Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Kaishiwa vipi ndugu mbona kobazi kwa ubishi mpo vizuri yaani ndugu zako katika imani hezbollah wamekula shambulizi la kiteknolojia majeruhi ni wengi watu wamefurika hospitali hawana makagari, hawana macho, wengine hawana tako, wengine utumbo umevunjika wewe unasema israel haina kitu
Israel haina kitu kwasababu shambulizi walolifanya 80% limewagusa raia.
Tofauti na Hizbollah ambaye amelipua kambi za jeshi Galilaya na kulenga wanajeshi.
Na sio kwamba hawajui Hizbollah wanapatikana wapi.
Ila wanajitoa akili kushambulia raia.
Sasa subirini kisasi.
 
waliokuwa wameweka mfukoni, zimefyeka nyeti, wengine wamekufa, 4000 wamejeruhiwa wengine hawana mikono, wengine hawana vidole. shida inakuja, lebanon sasa wataishi kama kipindi cha ujima, hawaamini mtandao, simu, computer wala chochote. maisha gani utaishi bila tech hizi?
Ki vipi wasitumie computer hio akili umeitoa wapi hizo mobile sababu waliweza kunasa sauti na pia kuna uwezekano wanafiki wanao watumia ndio wanawapa hizo details. Mwambie basi azuwie Missiles zinazo kuja kama anauwezo kwani hizo Missiles zinatumia nini kwenye akili yako 😄

Mtu akiwa kondoo mawazo yake yanakuwa ya kikondoo kondoo tu.

Mnamkuza bure tu Israel hana lolote, hawezi fanya kwenye simu yako chochote mpaa apewe details zako, kwa hio kule Lebanon inatakiwa wanze kuwachunguza hao wanao fanya kazi kwenye hizo shirika za simu. Huwezi kutrace infomation ya mtu bila details za huyo jamaa mpaa wapi anafanya kazi au anaishi. Wanacho fanya wale wakisha pewa details wananasa sauti zao afu drones inanza kuzinasa sauti hizo ndio wanawapiga hivi hivi hakuna lolote mnadangan'ywa tu. Kama walivyo fanya kwenye hizo pager kwenye hilo shirika la Taiwan limetumiwa na Mossad kuweka hivyo vibomu ndani ya pager. Au huko huko Lebanon kwenye port yao au cargo wana watu wao ndio wamefanya kazi hio kabla hazijafika kwa Hezbullah.

Kama ni hivyo basi watu wangeibiwa pesa zao vibaya sana na Israel, sababu ana penya kila sehemu 😄
 
Israel haina kitu kwasababu shambulizi walolifanya 80% limewagusa raia.
Tofauti na Hizbollah ambaye amelipua kambi za jeshi Galilaya na kulenga wanajeshi.
Na sio kwamba hawajui Hizbollah wanapatikana wapi.
Ila wanajitoa akili kushambulia raia.
Sasa subirini kisasi.
Walidhani hizo pager zote ilikuwa order ya Hezbullah 😄 Kumbe hakuna lolote.
 
Ila mwamba hongera sana,wewe ni zaidi ya kikosikazi.

Hii inaitwa "the strongest man is the one who stands alone, always majority are liars".
Umepambana na vikosi kibao ila vimekushindwa kwenye huu uzi.

Watu wanajigongagonga na ngonjera za abunuasi ila wewe unawalipua bila huruma.
Huyo unayemsifia kuna maswali kaulizwa hajajibu hadi sasa.
Muite ajibu maswali aliyoulizwa.
 
Ki vipi wasitumie computer hio akili umeitoa wapi hizo mobile sababu waliweza kunasa sauti na pia kuna uwezekano wanafiki wanao watumia ndio wanawapa hizo details. Mwambie basi azuwie Missiles zinazo kuja kama anauwezo kwani hizo Missiles zinatumia nini kwenye akili yako 😄

Mtu akiwa kondoo mawazo yake yanakuwa ya kikondoo kondoo tu.

Mnamkuza bure tu Israel hana lolote, hawezi fanya kwenye simu yako chochote mpaa apewe details zako, kwa hio kule Lebanon inatakiwa wanze kuwachunguza hao wanao fanya kazi kwenye hizo shirika za simu. Huwezi kutrace infomation ya mtu bila details za huyo jamaa mpaa wapi anafanya kazi au anaishi. Wanacho fanya wale wakisha pewa details wananasa sauti zao afu drones inanza kuzinasa sauti hizo ndio wanawapiga hivi hivi hakuna lolote mnadangan'ywa tu. Kama walivyo fanya kwenye hizo pager kwenye hilo shirika la Taiwan limetumiwa na Mossad kuweka hivyo vibomu ndani ya pager. Au huko huko Lebanon kwenye port yao au cargo wana watu wao ndio wamefanya kazi hio kabla hazijafika kwa Hezbullah.

