Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Kabla hujashabikia kuhuzu israel kuipiga hezbollah lazima ujue kwamba makamanda wote israel wanmpinga netanyahu wazi wazi na kwamba anapigana sio kwa faida ya israel bali utashi wake wa kisiasa ikiwemo kukwepa kupelekwa mahakamani na kuendelea kukaa madarakani
Waziri wake wa vita benny gantz alimpinga waziwazi akajiuzulu na hadi sasa
As we speak waziri wa ulinzi wa sasa gallant nae anampinga waziwazi kwa kumwambia kwanza hawezi kupata total victory dhidi ya hamas na kwamba anadanganya ulimwengu
Maeneo yote aliyoyadhibiti gaza yote kwa sasahivi yamesharudi kwa hamas
Na sasahivi netanyahu anatishia kumfukuza gallant ingawa marekani anazuia hilo
Na lazima ujue kwamba israel kaishiwa wanajeshi sasahivi anachukua wahamiaji anawaingiza jeshini, sasa jiulize kupigana na mgambo kama hamas kaishiwa nguvu ,kwa hali ya sasa akipigana na hezbollah atapotea mazima atapigwa kipigo cha paka mwizi
Haya soma hapo taaria kutoka newyork times uelewe na uone makamanda wakuu wa isreal wanasemaje kuhusu netanyahu na uongo wake,uacha kushabikia kama zombie

Ni lini umewahi ona Israel inaanzisha vita.

Israel huwa inajibu mashambulizi wala haianzi. Ukiona imeanza hiyo ni preemptive na kila mtu anajua adui atashambulia. Kwahiyo kudhani Netanyahu atashambulia bila taarifa za kiintelijensia sahau.
 
Kumetokea mlipuko kwa wafuasi wa Hezbollah ambao umesababisha madhara. Mlipuko huu umesababishwa na vifaa vya mawasiliano vya kutumia meseji tu na tena kama ishara tu!

Kifaa hiki huitwa pager! Nauliza walitumia mbinu ipi mpaka kiweze kulipuka na kuleta madhara kwenye ardhi ya nchi nyingine??

pager
a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen



View attachment 3098853View attachment 3098855

Pagers explode across Lebanon, injuring dozens of people including Hezbollah members​



Dozens of members of the Lebanese militant group Hezbollah have been seriously wounded after pagers they use to communicate exploded, security officials say.


Tuesday 17 September 2024 15:42, UK


Programming, au hizi device, aliweza kuzifikia zikiwa kiwandani, akazi compromise, na kuzifanya bomu, au AME hack microprocessor za simu, ni, Kuz I program upya,Zika I overwork bettry na kuipasua,
 
watumie majini labda kuwasiliana...naangalia aljazeera naona wanaonyesha mabaki ya vipager vina maandishi ya infinix ultra zero 😝😃🤣😆 kama ni kweli basi dah mchina naye kaingiliwa na myahudi
Software za aina ya Android ni Google made na Google Software Lab kubwa ipo Israel- so hardware & Software Is Israel Properties.! No where to Hide
 
Lengo la Hezbollah kuifuta Israel. 2006 Israel ilifutwa? Kigezo gani cha kusema Israel ilishindwa?
Hapo ndipo huwa wananishangaza kwa sababu huwezi kusema.alishidwa wakati mpaka leo hii Israel anakalia milima ya Golan. Labda dunia ya propaganda ndo ilivyo maanake kwa kile kinachoitwa ushindi wa Hezbollah basi kinachotokea kati ya Russia na Ukraine itakuwa Ukraine ni mshindi tena ushindi wake ni mkubwa sana
 
Israel huwa inacheza na supply ya vifaa vya maadui zake. Hata miaka ya 1980s ilimuua mkuu wa kundi la kigaidi kwa kubadilisha simu yake na kumpa yenye bomu. Kisha wakampigia simu, wakatuma drone juu ikanasa amepokea ikaruhusu mlipuko akafariki.

Israel pia ilimuua Wadie Haddad kwa sumu ya dawa ya mswaki, maana waliona wakimuua kawaida magaidi wa kundi lake la PFLP aliloongoza lililokuwa maarufu kwa kuteka ndege na kufanya mashambulizi wangelipa kisasi kwa mauaji. PFLP ndio waliteka ndege wakaileta Uganda kwa Iddi Amin.
Huyo walimpa dawa iliyotengenezwa na Taasisi ya Kibaiolojia ya Israeli, dawa ikamuua taratibu baada miezi miwili. Kwa maumivu makubwa, amekonda, amenyonyoka nywele.

