T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Unaijua vita ya Iraq na Iran miaka ya 1980s, hata wao walitumia drones.Ilikuwa 1980 na walitumia drone?
Marekani kaanza kuzitumia vita ya pili ya dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua vita ya Iraq na Iran miaka ya 1980s, hata wao walitumia drones.Ilikuwa 1980 na walitumia drone?
UK ilipeleka wanajeshi wangapi?Waliokuwa wanapigana wakati huo walikuwa ni UK, USA, France na mataifa rafiki na sio wayahudi
Wamekufa watu nane wakiwemo watoto wawili,majeruhi ni maelfu wakiwemo wahudumu wa afya ambao hutumia pagerWamecheza vizuri bila kutumia makombora .
Kuwafikia intended targets. Sio kuuwa watoto na wasio husika
Maswali ya kipumbavu kabisa haya,basi hapo mwenyewe unajiona unauliza maswali konki kinoma! Hayo maswali hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuyauliza,Umejuaje missiles zimepiga kama wanaotakiwa kuwa na taarifa walijificha?
Kama huna picha na video, una ushahidi gani kuna madhara yalitokea?
Magaidi wenzio tunao ushahidi Wizara ya Afya imezidiwa uko kuwatibu watu maelfu na mamia. Vifo kibao na bado.
Marekani alitumia kwa ujasusi,hazikua loadedUnaijua vita ya Iraq na Iran miaka ya 1980s, hata wao walitumia drones.
Marekani kaanza kuzitumia vita ya pili ya dunia.
WatTumia Nini sasa @😀😀Hezbollah wanatumia pager kwa sababu simu ni rahisi kunasa mawasiliano,
USA pekeake ilipeleka wanajeshi zaidi ya 5000 na ndege vita zisizopungua 250UK ilipeleka wanajeshi wangapi?
USA nayo?
France nayo?
Wayahudi waliungana wakawatandika watoto wadogo. Walikuja kama utitiri wakapigwa na idadi kubwa ya vifaa na wanajeshi. Myahudi yuko pale ametulia na hatoki leo wala kesho. Na nchi itakayojitia kisebengo kumvamia, kama ni jirani anaikalia ardhi yake mpakani kwa mabavu.
Israel haijaanza kupigana na Waarabu na nchi nyingine huko Mashariki ya Kati jana wala leo. Hizi vita amekuwa akipigana hata kabla ya Yesu kuja duniani. Na mara zote amekuwa akiibuka mshindi pamoja na kwamba na yeye pia hupata madhara. Haijalishi anasaidiwa au hasaidiwi- Ushindi kwa Israel dhidi ya adui zake huwa ni kitu kiko wazi. Mnaweza kuongea vyovyote mnavyoweza, mkabeza, mkatukana nk. Lakini ukweli uilo wazi ni kwamba "Israel is there to stay no matter what happens" mpaka kusudi la Mungu litakapotimia.Sawa tutaona mwambie basi America asimsaidie na hao Western kama atabaki hapa hata nusu siku. Anasaidiwa na America na Western na bado anaharisha.
Source?USA pekeake ilipeleka wanajeshi zaidi ya 5000 na ndege vita zisizopungua 250
On October 6, 1973, Egypt and Syria launched a coordinated surprise attack on Israeli forces in the Sinai and the Golan Heights. Israel ultimately repelled the attack and regained lost ground, but only after the United States made the decision to supply the Israeli military.UK ilipeleka wanajeshi wangapi?
USA nayo?
France nayo?
Wayahudi waliungana wakawatandika watoto wadogo. Walikuja kama utitiri wakapigwa na idadi kubwa ya vifaa na wanajeshi. Myahudi yuko pale ametulia na hatoki leo wala kesho. Na nchi itakayojitia kisebengo kumvamia, kama ni jirani anaikalia ardhi yake mpakani kwa mabavu.
Na wewe ntajie majina ya wanajeshi wa Israel waliouawaSource?
Ni mwanajeshi gani wa US alitekwa au kuuwawa na Waarabu?
Zikiwa za ujasusi haziitwi drone? Mbona zipo surveillance drones kama RQ-4 Global Hawk hazina payload ya mabomu na makombora.Marekani alitumia kwa ujasusi,hazikua loaded
Hao ndio wanajeshi 5000 wa Marekani walioenda vitani. Na ndio ndegevita 250?On October 6, 1973, Egypt and Syria launched a coordinated surprise attack on Israeli forces in the Sinai and the Golan Heights. Israel ultimately repelled the attack and regained lost ground, but only after the United States made the decision to supply the Israeli military.
Loading…
2001-2009.state.govArab-Israeli War 1973 - state.gov
Feedback
About featured snippets
People
Unabisha kwamba wanajeshi wa Israel hawakuuwawa?Na wewe ntajie majina ya wanajeshi wa Israel waliouawa
Ntajie kama unavyotaka na Mimi nikutajie wa USA waliouwaUnabisha kwamba wanajeshi wa Israel hawakuuwawa?
Huwezi jibu maswali ya watoto wa darasa la pili. Ina maana uwezo wako kiakili ni wa mtoto kikojozi kabisa chekechea.Maswali ya kipumbavu kabisa haya,basi hapo mwenyewe unajiona unauliza maswali konki kinoma! Hayo maswali hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuyauliza,
Enhe wamerekodi na hizi? Video na picha ziko wapi?Hivi unajua ni kwanini Hamas hua wanarekodi attacks zao wanapowapiga hao mabwana zako?
Unabisha hawakufa au unakubali walikufa?Ntajie kama unavyotaka na Mimi nikutajie wa USA waliouwa
Na Wewe unabisha hawakufa au unakubali?Unabisha hawakufa au unakubali walikufa?