewe. yupo kila mahali. akawatengenezea, akaweka vilipuzi na signal ndani. akawagawia. na kwa kuwagawia akawa anajua wanaotumia ni wangapi, akaamua apige mchana wakati wanavitumia kwa uhuru, ndio yakawakuta hayo.
kama ulikua haujui, DELL mtengeneza computer hizo, ni myahudi, HP ni myahudi. facebook, google whatsapp n.k, nimyahudi, pia wayahudi wamesambaa kote duniani wakishare umiliki wa makampuni ambayo ni ya mataifa mengine, that means wanaweza kufanya lolote. shida ya ndugu katika imani, hamna elimu, hamna tech na mnajifanya wajuaji kama wewe ambaye hata haujui kinachoendelea.
kwenye simu, walitumia hadi vitochi wakawa wanajulikana walipo, myahudi anakuona ulipo anarusha bom, wakaamua waende kweney pagers, nao ndo hivo. nashauri wasitumie kabisa computer, kwasababu ni kubwa explosive watakazoweka zitakuwa za kulipua nyuma nzima. ushauri tu.