Kama ni hivyo basi watu wangeibiwa pesa zao vibaya sana na Israel, sababu ana penya kila sehemu 😄
nadhani wewe ndio hujui hata kinachoendelea. pole sana. ni hezbollah tu ndio walitumia hizo pagers, waliziagiza taiwan, wakidhani mchina anatengeneza, kumbe anayetengeneza ni myahudi mwenyewe. yupo kila mahali. akawatengenezea, akaweka vilipuzi na signal ndani. akawagawia. na kwa kuwagawia akawa anajua wanaotumia ni wangapi, akaamua apige mchana wakati wanavitumia kwa uhuru, ndio yakawakuta hayo.

kama ulikua haujui, DELL mtengeneza computer hizo, ni myahudi, HP ni myahudi. facebook, google whatsapp n.k, nimyahudi, pia wayahudi wamesambaa kote duniani wakishare umiliki wa makampuni ambayo ni ya mataifa mengine, that means wanaweza kufanya lolote. shida ya ndugu katika imani, hamna elimu, hamna tech na mnajifanya wajuaji kama wewe ambaye hata haujui kinachoendelea.

kwenye simu, walitumia hadi vitochi wakawa wanajulikana walipo, myahudi anakuona ulipo anarusha bom, wakaamua waende kweney pagers, nao ndo hivo. nashauri wasitumie kabisa computer, kwasababu ni kubwa explosive watakazoweka zitakuwa za kulipua nyuma nzima. ushauri tu.
 
Israel haina kitu kwasababu shambulizi walolifanya 80% limewagusa raia.
Tofauti na Hizbollah ambaye amelipua kambi za jeshi Galilaya na kulenga wanajeshi.
Na sio kwamba hawajui Hizbollah wanapatikana wapi.
Ila wanajitoa akili kushambulia raia.
Sasa subirini kisasi.
Lebanon kuna watu wanatumia simu hadi leo hii, ndio maana hata matukio yalipotokea walipiga picha na kuzirusha. hao wala hawakuwa target. hizo pagers KIongozi wa hezbollah aliziagiza 5,000 kwa order kabisa, na akagawia wafuasi wake tu, hakugawia raia. ukiona yeyote amadundwa jua alikuwa mfuasi. ni sawa na ccm inunue pagers za kuzuia udukuzi, ikagawia wanacccm tu, unadhani itagawia chadema? cdm iliendelea kutumia simu na inaendelea hadi leo. kwahiyo wale wote waliodhurika waligawiwa na hezbollah pagers kwa tahadhari kwamba wanatafutwa na israel, wasitumie simu, au wanafanya kazi kwenye nyumba za hezbullah wasitumie simu manake wakitumia tu, israel atarusha bom pale walipo. kama kuna walioumia basi walikuwa karibu nao kwa bahati mbaya, ila waliopigwa ni wale tu waliogawiwa pagers zilizokuwa zimeagizwa kwa order maalumu. nendeni shule.
 
DELL computers ni myahudi anaitwa Michael Dell, mzima hadi leo anaishi marekani, HP alishakufa ila alikuwa myahudi, kwenye madawa ya kutibu binadamu wapo mbali sana na wapo kila nchi, wana uraia mwingine, we utadhani sio wao kumbe ni wao, labda uagize kutoka africa ila hadi india wapo, ulaya yote, urusi wapo, china ndio hizo pagers walipenetrate hadi taiwan wakazitengeneza wenyewe na kuwagawia. hii maana yake wanaweza kuweka devises kwenye computer zote order za lebanon, wanaweza kuweka sumu kwenye madawa ya kutibu binadamu yanayopelekwa lebanon kama wakitaka, wanaweza kufanya chochote. angalia historia ya motolora research yake ilifanyika wapi, hata hizi smart phone na camera, utagundua wana siri kubwa na wanauona ulimwengu wote. ila ni waoga kufanya kitu kikubwa kwa kulinda heshima na hadhi na kupunguza chuki dhidi yao.
 