Kwahiyo Israel inashiriki kuwa supplier wa bidhaa za adui, humo inaweka vitu fulani. Muda wowote ikihitajika inajua namna ya kuzitumia kwa maslahi yake.
Hyo uliyoiandika habari zake zipo ktk movie moja inaitwa "the engineer" hyo mbinu
 
Myahudi alimpiga nani wewe?
Kule Sinai peninsula si alikimbia na kuacha idadi kubwa ya mateka wa Israel?
Egyptian 3rd Army yote ilizingirwa na majeshi ya Israel. Na hapo Israel imevuka bahari. Kwahiyo wasingetaka mazungumzo wangepoteza vilevile
Na hiyo vita ilipiganwa kati ya Syria, Egypt na Israel.
Egypt mpango wake ulifanikiwa ila Syria ulifeli.
Sasa Waarabu wanaogeukana ndio uwaamini wataiangusha Israel hata wakija kwa mafungu.
 
Sawa leo mmeshinda nyie washabiki wa Israel, hongereni. Sasa Israel imetangaza nafasi za kujiunga na jeshi kwa waafrica wanaotaka kwenda kuipigania Israel. Fanyeni hima nafasi ni chache yani 30000 tu, msituangushe ndugu zenu.
Mtakuwa mnatupa habari from the ground sio hapa JF tena
Tangazo la Israel liko wapi mkuu?
 
Egyptian 3rd Army yote ilizingirwa na majeshi ya Israel. Na hapo Israel imevuka bahari. Kwahiyo wasingetaka mazungumzo wangepoteza vilevile

Sasa Waarabu wanaogeukana ndio uwaamini wataiangusha Israel hata wakija kwa mafungu.
Vita ipi unayozungumza wewe 3rd army walizungukwa??
Lete article hapa tuisome.

Hao waarabu unaowaita wanaogeukana safari hii wameungana ndio maana unaona Israel imepoteza global influence na Israel inachapika sasa hivi.
 
Israel huwa inacheza na supply ya vifaa vya maadui zake. Hata miaka ya 1980s ilimuua mkuu wa kundi la kigaidi kwa kubadilisha simu yake na kumpa yenye bomu. Kisha wakampigia simu, wakatuma drone juu ikanasa amepokea ikaruhusu mlipuko akafariki.

Israel pia ilimuua Wadie Haddad kwa sumu ya dawa ya mswaki, maana waliona wakimuua kawaida magaidi wa kundi lake la PFLP aliloongoza lililokuwa maarufu kwa kuteka ndege na kufanya mashambulizi wangelipa kisasi kwa mauaji. PFLP ndio waliteka ndege wakaileta Uganda kwa Iddi Amin.
Huyo walimpa dawa iliyotengenezwa na Taasisi ya Kibaiolojia ya Israeli, dawa ikamuua taratibu baada miezi miwili. Kwa maumivu makubwa, amekonda, amenyonyoka nywele.

Kwahiyo Israel inashiriki kuwa supplier wa bidhaa za adui, humo inaweka vitu fulani. Muda wowote ikihitajika inajua namna ya kuzitumia kwa maslahi yake.
Ndio ulivuodanganywa kanisani kwenu j2 hii?
 
Kumetokea mlipuko kwa wafuasi wa Hezbollah ambao umesababisha madhara. Mlipuko huu umesababishwa na vifaa vya mawasiliano vya kutumia meseji tu na tena kama ishara tu!

Kifaa hiki huitwa pager! Nauliza walitumia mbinu ipi mpaka kiweze kulipuka na kuleta madhara kwenye ardhi ya nchi nyingine??

pager
a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen



View attachment 3098853View attachment 3098855

Pagers explode across Lebanon, injuring dozens of people including Hezbollah members​



Dozens of members of the Lebanese militant group Hezbollah have been seriously wounded after pagers they use to communicate exploded, security officials say.


Tuesday 17 September 2024 15:42, UK


Mchina na mrusi wanasema what you can do we can do it better,,,,,hivyo vifaa si vya mmarekani hata yale ma helicopter yaliyodondoka iran na kenya ni bell za mmarekani,,,,shida kwa huku afrika mambo yatakua machungu maana hata maminara ya simu ni ya mchina,,,,,ndo maana ulaya na marekani walikimbilia kuzuia minara na mavifaa ya mawasiliano ya kampuni za kichina maana hii michezo wote wanaiweza...
...mtu anakulia timing hata hilo samsung lako linakua bomu na uzuri kwa sasa hata betri huwezi kuchomoa.....ni kasheshee sheeeehee,....tena kuna wale wafuasi wa aifoni hiiii
 
Back
Top Bottom