Basi nanyi muambie Allah awasaidie. Hahaha Allah allah hovyoSawa tutaona mwambie basi America asimsaidie na hao Western kama atabaki hapa hata nusu siku. Anasaidiwa na America na Western na bado anaharisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi nanyi muambie Allah awasaidie. Hahaha Allah allah hovyoSawa tutaona mwambie basi America asimsaidie na hao Western kama atabaki hapa hata nusu siku. Anasaidiwa na America na Western na bado anaharisha.
Sawa Dada Robi nashukuru kwa kunikimbusha kwa hamu uliyokuwa nayo, ngoja nikupandie kwa ajili ya kukukojoleaga Bao la mwisho mweeeee.Haya kakojowe ulale maana naona hata huelewi unachoongea
Yeah.motorola nayo ni kampuni?
Subutu awe ana uwezo wa kuiripua simu yangu Hypersonic ya Yemen mbona hajaiona. Hizo pager kuna uwezekano wanafiki kule Lebanon walihusika kuchomeka small of amount of explosive ndani ya hizo pager kabla hazijafika kwa vijana wa Hezbullah. Au Israel afanikishe hayo kule Hezbullah walipo zinunua hio company walifanya deal na Israel. Hio nadhani ndio options ya mwisho alio nayo Israel kisha jiharibia kila kitu. Sa hawezi kugundua lolote bada ya hapoWewe mwenyewe unatumia technology ya US kubwabwaja humu JF😆😆
Kwa nn hamuhangaiki na vita ya Sudan kuisemea humu? Badala yake kila kukicha agenda ni Hamas, Hezbollah mara sijui Houthi.Huyo anasaidiwa na wanafiki kule Lebanon ndio wanampa infomation, hakuweza kuiona Hypersonic ya Yemen imetembea 2040 km, anatafuta tension tu aonekane bado yupo yupo kisha aibishwa na Yemen.
Ipo na Wana simu nzuri sana bado, inamilikiwa na wachina siku hizi (Lenovo)motorola nayo ni kampuni?
Kwanini Hezbollah isijitegemee yenyewe hadi ipokee silaha kutoka IranWewe Pimbi ndio hua unaharisha hovyo tu hapa wala huna la maana,hao mabwana zako leo mwaka mzima wanahangaika na kaeneo kadogo kama Kigamboni tu,pamoja na kusaidiwa na US na NATO ila bado wanatolewa kamasi mpaka leo,
Wakiishiwa silaha wanaanza kuwalilia US! Kwanini wasijitegemee wao wenyewe?
Hisbullah sio nchi ni kikundi,kwahiyo unataka kusema kwavile Hizbullah wanapokea silaha,ndio maana na Wayahudi wanalilia silaha za US na NATO?Kwanini Hezbollah isijitegemee yenyewe hadi ipokee silaha kutoka Iran
Kote huko vifaa vyao vina the ya haohaoKwa maana hiyo siku hizi tuwache kutumia bidhaa zenye mafungamano na Israel. Kama hatuwezi kutengeneza wenyewe basi tuhamie korea kaskazini,Urusi na Iran.
Teknolojia nyingi na dawa nyingi za binadamu zinaanziaga jeshini (hasa majeshi ya US na Israel)..1980S kulikua na "drones"
Sio kweli.Kote huko vifaa vyao vina the ya haohao
unavyoelezea, yaani ni kama vile ulikuwa ukizijua tangu zamani, kumbe ndo mara ya kwanza umezisoma kwenye uzi huu 😀 😀 😀Hizo pager hata zikiripuka hazina impact kubwa Israel kaishiwa 😄
Acha ukichwa maji hiyo ni reply niliyomjibu mtuKashindwa vita halafu anakalia maeneo ya aliyeshinda kwa mabavu na kujenga nyumba za settlers. Unamaanisha nini sasa hapo?Au kucjanganyikiwa?
Kwa waislamu ndo sio Mungu ila kwa wakristo Yesu ni MunguLisilojulikana kwa wengi huyo Yesu ,ambaye kiukweli siyo Mungu,alisulibiwa na askari wa Roma
waliokuwa wameweka mfukoni, zimefyeka nyeti, wengine wamekufa, 4000 wamejeruhiwa wengine hawana mikono, wengine hawana vidole. shida inakuja, lebanon sasa wataishi kama kipindi cha ujima, hawaamini mtandao, simu, computer wala chochote. maisha gani utaishi bila tech hizi?Hizo pager hata zikiripuka hazina impact kubwa Israel kaishiwa 😄