Lebanon kuna watu wanatumia simu hadi leo hii, ndio maana hata matukio yalipotokea walipiga picha na kuzirusha. hao wala hawakuwa target. hizo pagers KIongozi wa hezbollah aliziagiza 5,000 kwa order kabisa, na akagawia wafuasi wake tu, hakugawia raia. ukiona yeyote amadundwa jua alikuwa mfuasi. ni sawa na ccm inunue pagers za kuzuia udukuzi, ikagawia wanacccm tu, unadhani itagawia chadema? cdm iliendelea kutumia simu na inaendelea hadi leo. kwahiyo wale wote waliodhurika waligawiwa na hezbollah pagers kwa tahadhari kwamba wanatafutwa na israel, wasitumie simu, au wanafanya kazi kwenye nyumba za hezbullah wasitumie simu manake wakitumia tu, israel atarusha bom pale walipo. kama kuna walioumia basi walikuwa karibu nao kwa bahati mbaya, ila waliopigwa ni wale tu waliogawiwa pagers zilizokuwa zimeagizwa kwa order maalumu. nendeni shule.
Unabisha nini we jamaa!?
Embu kichwa chako kiwe kinafanya kazi basi.
Pagers zingine zimebutuka madukani yani super market.
Tena zingine zimebutuka katika mashelf kabisa ya super market.
Sawa sawa uende zako Nakumatt pale ushangae shelf baadhi zinabutuka.
Kwahiyo nazo shelf ni za Hizbollah!??
 
Kumetokea mlipuko kwa wafuasi wa Hezbollah ambao umesababisha madhara. Mlipuko huu umesababishwa na vifaa vya mawasiliano vya kutumia meseji tu na tena kama ishara tu!

Kifaa hiki huitwa pager! Nauliza walitumia mbinu ipi mpaka kiweze kulipuka na kuleta madhara kwenye ardhi ya nchi nyingine??

pager
a small radio receiver that beeps, vibrates, or flashes to alert the user to an incoming message which is usually displayed on a small screen



View attachment 3098853View attachment 3098855

Pagers explode across Lebanon, injuring dozens of people including Hezbollah members​



Dozens of members of the Lebanese militant group Hezbollah have been seriously wounded after pagers they use to communicate exploded, security officials say.


Tuesday 17 September 2024 15:42, UK


Mkuu hiyo ilitokea tu kuripuka sio kwamba Israel na mayahudi walitumia technologia kuripua, acha umagharibi ww
 
Unabisha nini we jamaa!?
Embu kichwa chako kiwe kinafanya kazi basi.
Pagers zingine zimebutuka madukani yani super market.
Tena zingine zimebutuka katika mashelf kabisa ya super market.
Sawa sawa uende zako Nakumatt pale ushangae shelf baadhi zinabutuka.
Kwahiyo nazo shelf ni za Hizbollah!??
tafuta mtu mmoja anaitwa Michael Dell, nakupa mmoja tu huyo, lebanon wanatumia computer za DELL, ni myahudi. unafikiri wakiamua hawawezi kuweka devices za computer hizo wanazosupply lebanon? au unafikiri hajaweka? kuhusu kulipuka madukani, au popote, waliokuwa wanaogopa kutumia simu ni hezbollah peke yake, raia wasio na hatia wote wanatumia simu, ila hezbollah waligawiana au kama zingine waliziuza sawa ila pagers zilitumika na wahalifu peke yake wanaomkwepa israel. wewe mswahili wa mitaa ya chooni tandale huko unaongea hivyo, ila Hezbollah wenyewe wameanza kuilaumu kampuni ya Taiwan walikokuwa wametuma order, na kampuni hiyo inajitetea kwamba vilitengenezwa kwa licence yao tu ila mtengenezaji alitoak ulaya. sijui unajua unachoongea? au wewe unajua hili zaidi ya hezbollah?
 
Mkuu hiyo ilitokea tu kuripuka sio kwamba Israel na mayahudi walitumia technologia kuripua, acha umagharibi ww
wamelipua wao. kule walikotengenezea hizo pagers walikula nao dili wanaweka vilipuzi, au hatujui kama mmoja wa mafundi kiwandani alikuwa myahudi akaweka vilipuzi hatujui, ila zooote zimelipuka, watu hawana nyeti huko maana waliviweka mfukono vimefyeka nyeti zote na wana mke anawasubiri.
 
Mkuu hiyo ilitokea tu kuripuka sio kwamba Israel na mayahudi walitumia technologia kuripua
Jifunze kutumia akili na siyo mhemko,hasira, jazba wala papara. Kwa kutumia akili yako bila kushikiwa zinaweza kulipuka zote kwa mara moja ndani ya nchi moja??

Nearly 3,000 injured as pager blasts turn Beirut into 'zombie city'​


At least nine people were killed and thousands of others injured in a wave of page explosions across Lebanon yesterday. The militant group Hezbollah, whose members used the pagers to communicate, has blamed Israel for the attack.


