Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Israel kashindwa vita ila maeneo yote ya west bank mpaka sahivi anayakalia kimabavu na anazidi kujenga nyumba za walowezi

Israel kashindwa vita ila huwezi ingia msikiti wa al aqsa bila ruhusa yake
Kashindwa vita halafu anakalia maeneo ya aliyeshinda kwa mabavu na kujenga nyumba za settlers. Unamaanisha nini sasa hapo?Au kuchanganyikiwa?
 
Sawa tutaona kama watu watatumia tena technology za US si wao wenyewe ndio wanajidhuru hapo. Kuhusu Hezbullah jibu halita chelewa.
A bigger kipigo chaja, msianze kulia lia. Na hamshindi ng'o mpaka wale waislam waliowanyofu ktk mioyo yao watakaposituka na kujitoa kwa All
 
Yes... This means Israel wanataka Hezbollah waanze kutumia simu za kisasa ambazo ni Rahisi kuzihack.

Kilichowakuta Hezbollah ni very sofisicated attack zaidi ya wanamgambo 4000 wamejaruhiwa, mia tano wako hoi bin taaban na Watu wanaomiliki hizi pager ni makamanda ambao wanapokea taarifa na kufikisha kwa Vijana walio chini yao.

Hizi pagers zilianza kuita so wakajua wamepokea message kutoka kwa viongozi wenzao, baada ya kuweka mikononi zikalipuka kwa wengi wao na wengi wamekuwa vipofu.

Hezbollah walikuwa wanajisifu Wana Targets ndani ya Israel kumbe Israel wao Wana targets ofisini kwa Nashrallah
 
Back
Top Bottom