Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Dah timu Hezbollah sijui tufiche wapi sura zetu, leo kijiweni nimekaa kinyonge sana

1000012671.jpg
 
Wewe mwenyewe unatumia technology ya US kubwabwaja humu JF😆😆
Subutu awe ana uwezo wa kuiripua simu yangu Hypersonic ya Yemen mbona hajaiona. Hizo pager kuna uwezekano wanafiki kule Lebanon walihusika kuchomeka small of amount of explosive ndani ya hizo pager kabla hazijafika kwa vijana wa Hezbullah. Au Israel afanikishe hayo kule Hezbullah walipo zinunua hio company walifanya deal na Israel. Hio nadhani ndio options ya mwisho alio nayo Israel kisha jiharibia kila kitu. Sa hawezi kugundua lolote bada ya hapo
 
Huyo anasaidiwa na wanafiki kule Lebanon ndio wanampa infomation, hakuweza kuiona Hypersonic ya Yemen imetembea 2040 km, anatafuta tension tu aonekane bado yupo yupo kisha aibishwa na Yemen.
Kwa nn hamuhangaiki na vita ya Sudan kuisemea humu? Badala yake kila kukicha agenda ni Hamas, Hezbollah mara sijui Houthi.
 
Takribani watu 4,000 wamejeruhiwa na 8 wamefariki...... wengi Kati ya majeruhi wapo kwenye hali mbaya akiwepo na balozi wa Iran nchini Lebanon........

Majeruhi wengi wamepoteza viungo vya mwili na sehemu zao siri........

Kwa sasa ni vigumu kutoa idadi kamili ya vifo na majeruhi kwani bado ripoti zinazidi kuongezeka.......

Asilimia kubwa ya majeruhi ni wanamgambo wa Hezbollah na watu waliokaribu nao.......

Taarifa zaidi zinazidi kumiminika......
 
Wewe Pimbi ndio hua unaharisha hovyo tu hapa wala huna la maana,hao mabwana zako leo mwaka mzima wanahangaika na kaeneo kadogo kama Kigamboni tu,pamoja na kusaidiwa na US na NATO ila bado wanatolewa kamasi mpaka leo,

Wakiishiwa silaha wanaanza kuwalilia US! Kwanini wasijitegemee wao wenyewe?
Kwanini Hezbollah isijitegemee yenyewe hadi ipokee silaha kutoka Iran
 
Kwanini Hezbollah isijitegemee yenyewe hadi ipokee silaha kutoka Iran
Hisbullah sio nchi ni kikundi,kwahiyo unataka kusema kwavile Hizbullah wanapokea silaha,ndio maana na Wayahudi wanalilia silaha za US na NATO?

Nyie si hu mnawasifu wayahudi hapa? inakuaje wanategemea silaha za nje? akipigwa mkwala kidogo tu,wazungu wanakimbizana kwenda kumlinda! akiishiwa silaha tu anaanza kutia huruma kwa wazungu,hela zote anapewa msaada.
 
1980S kulikua na "drones"
Teknolojia nyingi na dawa nyingi za binadamu zinaanziaga jeshini (hasa majeshi ya US na Israel)..
Ukiona kitu kama drone kinatumika huku uraiani ujue kitambo majeshi walishiakigundua
 
Hatimaye ukweli umejulikana! Jamaa walifanya yao!

Explosive pagers used by Hezbollah had been modified by Israel 'at production level', Reuters told by Lebanese security sources​



The senior source said the militant group had ordered 5,000 beepers made in Europe under licence from Taiwan-based Gold Apollo.


Israel's Mossad spy agency planted a small amount of explosives inside thousands of pagers ordered by Hezbollah months before the devices exploded, a Lebanese security source has told the Reuters news agency.


Wednesday 18 September 2024 06:26, UK


 
Hizo pager hata zikiripuka hazina impact kubwa Israel kaishiwa 😄
waliokuwa wameweka mfukoni, zimefyeka nyeti, wengine wamekufa, 4000 wamejeruhiwa wengine hawana mikono, wengine hawana vidole. shida inakuja, lebanon sasa wataishi kama kipindi cha ujima, hawaamini mtandao, simu, computer wala chochote. maisha gani utaishi bila tech hizi?
 
Back
Top Bottom