Wednesday 18 September 2024 10:34, UK


Explosive pagers used by Hezbollah had been modified by Israel 'at production level', Reuters told by Lebanese security sources​


Israel's Mossad spy agency planted a small amount of explosives inside thousands of pagers ordered by Hezbollah months before the devices exploded, a Lebanese security source has told the Reuters news agency.


Wednesday 18 September 2024 09:59, UK


 
tafuta mtu mmoja anaitwa Michael Dell, nakupa mmoja tu huyo, lebanon wanatumia computer za DELL, ni myahudi. unafikiri wakiamua hawawezi kuweka devices za computer hizo wanazosupply lebanon? au unafikiri hajaweka? kuhusu kulipuka madukani, au popote, waliokuwa wanaogopa kutumia simu ni hezbollah peke yake, raia wasio na hatia wote wanatumia simu, ila hezbollah waligawiana au kama zingine waliziuza sawa ila pagers zilitumika na wahalifu peke yake wanaomkwepa israel. wewe mswahili wa mitaa ya chooni tandale huko unaongea hivyo, ila Hezbollah wenyewe wameanza kuilaumu kampuni ya Taiwan walikokuwa wametuma order, na kampuni hiyo inajitetea kwamba vilitengenezwa kwa licence yao tu ila mtengenezaji alitoak ulaya. sijui unajua unachoongea? au wewe unajua hili zaidi ya hezbollah?
Ona still unaropoka vile vile.
Aliyelaumu ni security agency ya Lebanon nzima sio Hizbollah peke yake.
Pia kama ulikua hujui Hizbollah ni sehemu ya serikali ya Lebanon.
Je unalijua hilo!??
Hizo device hazikuchukuliwa zikaenda kwa Hizbollah directly bali zilisambaa na madukani.
Sasa kwa ufala wako unadhani walioumia na kulengwa ni Hizbollah peke yake!??
Pia sikai Tandale mimi shubamit wewe niko Morogoro.

Kataa ukatae hilo shambulio limeathiri kwa kiasi kikubwa hadi raia.
Tena imeleta vifo hadi kwa raia wa kawaida wasiohusika na hizbollah group.
 
Ona still unaropoka vile vile.
Aliyelaumu ni security agency ya Lebanon nzima sio Hizbollah peke yake.
Pia kama ulikua hujui Hizbollah ni sehemu ya serikali ya Lebanon.
Je unalijua hilo!??
Hizo device hazikuchukuliwa zikaenda kwa Hizbollah directly bali zilisambaa na madukani.
Sasa kwa ufala wako unadhani walioumia na kulengwa ni Hizbollah peke yake!??
Pia sikai Tandale mimi shubamit wewe niko Morogoro.

Kataa ukatae hilo shambulio limeathiri kwa kiasi kikubwa hadi raia.
Tena imeleta vifo hadi kwa raia wa kawaida wasiohusika na hizbollah group.
mbona una hasira sana, au na sewe hezbollah. sometimes mkipigwa muwe mnakubali kwamba hapa tumepigwa. punguza hasira ndugu, hapa tunaongea tu sisi hata sio waisrael wala walebanoni.
 
Hii mbinu niliwahi kuiona kwenye movie moja ya Chuck Norris miaka hiyo. Alipigiwa simu ya landline ile kupokea tu mpigaji akacheza na mfumo na simu ikalipuka.

Hizi betri za simu zetu ni mabomu mazuri tu, ukijua namna ya kucheza nazo unaua target fasta tu.
 
mbona una hasira sana, au na sewe hezbollah. sometimes mkipigwa muwe mnakubali kwamba hapa tumepigwa. punguza hasira ndugu, hapa tunaongea tu sisi hata sio waisrael wala walebanoni.
Sina hasira wala nini.
Nenda kaangalie hadi watoto wa miaka 10 walivyouliwa.
Hasira yangu ipo hapo tu.
Na sio mara kwanza Israel kuua raia kama hivi na ushahidi upo.
 
Hii mbinu niliwahi kuiona kwenye movie moja ya Chuck Norris miaka hiyo. Alipigiwa simu ya landline ile kupokea tu mpigaji akacheza na mfumo na simu ikalipuka.

Hizi betri za simu zetu ni mabomu mazuri tu, ukijua namna ya kucheza nazo unaua target fasta tu.
watu wanajisahau sana. mara ngapi watu hadi nyumba zimelipuka kwa kuchagi simu pembeni ya godoro wakalala usingizi, kuamka ilishalipuka na moto umeshika nyumba nzima. india watu walishakufa sana kwa kuongea simu ikiwa kwenye charge, hivi ni vilipuzi vizuri tu. shida ni kwamba mwarabu hana elimu, hata tech, mwenzake ana kila kitu.
 
Back
Top Bottom